m wanamke aliekulia katika tabu za kijijini, “unafwata nini huku” Denis alijikuta akiuliza kama hayawani, huku macho yake yakiwa yameganda kwenye hips zilizo beba makalio ya duara mazuri, huku kitumbuwa kikiwa kimefichwa na mapaja manene, na kuacha sehemu ya nywele za kikubwa pake yake, wayumbani kwetu wanai ta kinena kikionekama vizuri kwa jinsi kilivyo tuna, na vinywele vinavyo anza kuota vikichomoza kwa mbali, endelea........... Jackline akiwa amejawa na hamu ya dudu, huku akiwa anaona aibu kwa mbali, lakini aliweza kuishinda ile aibu, kwa kusaidiwa na kiasi kidogo cha wine, Jackline aliweza kumwona Denis, akikodoa macho kuusanifu mwili wake, akamwona Denis akimtazama kuanzia kwenye mapaja na makalio, akiwa ameyatoa macho kama ameona kitu cha kushangaza sana, Denis akaonekana akipandisha macho mpaka kwenye kifua nakuzitazama chuchu zake ambazo zime simama vyema, juu ya maziwa yake mazuri, yaliyojaa nakusimama kama nazi za buku mbili, Denis alikodowa macho kwa sekende kadhaa akishangaa maziwa ya Jackline, “unataka kuyagusa kidogo?” aliongea Jackline akijichekesha kidogo, na kumstua Denis, ambae bado alikuwa ameduwaa, hapo Denis akuweza kutoa kabisa sauti, alicho kifanya aliitikia kwa kichwa, huku akiupeleka mkono kwenye nyonyo ya Jackline na kuikamata sehemu ya chuchu taratubu, kitendo kilicho mfanya Jackline apatwe na msisimko kiasi cha mwili kutetemeka kama mtu alie kula embe bichi au ndimu, Jackline akajikuta anafumba macho akisikilizia vidole vya Denis vikichezea chuchu zake, akashuhudia ziwa lake lingine nalo likishikwa kwenye chuchu na kuleta msisimko kama wa mwanzo, Jackline akiwa amesimama huku maji ya juu (yabomba la mvua) yakimmwagikia mwilini, sambamba na Denis akajaribu kufumbuwa macho na kumtazama Denis, macho yao yakakutana, yote yakiwa yamelegea, hapo sijuwi nikwa ajili ya pombe au utamu wa kile walicho kuwa wanataka kukifanya, wote wakatabasamu, uku Jackline akiziwa kwa aibu iliyo mjaa, akajikuta akimkumbatia Denis, kwakuipitisha mikono yake shingoni kwa Denis, huku akikwepesha macho, na kueggemeza kichwa chake ifuani kwa Denis, akizani itakuwa nafuu kwake, lakini ndiyo kwanza akagusanisha maziwa yake na kifua cha Denis, huku dudu iliyo simama ya Denis ikigusa katikati ya mapaja yake, karibu kabisa na pale kwenye bustani ya nywele za wakubwa, mwili wa Jackline huka msisimka, na balaha zaidi, nipale Denis alipo izungusha mikono yake kiunoni kwa Jackline, wakayi huo, wote walikuwa chini ya bomba la maji ya mvua, mwagikiwa na maji, **** Insp Johnson baada ya kutoka pale kaliakoo, akiwa ameshindwa kumkama muuwaji, alimwachia majukumu msaidizi wake mwenye cheo cha sajent, akimwagiza warudi tena buguruni kwenye kuaga miili ya marehemu, wakaakikishe usalama wa eneo lile, yeye atakutananao baadae, hapo aka chukuwa gari lake binafsi nakuelekea mji mwema, kwa mzee Soud, kutaka ushauri juu ya kumpata Michael Nyati, lakini alipo fika nyumbani kwa mzee Soud alikuta patupu, aliambiwa kuwa mzee Soud alikuwa amesafiri, alimkuta mke wake tu!, akumweleza alipo elekea, ila alisema pengine angeweza kurudi jioni, au angelala huko huko. **** Hilikuwa tofauti, kumbe mzee Soud baada ya kuona hatari iliyopo mbele watu anao wafahamu, akaamua kumtafuta Michael Nyati, akiamini kuwa, kwa jinsi alivyo kuwa anaelewananae vizuri, kipindi Michael akiwa kijana kazini tena mdogo, akimsaidia kwa mambo mbalimbali, lazima ange mwelewa, na pengine ange badirisha maamuzi yake ya kuendeleza mauwaji, hivyo basi, mida hiyo alikuwa amshuka kwenye gari aina ya scania, loli la mizigo alilo pata usafiri jana jioni, toka dar es salaam na kuingia mida hii Songea, mzee soud akiwa na kikaratasi mkononi alikuwa akisoma maelekezo, aliyo wai kuya chukuwa ofisini kwake kipindi akiwa anafanya kazi jeshini, kwa ajili ya kumtafuta Michael, ni maelekezo ambayo kila mwana jeshi uwa ana yaandika, akiwa anaingia jeshi, yakionyesha kila jambo linalo muhusu, kuanzia jina lake, dini, kabila, sehemu anayotoka, ikionyesha kuanzia mkoa mpaka kijiji na mtaa, pia ilionyesha mlithi wake na vitu vingine vingi vinavyo muhusu askari, Baada ya kuzunguka kwa lisaa lizima, akipita sehemu zilizo tajwa kwenye ile karatasi, mwishoe alifika sehemu ambayo mwazazi wa Michael, walikuwa wanakaa, nao wakamwelekeza anapo patikana kwasasa, ni nje ya mji wa Songea chini ya milima ya Matogoro, ndipo mzee Soud akafanikiwa kufika nyumbani kwa Michael Nyati, ambae sasa siyo kijana tena ni mtu mzima, ndani ya eneo kubwa sana lenye dalili zote za kukaliwa na mtu tajiri, mwenye uwezo mkubwa sana kifedha, au kiongozi mkubwa, wa serikali, mzee Soud alikaribishwa na na kijana wakazi na kuingia ndani, akamkuta Michael Nyati akiwa ametulia mbele ya Tv, ambayo ilikuwa inaonyesha tukio la kuaga miili ya marehemu, wachungaji walio uwawa, huku kitu kimoja kama simu au video screen ndogo, ikiwa pembeni ikionyesha ramani na na arama nyekundu, kama doa, katika ramani hiyo likiwa sambamba na jina Jackline, Michael Nyati alipo mwona mzee Soud alishtuka