NAISMA 4

Emmanuel Lee
By -
0

 NAISMA. 4

Mtunzi: Zamrata mbwana

+255698095257


Tulipo 🌷 ishia nipale Baba yake Naisma alimuliza Haidary Frut Kama yupo tayari kumuoa Binti yake Naisma . Haidary Frut kabla ajajibu alimuangalia Naisma usoni na Naisma alivyo ona vile alimkazia Haidary macho uku akitikisa kichwa ishara kwamba asikubali...


Songa nayo 🍊....


"Nakusikiliza Haidary ! Upo tayari kumuoa Binti yangu Naisma ?


"Ndi.ndiyo ! Mzee !


"👌 Weweweeeee ! Piga kelele kwa shemu lake ! Mambo sindo hayo ! Lamek tupa kule !


Baada ya Haidary Frut kujibu Jasmini alishindwa kuzuia hisia zake za furaha na kuanza kushangilia kwa sauti.Naisma macho yalimuiva yalikuwa myekundu kwa hasila alimuangalia kwa hasila mno


Baada ya mda Novo pamoja na Haidary walitoka kuendelea na shuguli zao 


"Da! Yani Umepata Sana ! Rafiki angu Haidary ! Una nyota !


"We ! Acha tu ! Mwanzo nilikulaumu bure kumbe umbea mda mwengine mzuri eee !


"Hahahaha !!!!!!!


Walicheka kwa Pamoja 


"Da ! Ila Naisma ajapenda itakuaje Sasa Haidary !


"Da ! Kuhusu Naisma hata sielewi ila mtajitaidi anipende ! Ngoja nipitie kabisa kwa ostazi juma tukaandae barua ikiwezekana kesho ipelekwe !


"We! Haidary ! Una barua ! Yani fasta fasta Mambo !


"Yani ndo wajue Kama nilikuwa na nia! Nilivyo kuwa natesekaga leo nimepata bahati sitaki kuichezea !


"Aya bhna baadae !


🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥


Asubuhi na mapema Haidary Frut akiwa anajiandaaa aende kwenye Biashara yake alishangaa kuona Gari ya Naisma ikipaki uwanjani . Naisma alishuka na kumkuta Fahadi pale nje .


"Kalibu !


"Nimemkuta Haidary Frut ?


"Ndiyo !


"Niitie !


Fahadi alingia Ndani na kutoka nje 


"Kasema awezi kutoka nje Kama unashida nae ingia Ndani !


"Mh ! Aya 


Naisma alingia ndani kwa Haidary Frut .alimkuta kakaa kwenye sofa 


"Ooh ! Kalibu malkia Wangu Naisma ! Kalibu ukae !


"Sikia ! We kipanga mzoefu ! Shika hii pesa milioni mbili na nusu nakuomba utokomee kokote ! Usije kunioa Mimi siwezi kukupenda mtu Kama wewe !


Haidary Frut alikaa kimya kwa mda kisha anamuangalia Naisma usoni uku machozi yakimlenga 


"Mimi Nakupenda sana tena Sana tu Naisma ! Siwezi kwenda mbali na Wewe na Siwezi kufanya Ivo !


"Msiuuuuu ! 


Naisma alisonya na kutaka kuondoka kabla ajatoka nje Haidary Frut alimvuta na kumuweka kifuani kwake . Uku wakiangaliana usoni 


"We ! Chizi ! Niache 


Naisma aliangaika kujinasua kwa Haidary Frut bila mafanikio 


"Anha ! Unataka kunibaka au sio !


"Hahaha! Siwezi kufanya Ivo atakama tukioana Adi utake mwenyewe ! 


Naisma alifulukuta mwishoe aliona Bora atulie tu ndipo aliposhtukia busu la mdomoni kutoka kwa Haidary Frut 😘


"Chizi wewe !


