DADA MDUNGUAJI EPISODE 5

Emmanuel Lee
By -
0
Dada mdunguaji EPISODE 5

STORY NA Mbogo Edgar ILIPOISHIA SEHEMU YA ISHILINI : Jackline akaulaza mkono wake juu ya dudu ya Denis, ikiwa bado ndani ya nguo, akauchezesha kidogo mkono wake, akaiona inazidi kusimama, akautoa mkono wake haraka, akamtazama Denis usoni akamwona bado amelala fofofo, Jackline akatabasamu huku anajilamba midomo, Jackline huku akimtazama Denis usoni akaikamata bukta ya Denis na kuishusha taratibu, adi alipoiona dudu ya mwenyeji wake, ipo nje kabisa ya kibukta, endelea......... Akatabasamu kidogo huku akijaribu kumfinya Denis kwa mala ya pili, akamwona ndio kwanza anaendelea kukokoroma, akainuka nakwenda kwenye switch ya kubadili taa, na kuwasha taa nyekundu akizima ile yenyemwanga mkali, akavua ngua alizotoka nazo mbezi, kisha akavaa kigauni kingine chakulalia, kinacho fanana nakile alicho vaa jana usiku, huku akibaki na chupi ile ile aliyo tokanayo mbezi, kisha akarudi kitandani, safari hii alipanda juu ya kitanda kabisa, akakaa kitako kisha akajaribu kuishika dudu ya Denis, kwenye kichwa cha dudu hiyo kwa kutumia ncha za vidole vyake, kisha akaiinua na kuanza kuichungulia huku akiigeuza geuza, wakati wote Jaackline alihisi kuna kitu kina mtekenya kwenye kikunde chake, wakati mwingine Jackline aliendambali kidogo, kwa kuanza kuchezea kengere, (pumb..) akazichezea kidogo, mpaka hapo akaona dudu inazidi kushtuka na kusimama zaidi, kiasi cha mashipa ya damu kuonekana kwa uwazi, Jackline akaihachia kwanza dudu, Jackline akamtazama usoni Denis, akamwona bado ana endelea kulala, akaipiga dudu kikofi kidogo, dudu ika stuka na kunesa nesa kama antennal za magari ya polisi, lakini Denis akuwa na habari, anaendelea kukoroma, hapo Jackline akaikamata dudu, kama vile muimbaji anavyo kamata mic (kipaza sauti) akaichezea kidogo kwa kuitikisa, huku akimtazama Denis usoni, Denis hakustuka, lakini yake dudu ilizidi kukakamaa, na kujaa mkononi kwake, hapo Jackline aliiachia dudu na kumfinya tena Denis, kwenye paja, huku safari hii akiongeza nguvu kidogo, za ufinyaji, lakini Denis akatulia na kuendelea kukoroma, Jackline akatabasamu, huku ana jiinua kidogo na kupeleka mkono wake kwenye chupi, akaikamata anakuishusha mpaka kwenye magoti, wakati ana fanya hivyo alihisi kuna vitu tofauti, akaigusa chupi yake ile sehemu inayokaa msambwanda (kitumbua) akashangaa kuona pana vitu kama mafua mepesi, akashangaa kisha akagusa kitumbuwa chake, lakini juu juu kwenye mlango, akatazama mkono wake akaona uteute mwingu, lakini wakati huo kikunde chake kilikuwa kinatekenya, na kila alipo jigusa sehemu hiyo, alisikia utamu flani hivi, akiwa bado amechuchumaa Jackline, akaikamata dudu ya Denis kama alivyo kuwa ameikamata mwanzo, kisha amkono wake mwingine, akiwa bado anautumia kujichezea kwenye kikunde, ambacho muda huo kilikuwa kina mtekenya, utasema kuna mdudu, ametuwa juu yake, akaanza kuchezea dudu ya Denis, huku mkono mwingine ukiendelea kuchezea kunde yake mwenyewe, alitumia dakika mbili kujifanyia ako kamchezo, Jackilene alijisikia utamu sana, ilifikia kipindi, alianza kutoa sauti kama anakula muwa, ghafla akastuka kuona ata sauti ya Denis ikibadilika toka kukoroma, na kuanza kutoa miguno ya utamu, akajuwa tayari Denis amesha amka, aka achia kikunde chake haraka, na kuinua mkono wake aliokuwa anatumia kuchezea kunde yake, akiwa tayari amekunja ngumi, huku mkono mingine bado ameishika dudu ya Denis, tayari kuishusha ngumi nzito, shingoni kwa Denis, maana hakutaka Denis ashuhudie ile aibu yake, ***** muda huo huo Mbezi Full dose pub Inspector Johnson David, na vijana wake wakisaidiana na polisi wa mbezi, aliwakagua watu wote waliomo mle ndani ya bar, asa wanawake, wale vijana watatu ambao walipisha na Jackline wakati wanaingia, baada ya kuona watu wana pekuliwa vikari, waliambiana kuwa, wazi tupe zile picha, za mtoto wa mzee Nyati, maana wakipatikana nazo watausishwa moja kwa moja na tukio, kwani walifahamu fika kuwa, lile tukio lina usiana na huyo huyo mwanamke maana, wakipeleka hisia zao kwa mwanamume alie ongozana nae kuwa ndie muuwaji, maana waliamii kwa jinsi Jackline alivyo hasingekuwa na uwezo wa kufanya mauwaji kama hayo, nikweli wao hawakuwa watu wema pia, kutokana na kazi waliyopewa, lakini muda wote kila mmoja kichwani kwake, alikuwa amekubari kuwa, kazi ya kumtafuta mtoto wa mzee Nyati, ni hatari kuliko kuvamia kambi la jeshi, huku nako insp Johnson bado likuwa ana angaika kusimamia inspection, lakini akupata kitu chochote cha kumsaidia kumpata muuwaji, kila aliye kaguliwa alitoka nje na kuondoka zake, wale vijana watatu nao, baada ya kukaguliwa, waliondoka zao, na kuelekea moja kwa moja mpaka mbezi msakuzi, wakawapigia simu wenzao, kuwa waje haraka sana nyumbani, wapange mbinu zaidi, maana muuwaji wame pishana nao wao, **** huku nako Insp Johnson alimaliza kafanya kazi yake, na kuamulu miili ya wale marehemu ipelekwe muimbili, huku yeye akiongoza huko, baada ya nusu saa walikuwa wamesha fika muhimbili hospital, Insp Jackline alitowa maagizo kwa mganga wa zamu, kuwa kesho anapitia vipimo vya wale marehemu, wakati huo akipiga simu kwa mchunguzi wa alama za vidole wa polisi, kuwa kesho awai kuangalia alama hizo kama zita fanana na, za wale walio tangulia kuuwawa, **** chumbani kwa Denis na mgeni wake, Jackline aliinuwa mkono wake akiwa tayari amekunja ngumi, lakini akasita ghafla baada ya kuona mwenyeji wake akiwa bado amelala, akionekana kama anaweweseka, akitowa miguno ya kimahaba, Jackline alishusha pumzi nzito, akalegeza mkono, akaitazama dudu ya Denisi akaiona bado imesisimama, akatabasamu kisha akasimama na ku chuchumaa tena, lakini safari hii alikuwa amechuchumaa kama anataka kujisaidia haja ndogo lakini alichuchumaa katikati ya Denis, aliye lala chali, alijichuchumalisha usawa wa sehemu ya dudu, Jackline akaikamata dudu ya mwenyeji wake mlevi na kuilengesha kwenye kitumbua chake, ambacho kilikuwa akija wai kuingizwa dudu toka amezaliwa, kisha taratibu akaigusisha kwenye kitumbua chake, akaanza kuchezesha dudu ya mwenyeji wake, kwa kugusisha kwenye kunde yake na kuanza kuisugua kunde yake kwa kichwa cha dudu ya Denis, ambaye muda huo alikuwa ajitambui kwa