sana, kwani alimkumbuka haraka sana mzee huyu, akajiuwa mambo yame aribika, hapo kitendo pila kuchelewa akapeleka mkono kwenye ile pad yake ya kumfwatilia Jackline, na kuizima mala moja “hoo! mzee karibu sana ndugu yangu, habari ya huko utokako?” aliongea Michael akiinuka nakwenda kumpokea mzee Soud ambaye alikuwa amebeba kibegi kidogo cha mgongoni, “asante sana bwana Nyati, nitokako ni kwema kabisa, nimekuja kukusalimia maana atukuwa tukijuwa kama hupo hai au umefariki,” hapo wote waka cheka, huku Michael akimtazama kwa umakini usoni kwa mzee Soud, kama anaishara yoyote ya kuongozana na watu au hapana, alipo lidhika akaonyesha ishala ya kuipandisha mkono juu na kuushusha, ndipo mzee Soud alipo geuka na kutazama nyuma yake, duu! alimshuudia mama mtu mzima lakini mwenye urembo wake (vijana wanaita mwenye utamu wake) akiwa ana shusha silaha aina ya SMG ambayo ilikuwa imemlega, tayari kuutawanya ubongo wake, hapo mzee Soud alicheka sana, alicheka kwa maana mbili, kwanza ilisomo la kujilinda, aliwai kuwafundisha yeye mwenyewe, ikiwa ni tactical in serf defense, pili alikuwa amesha gunduwa kuwa, kwa sasa huyu Michael Nyati, ni zaidi ya special force, yani nimtu hatari sana, kama ame weza kumwelekeza mke wake mbini za kujilinda kama hizi, basi inawezekana kuwa kuna mtu mwingine katika familia yake ndie anaifanya hii kazi, ya kuwa maliza wakina Kileo, “mzee Soud kutana na mke wangu Anitha,” aliongea Michael Nyati, baada ya mzee Soud kukaa kwenye kochi, kisha akamtazama mke wake, “mama Jack kutana mzee Soud, alie kuwa mkuu wangu wakazi hapo zamani” **** huku nako mambo yalikuwa zaidi ya mambo, kwani Jackline alikuwa ametanua miguu kwa kukanyaga ndoo iliyopo bafuni, huku Denis akiwa amechuchumaa chini, akinyonya kikunde kwenye kitumbua cha Jackline, hiyo nibaada ya kugunduwa kuwa Jackline bado bikira, sauti ya Jackline ilisikika akipiga kelele za utamu, huku akiwa ame kibana kichwa cha Denis kwenye kitumbua chake, na mwili ukimsisimka kwa utamu aliokuwa anaupata, Denis naye aliendelea kulamba araghe lenye chuvi chuvi za hasiri, la mgeni wake mama nilie wa hajabu, Denis aliendelea kunyonya alaghe lililolowa ute, kama ndamba anae fakamia ziwa la mama yake baada ya kumkosa kutwa nzima, jackline akionekana kunogewa na kitendo hicho, wakati mwingine aliachia kichwa cha Denis ana kuyabana maziwa yake huku akizivuta chuchu zake, “tamu! tamu! najisikia utamu” alilalamika Jackline ambae alikuwa ame zidi kutanua miguu yake na mfanya Denis aikuwa anasaidiwa na ule ute ute wa chumvi, uliosababisha utelezi kwenye kitumbua na kumfaya Denis alambe kinembe kama jibwa linalo kunywa maji yakisima, hapo Jackline alizidi kupata utamu ambao hakuwai kuupata mwanzo, nakumfanya apete hamu zaidi ya kuingiziwa dudu, “Denis jarib... jaja..jaribu kuingiza” Denis akajifanya kama ajasikia, akaendelea kunyonya kile kitu kilicho fanana na arage la kahawia, tena alikuwa analilamba utazani limepakwa asari, wakatimwingine akiingiza kialage chote mdomoni kwake, na kukinyonya kama mtoto anavyo nyonya ziwa la mama yake, nakumfanya Jackline licha ya ubabe alionao, azidi kupiga kelele, na kukosa nguvu za miguu, nakuamua kushikilia ukuta kwa mkono mmoja, huku Jackline akakamta kichwa cha Denis kwa mkono mwingine, akikikandamiza vyema kwenye papuchi yake, kisha taratibu akaanza kukata viuno vya mbele, kama mwanamume anavyo kuwa anamwingizia dudu mwanamke, kwamtindo wambuzi kagoma kwamapigo ya nje ndani, lakini viuno vile vilikuwa vya taratibu sana, huku msisimko wawazi ukione kana kwa Jackiline, kwa jinsi aluvyo kuwa akitetemeka, na kuhema juu juu, ilifikia kipindi Denis alitumia mikono yake miwili kupanua mashavu ya kitumbua cha Jackline, na kukifanya kikunde kuchomza kama dudu ya mtoto mchanga, wa siku moja, kisha kaidumbukiza mdomoni na kuimung’unya kama pipi ya kifua, hapo Jackline alishindwa kuvumilia akamshika mkono Denis na kumuinua, “miguu imekosa nguvu,” aliongea Jackline, huku anamwongoza Denis kutoka bafuni na kuelekea chumbani **** baada ya kuisha kwa shughuri ya kuwaaga marehemu, mzee Masinde na wenzake wali gawana na kuingia kwenye basi, wakiongoza msafara wa kwenda kuwa zika wenzao, wawili wakielekea Tanga na wawili Mtwala, pamoja na waombolezaji wengine, hapo kijana Busungu ndipo alipo shindwa kumfwatilia zaidi mzee Mathayo, ambae alielekea Mtwala na mzee Alex, akachukuwa simu yake na kumpigia Insp Johnson ambae alikuwa njiani kuja mahali hapo akitokea kigamboni mji mwema, na kumpa taharifa ya kusafiri kwa mtu ambae wanamfwatilia, insp Johnson akaishiwa nguvu, akahema kwa nguvu na kupiga ngumi kwenye Dash board ya gari yake, huku akiachia tusi kubwa la nguoni, **** ilisha pita nusu saa toka Denis na Jackline, waingie chumbani, kazi ilikuwa nzito pale kitandani, ambapo Jackline alikuwa amjilaza chali huku Denis akiangaika ifungua mlango wa kitumbua cha Jackline, ilifikia kipindi wote pombe iliwaisha kichwani, kwani Denis kila alipo jaribu kuingiza dudu kwenye kitumbua cha Jackline, Jackline alipiga kelele za