Naisma alimsukuma Haidary Frut nakutoka zake . Alitembea kwa hasila uku akikazana na alipanda Ndani ya Gari lake na kuelekea Ofsini kwake


💓💝💞💓💖💝💕💓💖💝


Masiku yalikata na hatimae Ndoa ya Haidary Frut na Naisma ilikalibia 


Naisma akiwa Ofsini kwake aliwaza lile busu la Haidary Frut


"Mh ! Yule Kaka ni hameizing ! Sana Yani lile busu Ndo nilikumbuke Adi leo ! Au kashaniloga yule Kaka nianze kumpenda penda !


Naisma alijiwazia uku akizunguka zunguka na kiti akiwa kakiegemea na uku akitafuna tafuna peni. Na alinuka nakwenda kuchungulia Dirishani macho yote kwa Haidary Frut pale anapofanya biashara akiwa anaendelea kumuangalia alishangaa kumuona Binti akija kwa Haidary Frut na alivyofika Pale akamvuta mkono Haidary Frut pembeni ili waongee


Mwanamke uyo alivalia kijora na alikuwa kabandika mikope . Kijora hicho kilikuwa na mipasuo uku na uku katikati alijifunga mtandio wa uwo kijora na alionekana yule mwanamke anaongea na Haidary Frut kwa kudeka


"Yani anajifanya ananipenda kumbe muongo ana mwanamke wake uko uswahilini kwao mpuuuzi kabisa !!!!!!


"Simpendi Yule Kaka ! Nimshenzi tu . Yangu Novo na Tina mngemuona uyo mwanamke ? Ni kibinti Cha mtaani tu kicharuko tu !


Naisma aliongea Ivo uku akichukua juisi na kuinywa mda huo ulikuwa ni mda wa Runchi Yani chakula cha mchana . wenzie walikuwa kimya wakimuangalia Naisma


"Mh usimuhukumu mtu kabla ujamuuliza !


"Khe ! Novo kumuuliza Nini ? Na kila kitu kipo wazi !


"Khe 😄 jamani Mimi mwenzenu nshamisi Kula machungwa 🍊 ya Haidary Eti ? 


Tina alisema ivo na wote walinuka na kuongozana kwa Haidary Frut


🍀☘️


"Oooh ! Karibuni jamani !


"Asante shemeji yetu mtarajiwa !


"Mambo Mrembo Wangu !


Naisma akujibu kitu alikaa kimya Kama hamsikii Haidary Frut. Haidary aliendelea kumenya machungwa . Baadae kidogo akaja Yule Dada mchaluko Alie muona mwanzo Naisma . Uyo Binti hakuwa mwengine Bali Yule aliemkataaga Haidary Frut Ni Mwajuma muuza sambusa 


"Haidary ! Za mida ?


"Poa! Tu . Kwani bado ujaondoka kwako ?


"Kwangu kupi ? Tena . Haidary Frut kwani mwanzo tuliongea Nini ? Si nimekwambia Kama nadai talaka yangu ili tuludiane Mimi na wewe ! Uyu nilienae simuelewi Wewe Ndo ulinipenda kwa dhati Haidary Frut ulikuwa unanipa kila nacho kitaka vijora vya shuguli unanikatia Ela ya kutunzana,kukodi kigoma zote ulikuwa unanipa Haidary !


Yule Binti aliongea Ivo nakumshika mkono Haidary Frut aliongea kwa kudeka . Mda huo Novo, Naisma pamoja na Tina walikuwa wanawangalia 


"Eee ! Dada samahani 👌 usitushikie Kama Ivo mkono shemeji yetu !


Mwajuma alikatishwa mazungumzo na Tina na akageuka kumuangalia usoni uyo anaeongea maneno hayo . Mda huo Haidary Frut Alikuwa anajichekesha uku akimuangalia Naisma usoni . Naisma ambae alikuwa anaumia Ndani ya moyo wake ila alikuwa ataki kuongea angeonekana anamuonea wivu na yeye alisema amtaki


"Shemeji yako ? Yupi !