usingizi wa pombe, akasugua kunde yake taratibu kwa kichwa cha dudu ya mwenyeji wake, huku akionekana kusikia utamu, ni utamu uliomfanya aongeze kasi ya kuchezea kunde yake kwa kutumia dudu ya Denis, ikafikia wakati akaanza ku toa ile sauti ya miguno ya utamu, kitumbua chake kilikuwa kimelowa ute uliosababisha utelezi, mpaka mwingine ulikuwa ukimdondokea Denis, kwenye nywele zake za sehemu za siri (mavuz!) ambayo yalikuwa yanaanza kuota, baada ya kunyolewa sikuchache zilizo pita, Jackline utamu ulizidi kumkolea, akajikuta akiongeza speed ya kuchezesha kichwa dudu kwenye kikunde chake, mala akasitisha kale kamchezo kake, lakini bado alikuwa ameshikilia dudu ya Denis, akajiweka vizuri kisha akailengesha kwenye mlango wa kitumbua chake, alafu taratibu Jackline akaanza kuikalia ile dudu, kwalengo la kuitaka dudu iingie ndani ya kitumbua chake, lakini akashindwa kutokana na maumivu aliyo ya sikia, Jackline alijaribu mara kadhaa, kuikalia dudu, lakini alishindwa, kutokana na maumivu, sababu hakuwai kufanya mapenzi toka amezaliwa, akaikamata tena dudu ya mwenyeji wake na kuanza kuitumia kuchezea kikunde chake, kama alivyo kuwa anafanya mwanzo, Jackline alipata utamu ambao hakuwai kuupata toka amezaliwa, alifanya vile huku ule ute ute ukizidi kuongezea na kutapakaa kwenye kitumbuwa chake na mwingine ukichuruzika kwenye dudu ya Denis, Jackline alianza kuona utamu una ongezeka akaongeza kasi ya mkono wake kuichezesha dudu kwenye kikunde, utamu ulizidi kuongezeka, ilifikia kipindi akahisi utamu ukizidi zaidi kiasi cha kuhisi kitu kama kojo ukitaka kutoka, Jackline alikakamaa na kukaza mwili wake kuanzia sehemu ya tumbo mapaja na makalio, akaongeza kasi ya kuisugua dudu kwenye kikunde chake, mala mwili wake ukaanza kutetemeka huku akihisi utamu wa mkojo ukichuruzika ndani kwa ndani ya kitumbua chake, mwisho aka tulia na kuhema kwa nguvu sana, mwili ukimsisimka, huku maji maji ya kitumbua yakichuruzika kwenye maeneo ya dudu na kinena na cha Denis, hapo Jackline akajihisi kuchoka sana, akajikuta anajibwaga kitandani, ‘bwaaaa’, alitulia hapo kwa dakika kadhaa, kisha akajiinua na kumtazama Denis usoni, bado alikua amelala, lakini safari hii alikuwa ametulia, hakuwa anakoroma wala kuweweseka, akaitazama dudu ya Denis, bado ilikuwa imesimama sana, taratibu Jackline aka mvalisha vizuri bukta mwenyeji wake, ambae alikuwa hajitambui kabisa, na kuiweka vizuri dudu yake, lakini bado ilionekana jinsi ilivyo kuwa imesimama, kisha Jackline akajilaza kitandani, pembeni ya Denis **** juma pili siku ya pili asubuhi, Insp Johnson aliamka mapema sana, licha ya kuchelewa kulala jana usiku, kutokana na mauwaji yaliyo tokea mbezi, akajiandaa na kwenda kazini, kituo kikuu cha polisi, ambapo aliwakuta vijana wake wamesha fika, ni makubaliano yao ya jana usiku, kuwai mapema leo asubuhi, mpaka mida hiyo ilisha timia saa kumi na mbili na robo, wakaingia kwenye magari nakuelekea mbezi, kutazama kama kuna lolote ambalo polisi wa mbezi wame ligundua, maana walikubaliana warudi asubuhi kuangalia eneo la tukio, na kwamba insp Johnson atawakuta pale Full Dose pub, msafara wa magari mawili ya polisi ulifika pale mbezi saa moja kasoro, waliwakuta polisi watatu wa kituo cha mbezi, wakiwa wanaendelea kulikagua lile eneo, baada ya kusalimiana kijeshi, ndipo maongezi mengine yakafwatia,“ok! nipe report ya ukaguzi waeneo” alisema insp Johnson, askari mmoja mwenye cheo cha sajent kati ya wale walio wakuta pale full dose, akaanza kumweleza walicho gunduwa, ni kwamba waliokota makaratasi matatu yaliyo kunjwa kunjwa na kutupwa, yenye picha zinazo fanana, nipicha zenye sura ya mwanamke, baada ya kuahoji wahudumu walikili kumwona huyo msichana kwenye ile la bar, na alikaa maeneo ya karibu na walipo ziokota hizo picha, lakini huyo dada na mpenzi wake waliondoka muda mfupi kabla, ya kugundulika kuwa kuna mauwaji ya metokea, na meza yao ilikaliwa na watu wengine watatu, ambao ni vijana wakiume, insp Johnson David akazichukuwa zile picha na kuzitazama, akakutana na picha ya mschana mrembo sana, akaiangalia ile picha kwa dakika kadhaa, huku akiwaza jambo flani, akapata jibu, walio zihacha zile karatasi ni wale vijana, pengine walikuwa wanamtafuta yule mrembo, ambae baada ya kuwaona wanaingia naoe akawakimbia, pengine wana visa vya mapenzi, au wametumwa kumfatilia, hivyo akaona nivyema kuzichukuwa zile picha, kama itatokea yule dada akazurika kwa lolote ajuwe pakuanzia, lakini insp Johnson, akuwai uwaza kuwa yule mschana mrembo anaweza kuwa anausika na mauwaji yanayo endelea, Insp aliwahoji wale wahudumu maswali mawili matatu, lakini akaona hakuna msaada wowote, ilisha timia saa mbili asubuhi, Insp aka waaga wale polisi wa mbezi na kuondoka zao kuelekea muhimbili hospital **** huku nyumbani kwa Denis, Denis aliamka saa mbili na nusu, akashangaa sana kuona dudu yake ilikuwa imesimama, kupita kiasi, mpa kufikia atua ya kuskia maumivu, mgeni wake Jackline akuwepo chumbani na wala akujuwa kama na leo alilala chumbani kwake, Denis akajiinua toka kitandani nakuelekea bafuni kukojoa, iIe kutowa dudu akaona kuna utofauti flani kwani ilikuwa ina natanata flani hivi, kakojowa kwanza, maana mkojo ulikuwa umembana sana, alipo maliza akanusa mkono alioshikia dudu wakati wakukojoa, akasikia harufu flani siyo ya kawaida, nikama arufu ya samaki papa, lakini ilimvutia (sijuwi kwa nini ilimvutia), Denis akajichungulia sehemu zake za siri, akashangaa kuona kwenye sehemu zake hizo pamoja na pale kwenye kiunga cha nywele za sirini (mavuzi), kulikuwa na kama alama za michilizi ya majimaji ya aliyo natia natia kama ute wa yai, au michuzi ya miwa iliyo kauka, Kama alie lejewa na fahamu, Jackline akavuta shuka haraka sana na kujiziba sememu zake za mbele, yani kifuani mpaka kwenye usawa wa kitumbua chake, kisha akajiinua na kuifwata simu yake, akaitazama“baba” alisema Jackline, huku akikimbilia mlango wa chumba kile, akimgeuzia mgongo Denis ambae alikuwa amekodoa macho kutazama msambwanda wa mgeni wake, ambae kila alipo piga atua kuukimbilia mlango, ndivyo makalio yake yalivyo cheza kwa kutikisika, Jackline alifungua mlango na kutoka nje ya chumba, kisha akapokea simu, nakutembea kuelekea sebuleni, akaanza