maumivu huku akimfinya kwa guvu Denis, ambae aliacha mala moja, na kusikilizia maumivu makali, kama vile amebanwa na plaiz au koleo (kifaa cha kiufundi, cha kubania vifaa vigumu kama waya au chuma,” walisha jaribu mala nyingi sana, kuingiza dudu, bila mafanikio kihasi kwamba Denis akawa muoga wakufinywa, Jackline akaligunduwa jambo hilo, “subiri kwanza” aliongea Jackline huku akijiinua na kwenda kuichukuwa chupi yake akarudi nayo kitandani, aka iweka mdomoni na kuibana kwa nguvu na meno, akajilaza chali na kutanua miguu, kisha akamwonyesha ishara Denis aingize dudu kwenye kitumbua, akiwa mwenye tahadhari ya kufinywa, denis akaipaka mte kidogo kwenye dudu yake, kabla ya kukipitisha kichwa cha dudu juu juu ya kitumbua, akianzia juu kwenye kikunde, mpka chini kabisa mpakani na kwa jirani yake, ili kuutawanya ule ute ute, ambao ulikuwa ukizidi kuongezeka kila mala, kwenye uke wa Jackline, kisha akailengesha dudu kwenye tobo ambalo bado lilikuwa lina kizuwizi cha upya, kisha Denis akahesabu kimoyo moyo, “1..2...3...” wakati akijiandaa kuikandamiza dudu kwenye kitumbua, mala akastukia Jackline mwenyewe akimshika sehemu za makalio na kumkandamizia kwake, kitendo kilicho sababisha dudu izame moja kwa moja ndani ta kitumbua, dudu ikisikika jinsi ilivyo kuwa ikichana kizuwizi, ambacho Jackline alikitunza kwa miaka mingi sana, Denis akamwona Jackline akiwa amekunja sura, na kuuma meno akiing’ata chupi yake, kwa maumivu makari, hapo Denis kajaribu ku pump taratibu, Jackline akatowa ile nguo mdomoni, na kumwambia kwa sauti nyololo yenye maumivu “taratibu naumia” Denis akajibu huku akipump kwa mala ya tatu, “usijari utazowea taratibu, alafu utajisikia raha” baada ya kupamp mala kadhaa, sura ya Jackline ikaonekana kuanza kubadirika, kutoka kwenye maumivu na kuwa kawaida, hapo Denis akampelekea mdomo na kuanza kumnyonya lips, Jackline mwenyewe akajikuta akitafuta ulimi wa Denis, na kuanza kuunyonya, huku taratibu akaanza kujitikisa, akikata viuno vya taratibu, akiongeza speed kila dakika, na kuanza kutowa miguno ya utamu, Jackline aliung’ang’ania ulimi wa Denis, baada ya dakika kumi na tano alitangaza kufika kileleni, huku Denis akiwa bado yupo imara ajaiona uhuru pick, pasipo kujuwa kuwa mwenzie amesha iona tamu kabisa, Denis akaendelea kupump, tena sasa nayeye alikuwa anakaribia kuachia mzigo ambao aliutunza miaka mini sana, kumbe Jackline baada ya kumaliza uwashusha azungu, mala akaanza kusikia maumuvu tena, akajitaidi kuvmilia akizani itakuwa kama mwanzo, yakwamba yataisha, lakini yalizidi nakuwa kelo, maana Denis aliekuwa anakaribia kumwaga wazungu, aliongeza speed ya kupump, hapo maumivu yakawa makari zaidi, “naumia, Denis mwenzio naumia” alilalamika Jackline na Denis akujari akaendelea ku pump, akizani kuwa zile zilikuwa swaga za utamu toka kwa Jackline, hivyo akazidi kupump, lakini ghafla Jackline alijikuta akikunja mguu wake, na kumfyatua Denis, kwa nguvu, kitendo kilicho sababisha Denis arushwe juu kabisa karibu na siling boad, bila balance yoyote akielekea nje ya kitanda, lakini akiwa amesha lejewa na ufahamu wa kitendo alicho kifanya, maana licha ya kumuumiza mwenyeji wake atakapo kwenda kujibamiza sakafuni, pia kunauwezekano wa Denis kujuwa yeye ni nani, kwa wepesi wa hajabu sana, Jackline aliwai na kuwenda kumdaka Denis asijibamize kwenye tyze sakafuni, ni mambo yaliyo fanyika kwa mda mfupi, lakini yalimshangaza Denis, ambae alijikuta akiwa amelala kwenye kifua cha Jackline, ambae alisha gundua kosa alilo lifanya, lakuonyeha uwezo wake mbele ya Denis, japo kwake ni mdogo, lakini kwamtu kama Denis ilikuwa ni jambo gumu sana, “subiri kidogo nipumzike kwanza, kumeanza kuuma” aliongea Jackline kwa namna ya kupembeleza, ikiwa ni njia ya kumsahaulisha Denis tukio la kifytuliwa, “poa poa, twende tukaoge kwanza, alafu baadae tufanye tena, nazani auto sikia maumivu” alisema Denis huku akiinuka, toka kwenye kifua cha Jackline pale chini, “huuu! kiunoooo” alilalamika Denis huku akijishika kiuno, “kweli hen, alafu baadae nilisikia utamu, je? wewe ulisikia utamu?” aliongea Jackline akionyesha kunogewa na kale kamchezo, huku akimka takauri Denis, asiweze kuongelea tukio lile, “weweeeee! yani wewe ni mtamu, mpaka najilaumu kwanini atukujuwana mapema, alafu sasa tulivyoanza umesha jikomboa, yani baadae utasikia utamu mpaka basi,” aliongea Denis wakati wana ingia bafuni nakuanza kuoga, huku Denis akiwaza juu ya umaili alio uonyesha huyu dada mama ntilie, “hivi ulisha wai kujifundish ngumi?” aliuliza Denis ambae alikuwa ambakiwa na kisi kidogo cha pombe ichwani mwake, **** mzee Soud alikuwa amesha mweleza Michael Nyati nia na dhumuni la ujio wake mjini Songea, alimweleza kila kitu, juu ya yeye Michael ku usishwa na mauwaji, ya wakina Kileo na Chilumba, na kwamba hofu imetanda kuwa kunauwezekano kuna wengine wana subiri kufa kama wenzao, pia mzee Soud akamweleza juu ya yule kijana Johnson, mtoto wa mzee Masinde anaye fwatilia uchunguzi wa mauwaji hayo, hivyo mzee huyu akataka kusikia chanzo