"Khe ! Dada usijizime Data 👌 Kama mnala wa Voda ! Apa kwanini Wewe ! Umeshika mkono wa Nani ? Hapo 


"Anha ! Unanitafuta Shari 👌 Dada eee ! Mie ndo mwajuma Ndala ndefu ! Unalotaka na Mimi nataka 👌 Haidary Mimi Ndo mpenzi wake muulize ata mtoto aliezaliwa leo atamwambia !


"Tobaaa ! Mtoto aliezaliwa leo toka lini anaongea ? Kwa Taarifa yako tu ! Uyu Dada unaemuona Hapa Ndo mke mtarajiwa wa Haidar !


Tina aliongea kwa kujiamini uku akimuoneshea kidole Naisma ambae alioneshwa kuchukizwa na Yule Binti 


"Hahahaha ! Yani Haidary 👌 izo sio pigo zake ! Pigo zake Kama izi akina Mwajuma Ndala ndefu ! Sio izo za wavaa suti akina Liana !


"Kheee ! 👌 We Binti mbona king'ang'a yote ulioambiwa auelewi tu ! Uyo ndo mke mtarajiwa wa Haidary 


Novo berry alingilia Kati na kumuita Mwajuma king'ang'a Yani king'ang'anizi 


"👌 Anha Kama yeye bi mkubwa Mimi Ndo bi mdogo Sasa abanduki mtu apa simuachi ng'o Haidary Frut 👌 !


Naisma aliondoka kwa hasila bila kuongea kitu chochote na Wenzie walimfata nyuma.


🍓🍓🍓🍓


Masiku yalipita na hatimae Ndoa ilifungwa ya Haidary Frut na Naisma 💖   


Na Haidary Frut aliambiwa amie Pale Pale kwa kina Naisma kwani Nyumba ulikuwa Ni ya Gorofa na ulikuwa na vyumba vya kutoka . Haidary Frut aliamishia vitu vyake kwenye hicho chumba alichopewa na mkwewe . Siku iyo Ndo ilikuwa siku Yao ya kwanza kwenye Ndoa Yao Yani siku Yao ya harusi Naisma alipendeza Sana pia Haidary Frut pia alizidi kuwa Handsome zaidi


Naisma alingia chumbani na kukaa kwenye Sofa tu ! Haidary alikuwa kajilaza kitandani tu.


Haidary Frut aliangalia kiswaswadu chake na kuona saa 5 kasolo aliinuka na kumfata Naisma Pale alipokaa 


"Umependeza zaidi leo malkia Wangu !


Haidary alimuinamia sikioni Naisma na kumnong'oneza uku Naisma mapigo ya moyo yalimuenda mbio 


"Toka Hapa ! 


Naisma aliongea Ivo na kuinuka mara moja na kusimama 


"Khe 😄 kwani mie nataka nikufanye Nini ! Jamani 


Naisma alienda chooni ambako chumba chao kilikuwa na choo umo umo aliingia na alivyo toka alivaa nguo za kulalia suluali pamoja na shati la mikono mirefu 


"Chagua moja ulale kwenye kiti ! Au kitandani !? Naisma aliongea uku akiangalia pembeni 


Haidary Frut alimvuta Naisma na kumuweka kifuani kwake " niangalie usoni " Haidary akimwambia Naisma uku akiwa kamkumbatia na Naisma alikuwa anajitaidi kumtoa 


Haidary akiwa kamshika Naisma mara Simu yake iliita. Na wote waliiyangalia na Mwajuma Ndo aliekuwa anapiga ila Haidary Frut hakutaka kupokea aliachana nayo 


Naisma alimuachia Haidary Frut nakwenda kujilaza kwenye Sofa na Haidary akamwambia Naisma alale tu kwenye kitandani yeye Ndo atalala kwenye Sofa....


🍓🍓🍓🍈🍈🍈


Hatimae ni siku nyingine Tena Naisma aliamka Asubuhi nakujiandaa kwa jili ya kwenda kazini 

"mke Wangu naomba unisubili tuongozane wote unipe lifti " 


Haidary Frut aliongea ivyo uku akimalizia kunywa Chai ☕🍞


"Kha ! Yani nikusubili wewe ? Alafu Ndo unapanda Gari la Nani !? Yani na Ukome kunita mke Wangu ! Mbwa wewe !