kuongea na baba yake, akimwacha Denis anashangaa kilichotokea mpaka wakawa watupu kama vile, lakini akukumbuka kama walifanya chochote, kabla ya kulala, Denis akatazama muda kwenye simu yake, akaona ilisha timia saa kumi na mbili na robo “mama yangu, nimechelewa” Denis akainuka haraka na kuingia bafuni mbio mbio, Denis alitumia dakika chache kuoga na kujiandaa, mda mfipi sana alikuwa tayari kwenda kazini, wakati anatoka kuelekea nje, alifika sebleni akumwona Jackline, japo aliona aibu kidogo kwa hali aliyo jikuta nayo asubuhi, lakini Denis alitamani sana kuonana na Jackline lengo lake likiwa ni kumsoma mgeni wake, ili kutambua kama kitendo kile alikichukuliaje, kwani alihisi kutokana na ulevi waliokuwanao, labda alijaribu kumwingilia Jackline, ambae na yeye alikuwa kazidiwa na ulevi, lakini kila alipo jaribu kukumbuka akukumbuka kitu kama hicho, akajaribu kumwita Jackline lakini akujibiwa, akaona ngoja amwangalie jikoni labda yupo huko, lakini moyo wake ulimshinda, akajiuliza atawezaje kuimili kama atamkuta Jackline analia huko jikoni, hapo Denis akaghaili, alicho kifanya ni kuweka fedha mezani, kiasi cha laki moja na sabini, akijuwa kuwa baba yake Jackline amepiga simu, kusisitiza utumwaji wapesa hizo, kisha akazikandamizia na chupa ya wine, aliyo kuwa ana kunywa Jackline usiku, kisha akaliendea fliji nakutoa makopo mawili ya cola, alafu aka chukuwa bia mbili zakopo mezani, yeye anaita za kutolea lock, kisha huyo, akatoka nje, Jackline akiwa amejibanza chooni, ni choo cha public, akiwa amesha maliza kuongea na baba yake, alisikia wakati Denis akimwita, lakini kutokana na aibu aliyokuwa nayo, Jackline akakaa kimya, mpaka alipo sikia mlango wa nyumba unafungwa, Jackline akatoka taratibu akiwa amejifunika lile shuka, na kuelekea sebuleni, akachungulia dirishani, akamwona Denis akiondoka na gari, akalitazama gari mpaka lilipo potea kabisa, hapo Jackline akaliondowa shuka mwilini mwake, nakubaki mtupu kabisa kama alivyokuwa wakati anaamka, akajitazama kidogo kisha akajicheka kwa kicheko cha chini chini, huku anaelekea kwenye kochi akiwa amebeba shuka mkononi, akaa na kuwasha Tv kwa kutumia remote, na kuanza kuangalia habari za kwenye magazeti ***** mzee Michael Nyati alikuwa amekaa mbele ya TV yake kubwa, huku ile Pad yake hipo mezani, sambamba na kikombe cha chai paspo kitafunwa, akifwatilia habari za kwenye magazeti, habari iliyo mvutia Michael Nyati siku ile, ni ile ya kuaga miili ya wachungaji walio uwawa, ambayo ilielezwa kuwa inatalajiwa kufwanyika kwenye viwanja vya makao makuu ya kanisa la Daraja la uokovu, Buguruni rozana kwa mchungaji Chilumba, ambae nae ni mmoja wa marehemu, lakini kitu ambacho kilimpelekea, Michael kumpigia simu mwanae na kumwambia aangalie magazeti kwenye Tv, ni gazati moja lijulikanalo kama MAMBO MOTO, lililonyesha picha ya bahadhi ya waombolezaji walio hojiwa na waandishi, siku zilizopita hapo msibani, picha moja wapo ilionyesha watu wengi wazee, wakiwa wamekaa kwa pamoja hapo msibani, moja wapo ni mzee Masinde au baba Johnson, ndipo Michael Nyati alipo tabasamu lile tabasamu la muhayo wa Simba, na mala moja kumpigia simu mwanae na kumpa maelekezo, **** akiwa njiani Denis alikuwa akiwaza sana juu yatukio lile la asubuhi, “haya mapombe bwana, sasa yuledemu si ataniaona mimi mbakaji” aliwaza Denis, akijilahumu kwa tukio lililo tokea, “dah! haya mapombe yanaweza kun kosesha yule demu, tena alivyo mkali, anaonekana mtamu kishenzi” aliendelea kuwaza Denis, ambae sasa alikuwa anaendesha gari huku ana gugumia bia yake ya kopo, “mtoto ana bamba taa duh! yani sikubari mtu mwingine ale ule mzigo, na mahadhi simwonyeshi, mpaka nimle kwanza” Denis alivuta picha ya Jackline jinsi alivyo pendelewa na muumba, kwa kuzawadiwa mwili na sura nzuri, akavuta picha ya msambwana wa Jackline ulivyo jaa na kubebwa na hips za maana, pia yale matiti ya moto yaliyo lalia kifuwani kwake, hapo Denis aliiona dudu yake ikianza kuleta fujo, ndani ya boxer yake, na mwili ukimsisimka, kitu kilicho mchanganya ni kwamba ilikuwaje mpaka wakawa vile, na kama yeye ndie alieanza vurugu, mbona Jackline alikuwa mtupu kabisa?, atakama alikuwa amelewa lakini mbona akumbuki muda aliomvua nguo, kwa kweli Denis akupata jibu, na khusu labda Jackline ndie alie fanya yale, ilo alikumuingia akilini kabisa, mwisho Denis alijilaumu kwa kuto kuwa na namba za simu za Jackline, labda angemwomba msamaha kwa kupitia simu, kutokana na kujipa mzigo wa lawama kwa asilimia miamoja juu ya tukio lile, baada ya kuwaza sana, Denis akaona bora jioni apige mtungi, ili aweze kumwomba msamaha mgeni wake, maana hivi hivi angeshindwa, Denis alijisikia vibaya sana alipo vuta hisia kuwa Jackline atakuwa amejisikia vibaya na kuona yeye anamfanyia vile kwa sababu ame mkuta anafanya vibarua vya mama ntilie, na kwamba akuwa na maali pakwenda, kingine ambacho Denis alijiuliza na kukosa jibu zaidi ya kupatwa na wivu, Jackline alikuwa anasimu kali (nzuri) na ya kisasa, kuliko ya kwake, na mazingira aliyomkuta Jackline asinge weza kuwa na simu nzuri kama ile, ***** siku hiyo pia insp Johnson naye alipanga mipango yake vizuri kabisa, kisha kisha akamwita askari mmoja, ajulikanae kwa jina la PC Busungu, akamwambia awe tayari, kwa jukumu atakalopewa, hivyo aende nyumbani akabadiri nguo, toka zile za kipolisi, na kuvaa nguo za kiraia, kisha alipoti hapo kituoni kabla ya saa nne, tayari kwenda kwenye kuwa aga marehemu, hapo ndipo atakapo onyeshwa mtu ambae inabidi amfwatilie kwa ukaribu na kujuwa nyendo zake, Busungu alipewa na silaha ndogo aina ya revorvo 10 pistor, kwaajili ya zalula, maana insp Johnson aliamini kwakufanya hivyo, lazima atagunduwa kitu, juu ya uhusiano wa mauwaji ya wachungaji na urafiki wa baba yake na wenzake, ***** saa tano kasoro maeneo ya Buguruni Rozana nje kidogo ya barabara iendayo ilala na kaliakoo, kwenye viwanja vya kanisa la Daraja la uokovu, watu walikuwa wengi sana, wakisubiri miili ya wapendwa wao iwasili toka muhimbili, ili waweze kuwaaga katika safari yao ya mwisho, wengi wao wakiwa ni waumi wa kanisa ilo, na watu wengine kutoka sehemu mbali mbali za jiji la dar es salaam, huku viongozi na askari wa Jeshi la ulinzi, wakiwepo