cha Michael kufanya hivyo, na kama yupo tayari kusitisha mauwaji na kukaa meza oja na wakina Masinde ili kumalizana nao kwa njia ya amani, aidha kama kuna kitu anawadai , basi wamlipe, na kama kunakosa walimfanyia, basi wasameheane, lakini Michael akakataa kabisa, kuusika na mauwaji hayo, licha ya mzee Soud kumpa vigezo vinavyo mfanya yeye kushukiwa, n akuhusishwa na mauwaji hayo lakini Michael alikataa kabisa, “Michael, kumbuka wewe ndie unae miliki silaha iliyo muuwa Chilumba, sababu ndiyo pekee uliyo potea nayo mwaka 1988, pia kumbka wewe na wenzio baada ya kurudi toka congo, japo ulirudi tofauti na wenzako, lakini wote amkurudi jeshini, na mmerudi na utajiri mkubwa” aliongea mzee Soud akionyesha umakini mkubwa sana, “kwahiyo hiyo silaha mpaka sasa hapa nchini ilibaki moja tu?, pia kuhusu utajiri wao mimi sifahamu chochote, zaidi mimi niliamua kuacha jeshi nakuwa mkulima baada yakuona nimeesabiwa kama mtoro” aliongea mzee Nyati, akisisitiza kuwa ausiki na mawaji yoyote, kitu alicho mweleza mzee Soud ni kwamba, wakina masinde wenyewe ndio wanao juwa chanzo cha mauwaji na wao ndio wana mfahamu muuwaji wao, ***** Ilisha timia saa mbili usiku Jackline na Denis akiwa sebuleni, wamechangamka kwa ulevi huku wakiendelea kunywa vinywaji vyao, mavazi yao yalikuwa ni bikini kwa Jackline na taulo kwa Denis, vifua vyao vikiwa wazi kabisa, mavazi yaliyowapa ulahisi wakufanyiana mizaa ya kimahaba, huku Jackiline akiichezea Dudu ya Denis, ambae alionekana kumzowea sana, tofauti na siku zilizopita, na ye Denis akichezea chuchu na kitumbua cha Jackline, michezo iliyosababisha ata waiijari Tv iliyokuwa inaonyesha taarifa ya habari, wote walikuwa wamesha pata hamu ya kurudia kula utamu, hapo Jackline alijilaza kwanza kwenye kochi, na kumvuta Denis kwake, huku kiikamata dudu ya Denis na kuilengesha kwenye kitumbua chake, “ingiza taratibu, si umesema aita uma tena?” aliongea Jackline akiwa amesha anza kuipenyeza dudu kwenye mashavu ya kitumbua chake, Denis aliitikia kwa kichwa, huku akiikandamiza dudu yake taratibu, kuipenyeza ndani ya kitumbua kidogo kilicho bana cha Jackline, huku akiwa makini akihofia kufyetuliwa na teke kamailivyo kuwa kule chumbani, naye Jackline akaipokea kwa kuisikilizia kama itauma tena, kwa bahati nzuri, huku akisaidiwa na wine iliyo tawala kichwani mwake, japo alisikia maumivu kidogo, lakini baada ya viuno viwili vitatu, akaanza kusikia utamu, hapo mchezo ukakolea na kila sekunde zilivyo zidi, ndipo Jackline alipozidi kujitutumua kwa kukata kiuno, japo hakuwai kuona wala kujifundisha sehemu, lakini jinsi dudu ilivyosugua mashavu na alaghe nayeye alijikuta akiifwata, na kucheza na biti ya dudu, akizungusha kiuno taratibu, ikafikia kipindi akawa anapiga kelele za utamu, kama ana tolewa mwiba unyayoni, **** vijana wakazi pamoja na wazee wote wanne walio bakia kuuwawa, walisikia juu ya tukio lililo tokea leo mchana mjini dar es salaam, maeneo ya buguruni na na jinsi polisi walivyo achwa kwenye mataa, mchana kweupe pale kaliakoo, huku polisi watatu wakiuwawa kwa risasi, na maelezo yalisema wame uliwa na mwanamke ambaye alihisiwa ndie muuwaji, wa watu kumu na moja, pamoja na askari awa watatu, akiwaacha wengine wawili wakiwa hoi, inamaana polisi walificha kitende cha polisi mwenzao kuwatandika risasi polisi wenzake, pia taharifa hiyo ilimfikia Michael Nyati, ambae muda wote alikuwa amekaa mbele ya Tv pamoja namgeni wake wakiangalia Tv huku wakiongea mawili matatu, na kubwa ambalo Mzee Soud alikuwa anaulizia, ni kwanini aliamua kutoroka jeshi akiwa congo, na kuanzisha maisha mengine, lakini Michael ambae alisha anza kuchanganyikiwa juu ya tukio alilo liona kwenye Tv, akamjibu kuwa, jibu sahihi analo major Masinde, kitendo kilicho zidi kumshangaza na kumpa jibu mzee Soud kuwa hisia zake ni kweli, juu ya uusika wa Michael Nyati kwenye mauwaji ya wakina Kileo, na haya yanayoendelea “hoo! unaona, leo sijuwi ilikuwa zamu yanani?” ali stuka mzee Soud alipo iona ile taharifa ya habari, ikionyeshwa kwenye Tv, “mh! kwani wamewekeana zamu?, Kwanini wasi ongee na huyo mbaya wao” aliongea Michael akiingizia masihara kidogo, na kumfanya mzee Soud acheke sana, kwani aliona jinsi Michel mtu mzima alivyo juwa kucheza a hakili yake, **** taharifa hiyo iliwakuta Denis na Jackline wakiwa wamesha maliza round mbili, pale pale sebuleni, na sasa wamepumzika wanafanyiana asikhara yakimapenzi, ni kama walikuwa wametoka jela, maana ilikuwa ni badika bandua, Jackline alionekana kufurahia zaidi dudu, mwazo wa tendo alisikia vimaumivu kidogo, lakini kila alipoendelea alisikia utamu, “hivi wewe hukuona ilitukio pale kaliakoo?” aliongea Denis akiinua remote na kuongeza sauti ya Tv, hapo Jackline ambae alikuwa ameikamata dudu ya Denis akiichezea kichwani kwa vidole vyake, akajifanya akuwa anaisikia ile habari, “mh kwani ndiyo wale polisi walio mkamata yule Dereva wa taxi?” aliuliza huku akiendelea kuichezea dudu, ambayo ilisha anzakusimama tena, baada ya kumwaga mzigo mala mbili, “ndiyo, tena