Naisma aliongea uku akitikisa funguo za Gari kwa jeuli na aliondoka zake . Haidary Frut alinyongea alikaa kimya uku akiwa kainamia chini. Kumbe Mda wote huo Jasmini alijibanza sehemu na alisikia maneno yote aliyoongea Dada yake llimsogelea shemeji yake na kumsalimia 


"Pole shemu ! Mzoee tu Dada yangu !


"Amna Shem kawaida tu ! Usijali !


Haidary Frut hakutaka kuendelea kuongea na aliondoka zake kwenye Biashara yake ya kuuza matunda .


🥭🥭🥭🥭🥭


"Habari ! Kaka naulizia Hotel ya Nyota tano !


"Oooh ! Safi tu Dada angu ! Naweza nikakupeleka tu  


Ilikuwa ni sauti ya mwanadada Mrembo Sana na shombe shombe na alionekana wa kishua Sana. Alikuwa na shepu. Na ilikuwa ni ndoto ya kila mwanaume aliemuona alitamani awe nae. Aliitwa Recho


Recho alikodi Tax na na kupakiza mabegi yake na alipanda nyuma 


"Opsuuu! 


Recho alishusha pumzi ndefu na kuchukua I phone yake na kumpigia Baba yake


"Hello Daddy ! Nishafika Dar But nimechoka Sana ! Huku ni joto nishayakumbuka magali ya Nyumbani yenye AC dady !


"Oooh ! Pole Binti yangu !


"Embu Kaka simama Hapo ninunue Matunda kwanza ! Ok dady badae !..


Recho aliagizia machungwa na Ndizi mda anapewa aliyapokea uku akimshangaa muuza matunda


"Khaa ! Wewe sio Haidary ?


"Khee ! Wewe ni Recho !


"Ndiyo !


Recho alishuka Ndani ya Gari na kwenda kumkumbatia Haidary Frut kwa Nguvu na kwa furaha Sana...


Mda wote yanaendelea Naisma alikuwa anawachungulia Dirishani alishtuka kumuona Recho 


"Mh ! Yule Binti ni Nani? Na Haidary Frut amemjuaje Binti mrembo Kama Yule? 


Naisma alijiwazia peke ake na alipata wazo la kumpigia Novo berry aje Ofsini kwake haraka na Baada ya mda kidogo Novo berry alifika Pale .


"Enhe ! Naisma kunashida gani maana sio kwa Simu ile !


"Embu acha maneno yako bhna ! Novo embu njoo Hapa Dirishani ! 


"Enhe !


"Unamjua Yule 👉 Binti anaeongea Pale na Haidary !?


"Kheee !!!!! Ile pisi Kali Haidary Frut kaitolea wapi Tena ! Na nitamjuaje mie ! Haidary Frut anabalaa itakuwa ni mteja tu ! Asikubabaishe !


"Okay ! Umesema humjui pia atakuwa nimteja tu okay !


Novo aliendelea kumuangalia kwa makini Yule Binti 


"😳 Kheeeeee !!!!!!!!!! Siamini macho yangu !!!!


"Nini Tena Novo!


"Shosti umekwisha ! Yule ni Recho alikuwa anampenda Haidary Frut vibaya mno Hadi Haidary Frut analijua ilo Yani ! Ni mpenzi wake wa utotoni ! Yani Nai unajipya !


"Paaaaaa !


Moyo wa Naisma ulilipuka baada ya kumsikia Novo berry akisema maneno hayo

🍀☘️🔥


Ni mda wa Runchi Sasa Naisma Alikuwa na Rafiki zake wote wawili Tina Pamoja na Novo berry


"Basi Yani Recho alikuwa kafa kaoza kwa Haidary kipindi icho tunasoma sekondari ! Yani Recho kwao walikuwa na uwezo Sana na Haidary Frut Alikuwa analelewa na Bibi yake alikuwa anaishi maisha magumu Basi Recho alikuwa anampa Ela Haidary Frut kila siku adi za mitihani ! Daaa !!! Wametoka mbali Sana Yani ! Sijui walipotezana vipi ?