kwa ajili ya kuwaaga askari wao wastaafu, pia police nao walikuwepo kusimamia usalama eneo hilo, asa ukizingatia aina ya vifo vya wachungaji hawa, katika polisi walio kuwepo eneo ilo, pia kikundi cha Insp Johnson, nacho kilikuwepo, leo walikuwa tisa na siyo kumi kama kawaida, sababu mmoja wao alikuwa ame valia mavazi ya kiraia, huyo anaitwa pc Busungu, ni askari mjanja sana, mala nyingi sana utumika kwa kazi za kikachero, kama hizi, zijulikanazo kama under cover tracking uwa anatumika yeye, alikuwa amesha onyeshwa mtu wa kumfwatilia, ambaye alikuwa ni mzee Mathayo, kwa sasa pc Busungu alikuwa amesimama karibu na mzee Mathayo, ambaye alikuwa amesimama atuwa chache kutoka alipo simama Busungu, akiwa na wazee wenzake wakina Masinde, Alex na Mwijage, pasipo kujuwa kuwa anafwatiliwa, mzee Mathayo aiendelea kuongea na wenzake ambao tayari walisha jipanga jinsi watakavyo gawana kusafiri na miili ya marehemu rafiki zao, **** katika eneo hilo lililo fulika watu wengi sana alikuwepo Jackline Michael Nyati, leo alikuwa amevalia gauni lake kubwa la kushonwa na kitenge, lisilo na mtindo wowote wa ulembo, lika fanana na kanzu, kwa sasa magauni hayo yanaitwa delah, juu alijifunika mtandio ulio funika kichwa chake chote na kuziba nusu ya uso wake, na kubakiza macho kama wafanyavyo wale wakina mama wa uarabuni, begani kwake alikuwa amebeba lile begi lake dogo jeusi, mkononi alishika gazeti la MAMBO MOTO, usinge weza kugunduwa kuwa ndani ya gauni lile alikuwa amvalia tishert jeusi na kipensi cha jinsi kidogo, ambacho leo kilikuwa kime ning’inizwa kisu kikubwa na kikali cha kijeshi, bastora yenye kiwambo cha sauti (silence barrer) na kamba ngumu ya manila na vishikio vyake, Jackline akajipenyeza mpaka akafika karibu na wakina mzee Masinde, akasimama nyuma yao akijichanganya karibu na waombolezaji wengine, akalikunjuwa gazeti mokoni mwake akalitazama kidogo, asa picha iliyo zungushiwa duara kwa mark pen, na kutazama mzee Masinde, kisha akalikunja lile gazeti, Jackline akawatazama waombolezaji wengine walio mzunguka, kama wana mfwatilia, lakini akawaona wakiendelea na mambo yao, mmoja wa waombolezaji walio kuwa karibu na Jackline alikuwa ni Busungu, ambae alikuwa anamfwatilia mzee Mathayo, japo Busungu na Jackline walisimama karibu karibu sana, lakini akuna alie mjuwa mwenzie kati yao, kuwa ni nani na yupo pale kwa lengo gani, zaidi walichukuliana kama waombolezaji, Jackline alisimama hapo akifanya mkadilio wa hatari juu ya mawindo yake, aliyokuwa amesha yaona, kumbe basi Busungu kama vijana wengine alisha mwona Jackline, aliweza kumkagua kwa macho na kugundua kuwa, licha ya mwanamke huyu kuvaa gauni pana sana, lakini aliweza kuona jinsi mwanamke huyu alie jistiri kwa ushungi kichwani, kuwa amebarikiwa makalio na mahips yaliyo chomoza vyema, japo sura bado alikuwa ajaiona vizuri, kutokana na sehemu kubwa ya uso wake kuzibwa na mtandio, “duu! Kuna watu wanafaidi jamani” alijisemea kimoyo moyo Busungu, Busungu akamtazama yule dada kwa macho ya wizi, akamshuhudia yule dada akiinuwa mkono wake ulio kamata gazeti, huku akiuachia mkono alio shikilia mtandio, nakuruhusu ule mtandio uachie sehemu kubwa ya uso wa Jackline kuonekana, hapo Busungu alishuhudia sura nzuri ya mwanake huyo, Busungu akapigwa na butwaa, aliwona yule mwanamke mrembo zaidi ya urembo anaoufikiliaga kila siku, akilikunjuwa lile gazeti, na kuangalia picha iliyopo juu kabisa ya gazeti hilo, hapo kijana Busungu akamgeukia mzima mzima yule dada, na kujifanya anaomba gazeti alipitie kidogo, ikiwa kama gia ya kuanza kuzoweana, ikiwezekana amnase binti huyu akale kitumbua, “samahani dada, naweza kuangalia kidogo ilo gazeti?” Busungu alimshuhudia yule dada akistuka kidogo, alafu bila kusema neno lolote, akamkabidhi lile gazeti, kisha haraka sana yule dada akarudisha mtandio wake usoni, Busungu alitabasamu kwa kujuwa zile ni ishara za mwanamke anaye jiheshimu, Busungu alishika lile gazati na kuanza kusoma vichwa vya habari, huku akiwaza namna ya kuanza kumsemesha yule dada, wakati Busungu akiangalia lile gazeti, macho yake ya katuwa kwenye picha moja iliyopo pale juu ya gazeti, ni picha yenye watu wengi sana lakini mtu mmoja alieone kana pembeni ya picha, alikuwa amezugushiwa duara kwa peni nyekundu, ni kama alisha waikumwona sehemu yule mzee aliezugushiwa duara, akataka kujuwa maana yake, akageuka iliamwulize yule dada, ikiwa gia yakuendelea kuzoweana “eti dada .....” pc Busungu alishikwa namshangao mkubwa sana, maana hakumwona tena yule dada, akahisi labda nimbinu za mzee Mathayo iliamtoroke baada ya kumstukia, akatazama mbele haraka sana, alipo simama mzee Mathayo na wenzake, akamwona mzee Mathayo akiwa amesimama na wenzake wakiongea, lakini macho ya pc Busungu yalituwa pia kwa mzee Masinde (akujuwa kuwa ni baba wa Insp Johnson) ambaye kwenye picha ya kwenye gazeti, alikuwa amezugushiwa duara jekundu, hapo akakumbuka kuwa muuwaji ni mwanamke, tena inasemekana kuwa mwanamke mwenyewe ni mrembo, pia akaikumbuka ile sura aliiona kwenye picha zilizo okotwa jana subuhi, kule Full dose pub, hapo akageuka na kuanza kupepesa macho huku na huku, kutazama kama atamwona yule dada mwenye begi dogo jeusi, huku akitowa simu mfukoni kwake, baada ya kuangaika kwa dakika kadhaa alifanikiwa kumwona Jackline kwa mbali, akiwa anatokomea, kwenye chocholo za mitaa ya buguruni, kuelekea upande wa barabara ya ilala na kaliakoo, hapo mala moja Busungu alijaribu kupiga simu kwa Johnson, Simu iliita kwa mda mrefu kidogo ndipo ilipo pokelewa na Johnson mwenyewe, haraka sana PC Busungu akamwambia alicho kiona, huku akiwa na uakika kuwa ndie mwanamke anae shukiwa, kuhusika na mauwaji ya nayoendelea, hapo mala moja insp Johnson, ambaye alikuwa mbali kidogo slimwambia awaambie askari waliopo karibu wamfwatilie huyo dada wakati yeye anakuja hapo alipo, akiwa na polisi wake wengine, Busungu akafanya hivyo, akiwaomba askari watatu, kati ya askari polisi, ishilini wa kituo cha pale buguruni, waliokuja pale msibani, kuangalia usalama, mala moja wale askari wakaelekea kule aliko elekea Jackline wakiwa wamesha ambiwa jinsi alivyo vaa, dakika tano mbele Johnson na vijana wake wanne, maana wengine walikuwa wamejipanga