unaambiwa, baada ya kumsimamisha yule dereva, wakakuta muuwaji hayupo, cha ajabu ata yule Dereva akujuwa muuwaji ameshuka saa ngapi” Jackline akuonyesha kujari taharifa ile, ndio kwanza kamnyang’anya remote Denis na kuizima Tv, “tumesha wachoka bwana, kila siku habari hoyo hiyo” wakaendelea na mambo yao ya kupeana dudu, **** insp Johnson David Masinde, alikuwa amekaa nyumbani kwake akiwaza na kuwazuwa juu ya tukio la leo, asa kitendo cha kuikuta picha ya baba yake kwenye gazeti, ikiwa imezungushiwa duara, inamaana baba yake alikuwa auwawe leo hii, alijuwa kabisa kama ato mtumia mzee Soud, itakuwa ni nguvu sana kwake kumshawishi baba yake kueleza ukweli wa jambo hili, lakini aliamini kama mzee Sod ndie pekee anae weza kumshawishi baba yake, ili wawenze kum’baini muuwaji, na kumkamata kilahisi, licha ya kujuwa kuwa wanao takiwa kuuwawa ni wakina nani, lakini akutaka mtu yoyote ajuwe jambo hilo, maana lazima wange taka kujuwa chanzo cha mauwaji na sababu ya mauwaji hayo, sasa kama sababu ni mbaya lazima baba yake angeingia kwenye matatizo, maana ata kazi anayo ifanya baba yake wakati huu, baada ya kustahafu anaijuwa, na malanyingi sana amesha msaidia kwa kumfichia maovu au kumtaalifu juu ya operation zilizo kuwa zinaendeshwa baharini, hivyo mengi yange gundulika na kumfanya baba yake aingie matatizoni, baada ya kuwaza sana akapata wazo, ni baada ya kukumbuka kuwa anayo namba ya mzee Soud, aliyopewa kule kwenye kikosi mahalumu cha operation za siri, akachukuwa simu yake na kuisaka namba ya mzee Soud, akaipiga ***** mzee Soud ndio kwanza alikuwa ameingia kwenye chumba cha kulala ambacho alionyeshwa na mwenyeji wake, alikuwa amekikagua sana, lakini licha ya kuto kuona camera au vinasa sauti mle chumbani, lakini akuwa naimani sana na mwenyeji wake, ndipo alipo sikia simu yake ikiita, akaitazama namba ya mpigaji aliandika Masinde polisi, katabasamu huku anaangalia huku na huku, kama kuna camera mle ndani, maana ile simu ilimpa kihoro, akaipokea na kuiweka sikioni, huku bado anapepesa macho huku na huku, kiukweli alie kutangulia kakutangulia, kumbe kweli Michael alikuwa amtengesha vinasa sauti nyumba nzima, mbavyo aliviweka kwenye vinyago vilivyo tengeneza kwa mti wa mpingo, kama tea set, nakuwekwa juu ya trey, nalo la kinyago cha mpingo, akiwa chumbani kwake aliweza kusikia simu ya mzee soud ikiita, kisha akaona kimya, mlio ulikata, alafu akasikia sauti ya mzee soud “nimesafiri kidogo” kisha kimya kidogo alafu “ya ongea na kusikia” hapo kimya tena kama dakika tano, alafu akaongea tena mzee Soud “nisikilize kwa umakini, nenda kwa baba yako, yeye atakupa majibu yote, ukishindwa subiri nirudi, tutaongea, nikifika tu, nita kujulisha ili uje nyumbani” baada ya hapo akasikia akiaga na kukata simu, Michael akuelewa maongezi yale ya lihusu nini, na kilicho sababisha ni hile nenda kwa baba yeye atakupa majibu, jambo ilo la kuwa mzee Masinde ndiye mwenye kujuwa ukweli ata Johnson alikuwa analijuwa, lakini kitu alichukuwa anaitaji kwa mzee Soud, ni kingine kabisa, ni kumshawi mzee huyu kwenda kuongea na baba yake, ili kumnusuru na janga hili, ***** ilisha timia saa moja kasoro asubuhi, simu ya Denis ilikuwa inaita sana, Jackiline alikuwa amelala juu ya kifua cha Denis, wakiwa watupu kama walivyo zaliwa, walikuwa wamelala sebuleni, juu ya kochi (sofa), ndipo Jackiline alipo stuka toka usingizini, na kufumbua macho, akiwa amestuliwa na mlio wa simu ya Denis, akanyoosha mkono mezani na kuchukuwa simu, akaitazama kwenye kioo, akaona jina Mahadhi, akamtazama Denia, bado alikuwa amelala, katazama dirishani akaona mwanga wajua, ikiashilia kulisha kucha zamani sana, akatazama saa ya ukutani, ilikuwa saa moja kasoro dakika tano, akajuwa Denis amesha chelewa kazini na huyu ni rafiki yake ambaye alisha wai kumtaja siku ile ya tukio la muhimbili, akajiinua taratibu toka kifuani kwa Denis na kuingia chumbani, akapokea simu, **** Upande wapili Mahadhi aliakuwa ameweka simu sikioni, kasimama jirani kabisa na boss wao, akimpigia simu Denis, kama alivyo shauliwa na boss wake, kujuwa kilicho msibu mwenzao, ambae mpaka muda huo alikuwa ajawasiri kazini, na siyo kawaida yake kutofika kazini bila taharifa, pia licha ya ulevi wake akuwa mtegevu wa kazi, akiwa bado ame weka simu sikioni, na boss akiwa anasikilizia mjibu toka kwa Mahadhi, mala Mahadhi akasikia simu ikipokelewa na sauti tamu ya kike ikasikika, “hallow habari?” hapo Mahadhi mwili uka msisimka ikiambatana na mshangao, “nzuri samahani naomba kuongea na mwenye simu” alisema Mahadhi huku kichwani akijiuliza, “leo imekuwaje cha pombe kuwa jirani na mwanamke, tena asubuhi kama hivi, inaonyesha alilala naye, usiku kucha” wakati anawaza hayo, akastuliwa na sauti tamu ya kwenye simu, “amelala, anajisikia vibaya toka jana, alikuwa analalamika kichwa kina muuma,” mda wote boss alikuwa amemkaziamacho Mahadhi, akijaribu kuvuta picha, kitugani mahadhi anaambiwa na mpokeaji wasimu, “ok! sasa wewe ninani yake” hapo Denis akataka ushaidi, kama kweli rafiki yake amepata