"Eeee ! Basi Novo inatosha badilisha stori !


"Khe ! Yashakuwa hayo Tena na wakati Wewe mwenyewe Ndo uliniuliza kuhusu uyo Binti !


Naisma alinuka nakuacha chakula na kwenda Ofsini kwake kuendelea na kazi alimuacha Novo berry pamoja na Tina wakimalizia chakula Chao 


"Mh ! Novo berry Naisma anaonesha ajapenda Haidary kuwa na Rafiki Kama Tina !


"Mh ! Wivu tu ! Ndo unamsumbua shoga ako anajua Atapokonywa tonge mdomoni tu ! 


"Hahahaha !!! Kwani yupoje uyo Recho jamani ! 


"Weeeeee !!!!!! Recho chombo wewe shoga ako amuingii ata kidogo alafu shombe shombe fulani ivi Yani Naisma na izo Zalau zake ajiandae kuachwa Apo mchana kweupe !!!!


"We ! Novo unasema kweli ?


"Enhe! Mimi Ndo nakwambia subili uone !!!!!!


💛💛💛💛💛💛💛💛💛


Ni jioni Sasa Naisma aliludi Nyumbani akiwa kachoka mda wote alikuwa anamuwaza Haidary Frut na Recho aliingia chumbani na kuoga alivaa kibrauzi na kanga yake alienda mbele ya kioo 


"Ata Mimi pia ni mrembo ! Pisi Kali vile vile ! 


Naisma aliongea na kuangalia saa ya ukutani iliyoko chumbani kwao 


"Mh ! Haidary Adi saizi ajaludi au Ndo yupo na Yule mwanamke Nini ? Aaah ! Ivi kwanini !? Na jali Sana kuhusu ilo ! Aaah Atajijua mwenyewe bhna kwanza ata simpendi Wala Nini ?


Naisma alijiongelesha mwenyewe kwenye kioo Kama chizi aliamua kutoka na kwenda sebleni ile anatoka kufika mlangoni wakakutana uso kwa uso na Haidary Frut na wakagongana mda huo huo Naisma alitaka kudondoka lakini Haidary alimdaka na kumvutia kifuani kwake na wakawa wanaangaliana usoni . Haidary Frut akaona hii ndo nafasi mzuri ya kumbusu Naisma mdomoni na Naisma alitulia tu na kumuangalia Haidary usoni


"Mh ! Samahani ! Jamani chakula tayari !


Alikuwa ni Jasmini ambaye aliwakatisha pozi Lao Haidary Frut na Naisma. Haidary alimuachia Naisma ambae alitoka upesi kuelekea sebleni. Alienda sehemu ya kulia chakula na kukaa 


"Oooh! God huu ni ujinga sasa ! Opsuuu !!!!!


Naisma aliongea Ivo nakuchukua Simu yake ya mkononi na kuanza kuchezea 📱 . Wote walikaa mezani nakuanza kula kuanzia Baba Naisma, Mama Naisma na Jasmini pamoja na mwanae ambaye aliitwa Abduly asaiv kilikuwa kimekuwa kuwa kilijua kuongea kidogo na yeye alikuwa anakula 


"Mh ! Kwani mkwe Wangu ! Haidary bado ajaludi jamani mbona simuoni ?


"Ameludi tayali Mama !nilienda kuwaita wote yeye na Dada Naisma !


"Anha ! Sawa 


Mama Naisma aliuliza na Jasmini alijibu Naisma alibaki kimya . Naisma alianza kujisemea moyoni 


"Mh ! Mbona Haidary haji au Ndo anaongea na Recho kwenye Simu !