upande mwingine, walisha mfikia pc Busungu, akaanza kuwapa repot ya kile alicho kiona na jinsi huyo dada alivyo, baada ya maelezo awakuchelewa, wakaanza kumfwailia huyo mwanamke huku insp akipiga simu kwa yule sajent wake, awakusanye vijana waliobaki, wachukuwe magari wapitie barabarani wakutane mbele, ***** wale polisi watatu walio tangulia, wakiwa awana silaha zozote mikononi, zaidi ya virungu, waliweza kumwona kwa mbali Jackline akiingia kwenye jengo moja kubwa la gholofa tatu, Baraka shopers ni jengo ambalo utumiwa kwa shuguli mbali mbali za biashara, Busungu akuwa ame wahabarisha vyema juu ya dada yule, kwani ata yeye kwa jinsi alivyo muona akuamini kuwa ndie muuwaji wenyewe, kabda ni kibaraka wa muuwaji, Baraka shopers ni gholofa moja kati ya mengi yaliyopo eneo lile, kumbe Jackline alisha chunguza kuwa, jengo lile ndilo linalo onekana vizuri toka kwenye viwanja vya kanisa la Daraja la uokovu, alipokuwa ame simama mzee Masinde, na waomboleji wengine, Jackline baada ya kumtoroka yule kijana ambaye alimchukulia kama kijana mzinzi, pasipo kujuwa kuwa ni polisi mpelelezi, alielekea moja kwa moja kwenye jengo la Baraka shopers, alilo lichaguwa kwa kazi yake, akapanda juu kabisa ya jengo hilo, kwenye paa ya mwisho kabisa, top ruff, ambako alikuta kupo kimya kabisa, kukionyesha hakutumiki mara kwa mara, aka weka chini begi lake dogo jeusi, na kuilifungua, ile anaingiza mkono kwenye begi tu! akasikia, “tulia hapo hapo, usitikisike,” ilisika sauti ya kuamrisha toka nyuma yake, aliongea polisi moja kati ya wale watatu mwenye cheo cha koplo, hapo Jackline akajuwa kuwa amekwisha, kwani akujuwa hao walio mtolea amri hiyo walikuwa wana silaha gani, “mamaaaa” Jackline akajifanya kupiga kelele za uoga, akijifanya kustuka kwa uoga kama wafanyavyo wanawake wengi wanapo shtuliwa, kama vile ajuwi chochote, kinachoendelea labda amevamiwa na vibaka, japo Jackline alijuwa fika kuwa, ile amri ni ya polisi, lakini akazuga, “samahani kaka naomba usuniuwe, wechukuwa kila kitu” aliongea Jackline pasipo kutazama nyuma, polisi waka duwaa, wakimshangaa Jackline kwa mambo mawili, la kwanza ni kwamba, mtu walie mfwatilia ni mdada mrembo mwenye mwili wa kutamanisha, kiasi kwamba polisi wenyewe walitamani kuomba namba za simu, na pili dada mwenyewe ni muoga kiasi cha kuogopa vibaka, hapo taratibu polisi wale, waka jilegeza, na yule koplo akianza kumsogelea Jackline “unafanya nini huku we mwanae utabakwa huku, haya simama juu” alisema yule koplo, akizidi kumsogelea, Jackline, na ilo lilikuwa kosa kubwa sana, ***** Wakiwa ofisini Denis na Mahadhi, Mahadhi alikuwa amekaa pembeni akisinzia, yeye Denis alitulia kwenye kiti chake, akionekana kuwaza jambo flani kichwani mwake, alikuwa akiunda maneno mazuri, na jinsi ya kuyatamka mbele ya Jackline, wakati akimwomba radhi, kwatukio la jana usiku, kuna wakati alijikuta anaongea peke yake kwa sauti, baada ya kuangaika muda mrefu sana Denis akapata wazo, ambalo aliliona litamsaid, akainuka haraka na kwenda moja kwa moja ofisini kwa Jeni, “niambie Jane, hupo freshi?” Jane aliacha kutazama tv ndogo ya ofisini, iliyokuwa ikionyesha, tukio la kuaga miili ya marehemu wachungaji, nakumtazama Denis “hoo poa, vipi wewe mzima?” alijibu Jane kwa uchangamfu, akiwa anaachia tabasamu la ukweli, maana sikuzote Janeth alionyesha kumtamani sana Denis, lakini tabasamu lile, alikumvutia kabisa Denis ila na yeye akazuga kutabasamu, lakini kitu hajabu, tabasamu ilo la uongo lilimvutia sana Jane, “freshi ujuwe nini Jane, kuna jamaa yangu amekosana na demu wake, sasa anaomba ushauri, akamwombaje msamaha,” aliongea Denis huku akijitaidi kuonyesha kuwa muhusika siyo yeye, Jane naye kama mwanamke ambae alisha wai kuwa na mpenzi na kukosana nane, akamwelekeza Denis vitu ambavyo wanawake wengi, wanapenda kufanyiwa iwapo wamekosewa na waume zao ili wawasamehe, hapo hapo Denis akionyesha kupata matumaini, akamwambia Jane kuwa atamuagia kwa boss kuwa amepatwa na zarula, kisha yeye akachomoka akimpita Mahadhi pale ofisini kwao, akimwacha bila kumstua pale alipo kuwa bado kasinzia, hapo moja kwa moja Denis akaelekea wanapo egesha magari, kwa mwendo wambio, akishuka ngazi haraka sana na huku nyingine akiziruka, mbio mbio, akaingia kwenye gari na kutambaa na mia kuelekea kaliakoo, akiwa na lengo la kwenda kutafuta vitu ambavyo vinge msaidia kuomba msamaha kwa mgeni wake, ambae amemwachisha kazi za mama ntilie, **** Jackline baada ya kuambiwa ainuke juu, hapo moja kwa moja akajuwa kuwa hii ndio nafasi ya pekee kwake kujinansa toka kwa polisi awa, ambao kutokana na vishindo vyao, alijuwa kuwa wapo zaidi ya mmoja, Jackline akahesabu atuwa za polisi aliekuwa anamsogelea, huku analikamata gauni lake kwa mkono wa kushoto, mkono wakulia ukiwa umekamata begi dogo jeusi, ni kitendo bila kuchelewa, aliinuka na lile begi dogo jeusi, na kulivulumisha kichwani kwa koplo wa polisi ambaye alipiga kelele za uchungu, huku akipepesuka na kwenda kujigonga ukutani, ambapo ailikosa nguvu ya kujiwai, na kuelekea chini kama mzigo, huku wenzao wakiwa wanashangaa ilo, walistuka wakikutana na mapigo mseto, ambayo awakuamini kama yanatoka kwa mwanamke huyo mrembo, kila walipo jaribu kujihami, lakini walikutana na vipigo vya kwenye video, waka huo huo, chini kidogo ya jengo ilo la gholofa tatu, Insp Johnson alikuwa anapandisha ngazi mbio mbio, akiongozana na vijana wake wa nne, wakiwa na silaha zao aina ya smg mikononi mwao, walikuwa wakipanda ngazi mbio mbio, macho juu juu, wakiangalia kwenye ngazi wanazo pandisha, wakiamini kuwa mtu wanae mtafuta yupo kule juu, ni kweli alikuwepo kule juu, maana ile wana ifikia ghlofa ya mwisho kabisa, walishuhudia polisi wa mwisho kati ya wale watatu aliebakia, akijitaidi kupigana ndiyo anaanguka chini kama kifurushi, akiwa amepoteza fahamu kamawenzake, huku mwanamke mmoja mzuri mtata, akiinama na kuokota begi dogo jeusi, wote wakainuwa silaha zao, nakummwelekezea, na kuanza kufunguwa kizuwia mapigo, (usalama) iliwawenze kukoki na kupiga, endapo mwanamke huyu asinge tii amri, “tulia hivyo hivyo” haaaa wapi! walisha chelewa, ndio kwanza kama walikuwa wanamstua, na kumjulsha uwepo wao, maana Insp Johnson, aliweza kushuhudia