mwanamke, au ni jrani yake tu,“mimi ni mke wake” hapo Mahadhi nusu acheke kwa sauti, alicho fanya ni kumuaga haraka haraka, na kukata simu, kisha aka anza kucheka sana, kiasi boss akabaki ameduwaa asijuwe kijana wake anacheka nini, “atimae kipofu kaona mwezi” ***** asubuhi ya siku hiyo mzee Soud alipanda basi liendalo Dar es salaam, baada ya kushindwa kumshawishi Michael Nyati, kuachana na mauwaji ya wakina Masinde, ila kichwani kwake alipanga akifika Dar es salaam, kazi ni moja tu! kumtuma Insp Johnson akaongee na baba yake, ili amweleze ukweli juu ya kitu walicho kifanya kuhusu Michael, na kuidanganya serikali kuwa Michael ametoweka, na leo hii yeye mzee Soud, amemwona kwa macho yake, mzee Soud aliamini kabisa kuwa, kuna jambo kubwa sana lilitokea kimpindi hicho, ndiyo maana Michael ambaye kipindi hicho alikuwa kijana mdogo, ameamua kuwa fyeka, mmoja baada ya mwingine, aliwaza hayo mzee Soud huku safari ikiendelea, **** huku nyumbani kwa kina Denis, sasa Denis alikuwa amesha amka akimkuta Jackline anamalizia kuchemsha soup ya ng’ombe, maana baada ya kuongea na Mahadhi akaongea na baba yake, na kupeana report juu ya kilichotokea jana, kule buguruni, pia akamwambia juu ya wasiwasi wake kuhusu kutambuliwa sura yake na polisi, hapo Michael aka msihi sana, kuepuka kuzurula hovyo, na awe makini sana na kila mtu, pia atulie kwanza asifanye mauwaji mengine, kwa muda mpaka polisi watulie na kusahau, ndipo kazi iendelee, Denis alistuka sana baada ya kujikuta akimka saa mbili, ameshachelewa kazini na akutowa taharifa yoyote, ata ya uongo, akakimbilia jikoni, akamkuta Jackline anaendelea na mapishi, “kwanini huku niamsha” aliuliza Denis akionekana kufadhaika sana, Jackline alimwambia Denis asiwe na wasiwasi kuusu kazini, maana walipiga simu na ameongea nao, amewaambia anaumwa, Denis alifurahi sana, akajiona amepata mke makini sana, tena alifurahi zaidi baada ya baadae kupiga simu kwa boss wake, na kuambiwa kuwa auguwe pole, na awe anawapa taharifa juu ya afya yake, pia akiwa natatizo lolote anaweza kuwapigia simu wamsaidie, mwisho alimlaumu kwa kuto kuwajulisha kama anaishi na mke, **** Basi siku hiyo Denis na Jackline walishinda pamoja nyumbani, kiukweli na kama dudu ingekuwa ni sabuni, na zani siku hiyo Denis angekuwa ameimaliza kabisa, maana ilikuwa ni bandika banduwa, huku wakipumzika kidogo kwa chakula na kinywaji, tena siku hiyo walipunguza kiasi cha pombe, walikunywa kidogo sana, mpaka inafikia saa moja jioni walisha fanya mapenzi zaidi mala nane, huku muda mwingine wakiutumia kucheza pamoja, kama vile kufukuza na wakiwa uchi kabisa, maana siku hiyo walishinda wakiwakiwa watupu kabisa, **** mzee Soud aliingia Dar es salaam saa mbili usiku, akamkuta Johnson pale stend ya ubungo, ndani ya gari lake akimsubiri, ni baada ya kuwasiliana toka mzee Soud akiwa njiani, dakika chache baadae walikuwa njiani, wanaelekea kigamboni kupitia poster kisha kivukoni, mzee Soud alimweleza Johnson kuwa, mwanye ukweli ni baba yake mzee Masinde na wenzake, ivyo akamshauri akaongee na baba yake, ili aseme ukweli na yeye Johnson apate mwanzo wa kuweza kuzuwia mauwaji, ambayo yanaweza kumkuta ata baba yake mzee Masinde, walikuwa wakiongea hayo huku safari ikiendelea, “lakini mzee nazani una mwelewa vizuri huyu mzee, sizani kama anaweza kunieleza ukweli, nilizani wewe anaweza kukueleza ukweli” aliongea insp Johnson, akionyesha kukata tamaha ya kuweza kupata ukweli na kumtia nguvuni muuwaji, “unajuwa Johnson, hapo ni jambo moja tu! utapo mwonyesha baba ya ko kuwa una fahamu bahadhi ya mambo juu yake, lazima atakubari kukueleza kilakitu” waka kubaliana kumsubiri, mzee Masinde arudi toka mazishini Tanga, ili wajaribu kumdodosa, **** siku zilianza kwenda, maisha ya Denis na Jackline ya lizidi kuwa matamu, maana kila mala wanapo kuwa pamoja, kazi ilikuwa ni kupeana dudu, na siku zote Denis aliakikisha anawai kurudi nyumbani, akiwa amesha nunua bia zake na wine ya mpenzi wake, hapo watafurahi pamoja na na mwishoe ni kupeana dudu, walizoweana mpaka ikafikia kipindi Denis, akaanza kuongea na baba yake Jackline, kwa simu akizani kuwa anaongea na mzee mkulima aishie mashambani huko Songea vijijini, nae mzee Michael Nyati alikuwa ameshaliona jambo la mwanae kuzama kwenye mapenzi na kijana mlevi, ambae Jackline alimtetea sana, jamaa anajielewa sana yupo makni na mambo yake, siyo mdadisi kuhus mambo yake, Jackline alidai pia Denis amepunguza pombe kwa kiasi kikubwa sana, ni kweli licha ya Denis kununua pombe kila siku, lakini alikuwa anakunywa bia kumi mpaka kumi na sita, tofauti na zamani ange weza kumaliza ata kreti nzima, Michael na mkewe Anitha walikubaliana na mtoto wao kwamba aendelee kuwa na Denis, lakini asisahau kazi iliyo mpeleka dar es salaam, akazidiwa na mapenzi, Jackline akasema atoweza kusahau kazi yake, ni lazima ifanikiwe,***** huju nako baada ya mzee Masinde na wenzake kurudi mazikoni, insp Johnson alijaribu kuongea na baba yake, lakini mzee Masinde akuonyesha ushilikiano wowote, alikataa