Naisma akiwa anajiwazia Gafla alikuja Haidary Frut akiwa Anaongea na Simu Tena na uyo Recho. Haidary alianza kula uku akiwa Anaongea na Simu


"Kwani uwezi kukata Simu yako Ndo ukala !!!!


"Mh ! Mwanangu Naisma ! Kwani Kuna ubaya gani !??? Si kawaida tu !


Baba Naisma alimjibu Binti yake Naisma . Haidary alikata Simu nakuendelea kula ...


🔥🔥🔥🔥🔥


Siku Nyingine Tena katika Ofisi siku iyo ilienda vizuli hatimae jioni ilifika mda wa kwenda Nyumbani na Naisma na Rafiki zake walitoka nje ya Ofisi kwa jili ya kuondoka majumbani mwao 


"Tobaaa !!! Oneni kule 👉 wakishua kashafika ! Tobaaa oneni umini ule !!!!


"Paaaaaa!!!!!!!! Novo berry aliongea uku akinyoosha kidole akuwa mwengine Bali ni Recho ambaye alikuwa kavalia kisketi na prova uku akiwa kabana nywele zake na zengine aliziacha zimwagikie usoni 


"Khe ! Kwani yule 👉 ndo uyo Recho mwenyewe !


"Ndiyo ! Tina ndo Yule !!!


"Khe ! Mtanzania kweli yule ! Mbona kazuli mh ! Uyu sitaweza kumchamba sizani Kama kiswahili anakijua uyu !!!!!


"Twendeni Kwanza jamani ! Twendeni ! 👌


Novo berry aliongea Ivo nakuvuka Bala Bala Baada ya Mda kidogo wote walifika kwa Haidary na walisalimiana 


"Recho uyu Ndo mkewangu ! 


"Kheeeeee !!!!!! Haidary Una mke ???


Recho aliuliza kwa mshangao mno uku akipoteza furaha kabisa 


"Ndiyo !


"Okay ! Ivi Kama namjua uyu mwengine apa !


"Ndiyo uyu ni Novo si tulisoma nae Baba yake Ndo alikuwa mwalimu mkuuu Sir Limo !


"Anha ! Nisha mkumbuka !


Novo berry alitabasamu kidogo . Recho alikaa juu ya meza ya machungwa uku akitafuna Apple 🍎 na kufanya kimini chake kizidi kupanda juu uku mapaja myeupe yalionekana 


"Mh !!!!


Novo berry aliishia kuguna tu lakini Tina akukaa kimya 


"Eee !!! Iyo meza ya biashara na sio Benchi ! Mabenchi yote Ayo ! 👌


Recho akujibu kitu alimkata jicho tu . Tina Naisma alishia tu kumuangalia Recho


"Jamani Haidary ! Naomba unishushe Hapa juu siwezi kushuka !!!!


Recho aliongea kwa kudeka . 


"Kwani ! Kakupandisha Nani ? 


Novo berry alimjibu ile Haidary anataka kumshusha aliwahi Novo berry nakumshusha yeye . Recho hakupenda kwani alitaka Haidary Ndo amshushe 


"Haidary Frut twende Nyumbani !!


"Aaah ! Sawa mtakuja mtapanda piki piki mtawahi sitapanda Gari leo !


"Utapanda Gari yangu !


"Eti unasemaje?


Naisma alimwambia Haidary Frut waondoke Baada ya kuona vituko vya Recho vimezidi Haidary alishangaa Sana . Kabla ajajibu Naisma Recho alidakia 


"Haidary hamna kuondoka asaivi namazungumzo na Wewe ! 


Recho aliongea kwa kudeka. Haidary alimuangalia Naisma usoni Naisma alijisikia wivu na kuamua kuondoka zake bila ya kuaga na wapambe wake walimfata nyuma .


"Khe ! Unaanzaje kuondoka na kuwaacha kwa mfano ! Tena kizembe !

Tina aliongea uku alimkimbilia kwa Nyuma Naisma ambae alikuwa anakazana kwa hasila


ITAENDELEA...

Post a Comment

0Comments

Your Thoughts

Post a Comment (0)