yule dada mzuri wa sura na mwili, anaefaha kuwa mchumba au mke wa mtu, akiwa hewani kama chui akija upande wao, na kabla hawaja weka risasi kwenye chemba zao, kwa wepesi wa hajabu yule mwanamke ambae mwili wake ulio umbwa vizuri, alikuwa amesha wafikia, na kutuwa kifuani kwa askari mmoja, akiutanguliza mguu wa kushoto, uliokita kifuani kwa yule askari, na kumpeleka chini, akitengana na silaha yake smg, pia akajigeuza juu kwa juu nakurusha mguu wakulia, ukatuwa kichwani kwa askari mwingine, huku yule mwingine akipatanafasi ya kuweka risasi chemba, tayari kumtandika mwanamke huyu, mrembo lakini hatari, wakati anaanagaika kumlenga, alistuka akigongwa kichwani na lile begi jeusi alilo beba yule mwanamke, alipatwa na maumivu makari sana, kwani begi lilikuwa na kitu kigumu sana ndani yake, misili ya chuma chapua, yule askari akajikuta akizidiwa na maumivu, yaliyo sababisha kizungu nzugu, kilicho mchanganya na kujikuta ameminya trigger (kifyatulio cha risasi) hapo sasa ndani ya sekunde tatu alisha maliza risasi selathini, toka kwenye kimkebe kimoja cha kwenye silaha yake, ambazo zilitoka mfululizo bila mwelekeo maalumu, na kusababisha tahaluki eneo lile, insp Johnson ambae alikuwa amebonyea chini, kupunguza uwezekano wa kupigwa na risasi zile, macho yake yaliweza kuona askari watatu, mmoja akiwa ni askari wake na wawili ni kati ya wale walio tangulia mwanzo, yani askari wa kituo cha buguruni, ambao mddawote walikuwa wamepoteza fahamu toka mwanzo, walionekana damu zikianza kuwachuluzika toka maeneo mbali mbali ya miili yao, ikionyesha wameingiwa na risasi toka kwenye siraha ya yule askari alie changanyikiwa, wakati insp Johnson naye amepigwa na bumbuwazi, akashangaa kumwona yule dada akitokomea kushuka ngazi akiwa na begi lake mkononi, insp Johnson paipo kuzubaa akaanza kumfwata mbio mbio kule chini, Jackline baada ya kushuka ngazi chache, Jackline akatazama chini kule anakoelekea, akaona polisi wengine watano wanapanda ngazi wakiwa na silaha mikononi mwao, Jackline akageuza na kurudi alikotoka, ile kutazama juu akamwona insp Johnson akiwa ame mwelekezea bastora, “tulia hapo hapo, auna ujanja wowote, Malaya mkubwa we” aliongea insp Johnson kwa sauti iliyo jaa hasira na ghazab, kitu cha hajabu yule dada, akamtazama Insp Johnson, nakuachia tabasamu lake lile la hajabu, ambalo uliachia kipindi akiwa na hasira, Jackline huku mkono mmoja kashika beg na mwingine kiunoni (kumbuka gauni lilikuwa limepanda na kuhachia paja lake lakulia lionekane na sehemu ndogo ya kipensi cha jinsi), usoni akionekana kama hakuwa na wasiwasi wowote, kiasi cha kumchanganya, Johnson nakumfanya aanze kutafakari, kuwa huyu dada anatakakufanya nini, huku akiutazama uso wake, ambao alishindwa kujuwa kama anatabasamu au mekasirika, wakati anamtazama usoni dada huyu, ndipo alipo gunduwa kuwa, ni yule alie mwona kwenye picha, zilizo okotwa, full dose pub, “husirudie tena kuniita jina kama hilo” Johnsoni aliisikia sauti nyololo na tamu ya kike, toka kwa mscha huyu ambae, leo amepata kumwona muuwaji wake, akati anajiandaa kujibu, ghafla alistukia akimwona yule dada mrembo akiwa hewani kama mcheza mpira wa kikapu, na kujipindua kwa ujuzi mkubwa sana, kuelekea chini, huku akichomoa bastora yake, toka kwenye kikaptula kifupi cha jinsi, ambacho alikuwa amevalia ndani ya gauni lake, sasa alimwona akiziruka ndazi kadhaa na kwenda kukamata mabomba ya chuma yaliyowekwa na kutumika kama kingo za ngazi, akipishana na askari polisi watano waliokuwa wakipanda juu mbio mbio, insp Johnson alinyoosha bastora yake ilimpige risasi Jackline, lakini akuwai, kwani aliweza kumwona, yule dada akiachia tena kingo za ngazi na kurukia ngazi nyingine huku akijigeuza na kumtazama Johnson alichokuwa anataka kufanya, hapo bastora ya yule dada ikaonyesha alama kama ya mwaga wa moto, kimya kimya pasipo kutoa mripuko, akiilenda bastora ya Johnson, ambae alitukia bastora yake ikipigwa na kitu kama shot ya umeme, na kurushwa pembeni, akamwona yule dada akituwa chini kama mcheza sarakasi kisha huyo, akatokomea kwenye gholofa ya chini kabisa, Ensp akatowa amri kwa wale askari wa tano, kuwa wageuke na kumfwata yule dada, huku yeye akipiga simu kituo kikuu kuja eneo lile kuwaangalia wale askari waliopigwa risasi kwa bahati mbaya na mwenzao, na wale waliozimia, Jackline alikuwa ameshafika kituo cha taxi na kuchukuwa taxi, mara moja na kuondoka kuelekea upande wa kaliakoo na ilala, polisi wakiwa pamoja na mkuu wao insp Johnson, walifika kwenye kituo cha taxi huku wakijaribu kuulizia kama amesha onekana mdada mwenye mwonekano wa Jackline, madereva wa taxi, walimtambua kwa arama ya begi dogo jeusi, wakaelezea kuwa amefika na kuchukuwa taxi, na kuelekea upande wa kaliakoo na ilala, hapo bila kuchelewa gari la polisi, sasa likiwa moja lingine lilikuwa lina wangojea wale waliopigwa na risasi, safari ikaanza kwa mwendo wa kasi sana, kama zima moto, likatimka kuelekea upande waliko elekezwa, kuwa Taxi alilopanda yule mwanamke limeelekea **** Denis baada ya kumtoroka Mahadhi, akaelekea moja kwa moja Kaliakoo kutafuta vitu alivyoelekezwa na Jane kwa ajili ya kuombea msamaha, mpaka dakika hii alikuwa amsha nunua baadhi ya vitu hivyo, kama mauwa na gauni zuri sana, akaingia kwenye duka moja kubwa sana la pipi na chocolate, akanunuwa pipi na chocolate moja kubwa iliyo tengenezwa kwa mtindo wa love, akaona huu ndiyo wakati wakurudi nyumbani mapema, kwenda kuyajenga, **** wakati huo kumbe Jackline alisha karibia maeneo ya shule ya uhuru, ambako palikuwa na foleni kubwa kidogo, ya magari yanayo subiriana pale round about, huku ya msimbazi, Jackline akiwa set ya nyuma ya gari hilo alilokodisha, alianza kuvisikia ving’ola vya gari la polisi vikisogea kwakasi sana sehemu walipo, alipo jaribu kugeuka na kutazama nyuma, akaona polisi nao wamekwama kwenye foleni, wakiwa nyuma ya agari machache toka gari lao lilipo, na sasa akawaona polisi wanashuka nakuanza kutembea kwamiguu, huku wakitazama magari yaliyo kuwa yame kwama kwenye foleni, hapo Jackline akajuwa moja kwamoja polisi wale wanamuusu, akamtazama dereva wa taxi, huku anapeleka mkono wake kwenye kitasa cha mlango wa gari hilo, bahati nzuri wakati huo magari