kabisa kuwa akuwa anajuwa chochote juu ya mauwaji yanayo endelea, licha ya kumweleza na kumwonyesha lile gazeti lenye picha yake, ikiwa imewekewa alama, lakini alikataa kuwa ausiki, kabisa na mkasa wowote, “baba kumbuka huyu tu ni hatari sana, lolote linaweza kutokea iwapo atujakutana na mtu huyu, nakuongea nae, pia fahamu kuwa nime vunja miiko ya kazi yangu, maana ilibidi niwashikilie wewe na rafikizako ili kuisaidia polisi katka uchunguzi, lakin kwa sababu umesema hujuwi chochote wacha polisi wafanye kazi yao” aliongea Johnson, akionyesha kuwa sasa ameshindwa kubembeleza, hapo ndipo Johnson alipo amua kuachana na baba yake, na kuanza kuchunguza yeye mwenyewe juu ya huusika wa baba yake katika kisa hiki, huku akimtumia Busungu kumfwatilia mzee Mathayo, ambae nayeye alisha rudi toka mtwara, **** ilikuwa imepita miezi miezi 3, pasipo kusikika mauwaji ya aina yoyote, jiji la Dar es salaam lilikuwa limetulia kabisa, amani imetawala, Polisi nao walikuwa wamesha anza kuamini kuwa muuwaji amesha amua kuacha kazi yake, pengine ni kwa sababu amesha maliza au ameogopa polisi, baada ya kupambana nao sikuile buguruni, kipindi hicho ndicho Jackline alipo alianza kuona mabadiliko kwenye mwili wake, kichefu chefu na uchovu mwingi sana, asa katabia ka usingizi wa mchana, Denis akaona bola ampeleke mke wake hospital, akacheki malalia, ilikuwa jumamosi saa tatu asubui, Denis na Jackline walikuwa wanatoka nyumbani kwao kibamba, kuelekea Hospital ya Muhimbili, waki ndani ya gari lao Toyota noah, wakati wanataka kuingia bara bara kuu itokayo mikoani, mala wakashangaa wakisa limiwa na dada mmoja mrembo hivi, mwenye shepu ya nguvu, alievalia suluali ya jinsi, nakuruhusu shepu yake kuonekana, vyema kabisa, huku nyuma akiwa amebeba makalio makubwa, vijana wanaita chura, “habari jamani” alisalimia kwa kupita dirisha la upande aliokaa Jackline, “safi habari yako” aliitikia Jackline, “samahani jamani sijuwi mnaelekea mbezi, nilikuwa naomba lift” aliongea yule dada, ambae atasura yake ilikuwa ni ya kulidhisha, “ok! ingia twende” alisema Jackline, na yule dada akashukuru huku anafungua mlango wa nyuma, na kuingia ndani ya gari, safari ikaanza, huku yule dada ambae alikuwa ni mwongea ji akianza kwa kumsemesha Denis, “alafu kaka nakuonaga sana manzese, ndipo uanapo fanyia kazi?” lilikuwa ni swali, “yah! ofisi zetu zipo pale MAZAO BUILDING” alijibu Denis huku ,acho yake yakiwa mbele, akitazama barabara, jibu la Denis alikumfurahisha Jackline, “ok! mimi mwenyewe ninafanya kazi Kamanga plaza kwenye duka la simu, nitakuwa nawai lift, na kaa Mbezi, nyuma ya kituo cha mafuta cha mbezi shule, huku nilikuwa nimekuja kumtazama rafiki yangu anakaa pale pale kibamba njia panda” alijieleza yule dada mwenye mmsambwanda wa maana, “ok! aina tatizo, japo uwa sinaga mda maalumu wakutoka ofisini” alieleza Denis pasio kutazama pembeni, wakati huo anasimama kwenye kituo cha polisi cha zamani, cha mbezi, “poajamani nashukurusana kwa lift, tutaonana kesho kutwa” aliongea yule dada wakati anashuka toka kwenye gari, “haya, siku njema” safari hi alijibu Jackline ambae alikuwa kimya mda wote akionyesha kuto kupendezwa na maongezi ya Denis na yule mwanamke, “inamaana, ulikuwa na umuhimu wa kumtajia unapo fanyia kazi” aliuliza Jackline akionyesha kama alikuwa na kawivu flani, wakati huo gari lilikuwa limesha anza kuondoka, “samahani mke wangu, lakini siyo kwa nia mbaya” alijibu Denis, huku akiachia mskanio na kuchezea nywele za Jackline, ambae alicheka kidogo, “wewe siunaliona linaonekana linakutamani” aliongea Jackline kisha wote wakacheka, **** huyu dada anaitwa Sablina, ni kwelii anafanya kazi kwenye duka la simu la kampuni ya simu ya Mambo tell, anaishi Mbezi shule na hawala yake Rusajo, ambae kwa sasa wanamiaka mitatu, wakiwa pamoja katika mausiano yao, Rusajo ni mtu wa diri, na wakati mwingine umshirikisha mpenzi wake Sablina kwenye diri zake sa wizi na utapeli, nikweli Sablina alikuwa anamfahamu vizuri sana Denis, na siyo tu kwa kumwona pale manzese, alikuwa anamfahamu kuwa ni mlevi sana, hivyo leo alipo pata nafasi ya kuwa pamoja, aka aamini kuwa ni lahisi kwao yeye na mpenzi wake Rusajo kumwingizamjini, hivyo lengo lake ni kujenga ukaribu na Denis ili afanikiwe kumwingiza mtegoni, maana Sablina na Rusajo walisha waingiza mjin watu kibao kwa kutumia umbo matata la Sablina, **** ilisha timia saa nne na robo Denis na Jackline, walikuwa muhimbili hospital, Jackline alikuwa ameshaingia kwa Doctor wa magonjwa ya kinamama, alikoelekezwa mapokezi baada ya kujieleza anavyo jisikia, tayari kupata vipimo, Doctor Ndilani, ambae ni mtu mzima, alistuka sana baada ya kumwona mshana mrembo akiingia ofisini kwake na mapigo ya moyo kuongeza kasi, maana akuwai kutibu mgonjwa mrembo kama huyu, liiicha ya kuwa hudumia na kuwaingizia dudu wa gonjwa wake wangi sana, lakini huyu alie ingia ofisini kwake leo, alikuwa ni mwanamke mzuri na mrembo hajawai kuona, tokea ameanza kazi yake hii ya udoctor, lakini huyu waleo alikuwa kiboko yao, ilo