ya mbeleyao yakaanza kutembea baada ya kuruhusiwa na taa ya kijani, ya barabarani, wakati magali yaliyo kuwa yame simama mbele ya gari la polisi yakianza kuondoka taratibu, ndipo Isnp Johnson alipo liona lile taxi, ambalo lime tokea buguruni, akimaanisha ndilo alilo panda Jackline, kutokana na rangi yake na namba za usajiri, na za ubavuni, hapo poisi waliokuwa wameshuka kwenye gari wakapewa amri ya kulikimbiza lile gari kwa miguu, lakini kabla awaja lisogelea waokaona gari zikiwa zimesha changanya nakuongeza mwendo, wao wakapanda kwenye gari lao ambalo lilikuwa linawafwata kwa kasi, huku insp Johnson akipiga simu kwa polisi wenzao wa mbele akitumia redio call, akiomba walizuwie gari, ambalo alilielezea lilivyo pamoja na mnambazake za gari na za ubavuni, tukio hilo liliwashangaza sana raia wa eneo lile, ***** dereva wa taxi akiwa anaendesha gari lake huku akipiga mahesabu ya kuomba za simu namba kwa mteja wake huyu, maana alisha mtamani sana, kutokana na uzuri aliokuwa nao, asa ule msambwanda wake, yani alikuwa tayari kumsamehe kumdai nauli, lakini tu awe mpenzi wake, wakati akijiandaa kuongea neno, akashangaa ghafla, akisongwa songwa na gari la polisi, 110 defender huku polisi waliokuwepo ndani yake wakimwonyeshwa asimamishe gari lake pembeni, na yeye bila ubishi, akapaki pembeni mala moja, wale askari wa kwenye Defender wakaruka wakiwa na silaha zao na kulizunguka lile Taxi “zima gari haraka” ilisikia amri toka kwa insp Johnson, dereva akazima gari “wote shukeni nje, mikono ikiwa juu” Pasipo kuangalia pembeni, taratibu Dereva akashuka kwenye gari, huku akitarajia kuona abiaria wake naye akifunguwa mlango na kushuka, ndivyo pia alivyozani insp Johnson napolisi wenzake, lakini ilikuwa tofauti, awakuona mlango mwingine ukifunguliwa, awakuweza kuona ndani ya gari maana vioo vya gari hili vilikuwa na tinted, na vilikuwa vimepandishwa mpaka juu, wakati huo watu walio jaa pale kaliakoo, walikuwa wamesimama pembeni, wakizunguka eneo ilo, huku wakishangaa tukio la polisi na taxi, wakati huo polisi walizidi zaidi kuongezeka kutoka kituo kikuu, nao wakajiunga na kulizunguka Taxi, wakiwa na silaha mikononi mwao, dereva wa Taxi alikuwa amesimama kaduwaa, ajuwi kinacho endelea, mkojo na jasho jembamba vikimtoka kwa mpigo, maana licha ya kufanya kazi hii ya uderevakwa miaka umi na tano, akuwai kukutana na mkasa kama huu, dakika mbili zikapita pasipo kutoka mtu mwingine ndani gari, ndipo Insp Johnson akaonyesha ishara kwa askari mmoja, akafungue mlango wa gari, huku askari wakiwa wame elekezea mitutu ya silaha zao yote, kwenye lile gari, yule askari alisogea taratibu na kwenda kufungua mlango wa gari, yule askari ambae ni mmoja kati ya wale waliokuwepo kule buguruni Baraka shopers, alilisogelea gari kwa tahadhari kubwa, huku hofu imemtawala, muda wote ali chafuwa hewa, kwa ushuzi, huku anatetemeka, utazani kabeba bomu linalo subiri kulipuka, maana kazi ya yule mwanamke aliiona kwa macho yake, yule askari huku anatetemeka alifunguwa mlango wanyuma wagari, kisha akachungulia ndani ya gari, ghafla akaganganda kama nusu dakika hivi, akichungulia ndani ya gari, kisha taratibu akageuka na kumtazama insp Johnson, huku akishusha pumzi nakushindwa kuongea kitu, nakusababisha wenzake washindwe kumwelewa, ndipo Insp Johnson alipo kimbilia kwenye gari na kuangalia, maana alihisi jambo lakushangaza litakuwa limetokea, ni kweli akukuwa na mtu zaidi ya noti ya shilingi elfu kumi juu ya seat, insp Johnson akachoka, na kujikuta miguu inainakosa nguvu, akachuchumaa, hapo aka gunduwa kuwa, mtu anaye msaka ni hatari sana, sasa alianza kuona kifo cha baba yake kipo mbele yake, na yeye ndiye mwenye kumuokoa baba yake, japo baba yake anasema yeye siyo mmoja ya wanao takiwa kuuwawa, leo ameona picha ya gazeti imewekewa alama, **** wakati hayo yana tokea Jackline alikuwa anapita eneo hilo latukio, akiwa amelifunika begi lake jeusi kwa mtandio ambao aliutumia kujifunika kichwani, alikuwa amejichanganya kwenye kundi la watu, ambao walikuwa na shangaa tukio la polisi, na dereva wa taxi, mita kama hamsini hivi, akishuhudia yule dereva akiwa anachukuliwa na polisi kwa ajili ya maojiano, huku wale polisi nao wakiwa wanaingia kwenye magari yao na kuanza kuondoka, hapo Jackline akaanza kuondoka kuelekea kwenye kituo cha daladala ziendazo kimara na mbezi, wakati ana tembea kukifwata kituo cha daladala, ghafla akamwona Denis mbele yake, ni yule mwenyeji wake, akiwa ana tokea kwenye kundi la watu waliokuwa wana shangaa tukio la polisi na Dereva taxi, akamwona akiwa amebeba vitu flani mkononi, ni mifuko mizuri sana, kama aliyo m’bebea nguo siku ile, kitu cha ajabu wivu ulimshika ghafla, akizani kuwa Denis ana mwanamke na ndio ametoka kumnunuli zawadi, Jackline alitamani amfwate aka mchinjilie mbali, kiukweli Jackline alijikuta amesimama huku akimwangalia Denis akiingia kwenye duka flani la urembo na vifaa vya kike, hapo aka tembea haraka sana mpaka pale dukani, kwa akili ya haliya juu akajibanza nyuma ya wateja wachache waliopo mle ndani ya duka sambamba na Denis, wakinunua maitaji yao, “naomba hiyo nguo ya pink (chupi aina ya bikini), na kitambaa cha mkononi kilicho andikwa am sorry” ahayo yalikuwa ni maneno ya Denis yaliyo mfikia vyema Jackline, nakuzidi kumchoma moyoni “inamaana ana mwanamke wake, wamegombana, sasa anataka kumwomba ladhi, ngoja nimsake huyo maraya” aliwaza Jackline, “mh! kaka umesha mkolofisha wifi yangu” alisema yule muuza duka, ambae alikuwa, ni mwarabu flani, mcheshi, “yaah! si unajuwa mambo ya pombe, jana nililewa sana, sasa nahisi nimemkosea sana mke wangu” aliongea Denis, na kumfanya Jackline akumbuke jambo lililotokea asubuhi, hapo akatoka mle dukani pasipo Denis kumwona, Jackline alitoka na kusimama pembeni kidogo ya lile duka, bado wananchi walikuwa wana zungumzia matukio yanayo itikisa dar, asa ili la leo, kila mtu alikuwa anaongea la kwake, Jackline aliwasikiliza kwa umakini akikusanya maoni yao maana kuna walio lahani vikali mauwaji hayo, wapo waliosema kuna sababu pengine muuwaji yupo sahii, maana hajawai kupola wala kuchukuwa kitu chochote toka kwa marehemu anao wauwa, “wewe lazima kuna jambo hapo, unazani kwanini atujawai kusikia kuwa ameuwa na kupola kitu chochote” akiwa anaendelea kuwasikiliza watu hao, Jackline akamwona Denis akiwa anatoka dukani, na mizigo yake, hapo akatamani amfwate lakini akaangalia lile beg lake jeusi, akaona aitakuwa vizuri kama Denis ataliona, akawaza chakufanya, iliaweze kukutana na Denis pasipo kuleta madhara yoyote, akapata jibu, akajikuta anatabasamu, akaanza kumfwata nyuma nyuma, mpaka alipo mwona anavuka barabara, na kulifwata gari lake, akasongea kwenye kundi la vijana waliokuwa na ongelea tukio lile la Taxi, akamwita mmoja, na kusogea nae pembeni, wakati huo Denis alikuwa ameshalifikia gari lake, akafungua mlango wa gari nakuanza kuweka mizigo yake ndani ya gari hilo aina ya Toyota noah, wakati anajiandaa kuingia kwenye gari, baada ya kumaliza kuweka mizigo yake, mala akaja kijana mmoja hasiye mfahamu, “samahani bro wewe ndiye Denis?” Denis aka geuka kumtazama, akionyesha wasiwasi, maana hapo kaliakoo panasifika kwa wizi, “kunanini, au tuna fahamiana?” aliuliza Denis huku akichukuwa tahadhari ya hali ya juu “hapana bro, kuna dada mmoja, ameingia pale dukani, amesema ni mkeo anakuita mara moja, ukamasaidie mizie mizigo, mili muondoke wote” hapo Denis aka stuka zaidi, “mke kaliakoo, mh! yupoje?” aliuliza kwa mshangao Denis “brother hee! Inamaana ata mkeo umjuwi bwana, amesema nikikuambia anaitwa Jackline utamfahamu” alisema yule jamaa akionyesha kuchukizwa, hapo Denis aka shusha pumzi huku akitabasamu, tena alijisikia raha sana, baada yakuitwa mume, akajuwa kumbe akuna soo, alafu Jackline anajiita mke wake, japo alishangaa kidogo Jackline alimwonaje “poa poa kaka, unajuwa lazima nishangae maana nilimwacha nyumbani sasa namkuta huku” waliongea huku Denis akiurudisha mlango wagari bila kuweka lock, kisha wakaondozana kuvuka barabara kumfwata Jackline, huku akijiuliza uwa jackline amefwata nini huku, Denis alipofika pale dukani alipo onyeshwa kuwa Jackline ameingia, akaangaza macho lakini hakumwona ,akatamani aulizie lakini akaona itakuwa vigumu kwa muuzaji kumkalili Jackline pekee, akatoka na kurudi kwenye gari akiamini kuwa Jackline akimaliza manunuzi atakuja mwenyewe kwenye gari, lakini Denis alipo fika kwenye gari akashangaa kumkuta Jackline akiwa ndani ya gari, ameachia tabasamu nzito, na yeye akatabasamu huku akimtazama Jackline usoni, na macho yao ya kagongana, hapo ikawajia kumbu kumbu ya tukio la kuamka asubuhi wakiwa uchi, wakaona aibu na kukwepesha macho yao, lakini tabasamu zilikuwa bado zimetawala usoni kwao, Denis aliingia kwenye gari na safari ikaanza, kuelekea nyumbani, Denis licha yakushangaa mavazi ya Jackline, pia alimwuliza Jackline kwamba kule kaliakoo amefwata nini, Jackline akasema alikuja kumtumia baba yake zile fedha, kwenye kampuni moja ya mabasi yenye ofisi zake kamata, njiani waliongea huku wakioneana aibu, “naona uliamua kuvaa gauni la kitenge” aliongea Denis wakati wapo njiani, nimependa tu, kuvaa hivi” waliongea mengisana huku safari ikielendelea, mpaka Denis alipo mwambia Jackline wapitie sehemu wakale, maana muda wa chakula cha mchana, ulisha timia, wakiwa mitaa ya mbezi walitafuta bar nzuri iliyotulia, wakiacha kwenda fill Dose, kutokana na tkio lililo tokea juzi yake, wakapaki gari, mahari hapo walitumia masaa matatu, maana baada ya kumaliza kula, walianza kunywa pombe, wakati Deni akinywa bia kama kawaida yake, Jackline alikuwa anakunywa wine kama ile ya jana, lakini kwa kili sana, maana Jackline hakutaka kulewa sana kama ilivyo kuwa jana, huku Denis alikuwa anakunywa bia kwa fujo, kama kawaida yake, adi Jackline alipo mwomba Denis waende wakanywee nyumbani, akiwa na lengo, kuwa asije akalewa sana kiasi cha kuamua kulala kwenye gari, Denis akuwa mbishi wakanunua bia za kopo na chupa nyingine ya wine, huku ile aliyokuwa anainywa Jackline wakiondokanayo pia ikiwa nusu chupa, kisha wakaingia kwenye gari lao na kuelekea nyumbani, baada ya kufika nyumbani wakashusha mizigo yao, lakini Jackline akushusha begi lake jeusi, maana alikuwa amelificha mlendani ya gari, “Denis umenibea zawadi gani leo” alizuga Jackline, akiulizia kiujanja, baada ya kuona akabidhiwi mizigo yakeje, huku akimfwata nyuma, mwenyeji wake Denis, walipokuwa wanaingia ndani, “yaah! nie kubebea zawadi nzuri tu!, unajuwaaa nanii,.... jana bwana niliii..” hapo Jackline aka cheka kimoyo moyo, maana alishajuwa Denis anataka kusema nini, “haaa nitakuambia..... ngoja kwanza nikaogee nipunguze uchovu” alisema Denis, kwa sati ya kilevi, akiweka ile mifuko pamoja na carton ya bia mezani, na kuingia chumbani, akimwacha Jackline sebuleni, hapo Jackline haraka sana akarudi kwenye gari, nakuchukuwa begi jeusi, na kuingia nalo kwenye garage (banda la kuifadhia gari) akaliifazi vizuri sehemu ya maficho, maana kulikuwa kuna makolokolo kibao mle ndani, kisha akarudi sebuleni akafungua wine yake ambayo alisha ifikisha nusu, na kuinywa kidogo, kisha akaingia chumbani, akamkuta Denis yupo bafuni anaoga, kwa kutumia bomba la mvua, akashuudia Denis yupo uchi kabisa dudu imelegea, aikusimama kama anavyo ionaga usiku, akasimama pale chumbani akimtazama Denis, huku akifikilia cha kufanya, mpaka alipo jikuta akipata wazo moja zito, Jackline alimtazama denis ambae akuwa na habari kama Jackline ameingia chumbani, na anamtazama anavyooga, yeye akaendelea kuoga, huku akiwaza namna atakavyo mwomba msamaha Jackline, lakini ghafla akastuka kuona Jackline anaingia mle bafuni, kwanza alizani labda ni maluwe luwe, lakini alipo mtazama vizuri, naam akamwona Jackline, huyu huyu mgeni wake dada muuza chakula, akiwa uchi wa mnyama, huku akishuhudia mwili mzuri wa mwanamke huyu, ambao ulionyesha kuwa ni mwili laini ambao unatunzwa kwa ghalama kubwa sana, au fanani na mwanamke aliekulia katika tabu za kijijini, “unafwata nini huku” Denis alijikuta akiuliza kama hayawani, huku macho yake yakiwa yameganda kwenye hips zilizo beba makalio ya duara mazuri, huku kitumbuwa kikiwa kimefichwa na mapaja manene, na kuacha sehemu ya nywele za kikubwa pake yake, wayumbani kwetu wanaita kinena kikionekama vizuri kwa jinsi kilivyo tuna, na vinywele vinavyo anza kuota vikichomoza kwa mbali, ITAENDELEA...

Post a Comment

0Comments

Your Thoughts

Post a Comment (0)