halikumpa shida sana Doctor Joseph Ndilane, maana alikuwa na mbinu nyingi sana, za kumshawishi mwanamke kufanya nae mapenzi papo kwa papo, pasipo kujari kama mume wake anasubiri nje, yeye aliwenza kusahawishi na kutafuna kitumbua mlemle ofisini kwake, leo anataka kumwingzia dudu Jackline, mwanamke mlembo aliopo mbele yake, tena wawili tu Doctor Ndilane, alitumia dakika saba kumsikiliza Jackline, akijieleza kinacho msibu, huku mda wote akiwa aeachia tabasamu na kujilamba lamba midomo kwa uchu, na wakati mwingine alikuwa akimkonyeza mgonjwa wake huyu, ambae alipania sana leo kutafuna kitumbua chake, Dr Ndilane akiwa kama Doctor bingwa, akagunduwa kuwa Jackline ana uja uzito, ilikusibitisha inabidi achukuwe kipimo cha mkojo, lakini yeye akataka kutumia nafasi hiyo kufanya yake, “vpi umekuja na mtu mwingine?” aliuliza doctor, “imekuja na mume wangu” ilo kwa Dr Ndilane alikuwa tatizo, akamwambia Jackline, apande juu ya kitanda kilicho kuwepo mle ndani ya chumba cha Doctor, kisha alale kitandani hapo, akiwa ajuwi hili wala lile, Jackliane aka panda juu ya kitanda ambacho kipo kwaajili ya kuwa laza wagonjwa ambao wana hali mbaya, au kwaajili ya kufanyia uchunguzi wagonjwa kama wakina Jackline, ni itanda ambacho kimesha shuhudia waschana wengi sana wakiingizwa dudu, tena wengi wao wakiwa ni wale waliokuja kwaajili ya kuchungza uzazi au kutoa mimba, “pandisha gauni lake mpaka kifuani” aliongea Dr Ndilane, ambae alikuwa amegeukia kwenye meza anaandika kitu flani kwenye karatasi,”ni kama Jackline akusikia vizuri hiyo kauli ya doctor, akabaki ameshangaa, akikosalakufanya pale juu ya kitanda, akimtazam doctor ambae alipo maliza kuandika, aliweka peni yake kwenye mfuko wa koti lake, kisha akavuta kimeza che mataili kilicho kuwa na tray juuyakeiliyo jaa mikasi na grves, na mkichupa cha mafuta, na Bp machine, akisogezakaribu na kitanda, alicho lalia Jackline, “husiogope dada pandisha gauni mpaka kifuani natakakupima tumbo lako” aliongea tena Dr Ndilane, ambae alianza kumsoma mgonjwa wake kuwa ni mtu wa aina gani, hapo Jackline akahisi kijasho chembamba kikichuruzika, aliona ni aibu sana kupandisha gauni lake kama livyo ambiwa na doctor, akichukulia chupi aliyo ivaa leo ilikuwa ni bikini, na alishaona dalili za doctor huyu kuwa siyo nzuri kwa afya ya kitumbua chake, maana alishamwona alivyo kuwa anamkonyeza, “usijari dada, mimi ni doctor, ni kwaida yangu kutazama vitu kama hivyo, atakama uli sahau kuvaa chupi, walaa usiogope” akauli hiyo ya Docto, siyo kama ilimslimshawishi Jackline, lakini yeye mwenyewe aliamua tu kupandisha gauni lake mpaka kifuai na kujilaza vizuri pale kitandani, akiwa amelala chali, akiachia mapaja yake mazuri ambayo uwachanganya wanaume wengisana japo wanaya shuhudia yakiwa yame fichwa na nguo, ndivyo ilivyo kuwa kwa dor ndilane, ambae alishusha macho kwenye eneo la kitumbua na kuona lime fichwa na mapaja manene ya mrembo huyu kitandani, “kuwa huru mrembo, punguza aibu tumalize kazi” aliongea Dr Ndilane huku akimtazama Jackline usoni, kwa macho yakulegea kimahaba ya kiume, mdomo ni mwake ameachia tabasamu la uchu, na miikono yake akiipitisha tumbo kwa Jackline, akianzia chini ya kitofu, yani ile sehemu ambayo ata akibanwa na mkojo uwa ina uma, nakupadisha paka juu kabisa karibu na matiti, alifannya hivyo kwa kurudia rudia, macho bado ameya kza usoni kwa mgonjwa, Dr Ndilane alienda mbali zaidi na kuanza kuliminya minya tumbo la Jackline, kwa namna ya pekee, wakati mwingine akipeleka mkono wake mpaka kwenye mbavu changa, nakumfanya Jackline ajisikie kutenya, mtekeenyo ulio mpa raha, akajikuta akifumba macho kusikilizia utamu, kwa kurigunduwa hilo Dr Joseph Ndilane akaongeza ujuzi ili kumlainisha zaidi mgonjwa wake, akjipaka mafuta flani kwenye mmikono yake, na kuanza tena kumkanda Jackline tumboni, huku akimtazama usoni, akamwona Jackline ambae alikuwa amefumba macho akiakunja sura kuonesha kuwa dose ina mwingia, hapo Dr akaamua kuingia kwenye atua yap li, nayo ni kumpandisha zaidi gauni na kuyahacha maziwa ya Jackline yakiwa nje ya gauni, kisha Doctor akajifanya kuliminya kidogo kama kuna kitu anaangalia kita toka, alafu akaanza kuchezea chuchu za mrembo huyu, akijuwa kuwa wagonjwa wengi hawajuwi lolote kuhusu vitu kama hivyo, uwafanyia hiyo mpaka wanapo jikuta waziwa na hamu ya kuingiziwa dudu, kumbe tofauti Jackline Michael Nayati alikuwa ameshaona utofauti wa matendo ya huyu doctor, tokea alipo ingia ndani ya ofisi hii, pasipo kujuwa dr Ndilani akashusha mkono wake kati kati ya mapaja ya Jackline, na kupenyeza kidole kwenye kitumbua cha mwanamke huyu, ambacho kilikuwa kimehifadhiwa na kimkanda kidogo cha bikini, kilicho shindwa kuimili na kuruhusu kidole kukifikia kialaghe chake, “vipi unajisikiaje” aliuliza Dr Joseph Ndilane, kwa sauti nzito yenye mikwaluzo, huku akianza kuchezesha kidole chake kwenye kialaghe cha mrembo huyu, na kwa msaada wa mafuta kwenye mikono ya dr kidole kiliteza na kusugua kialaghe hicho, Jackline akujibu kitu zaidi alikuuwa amefumba macho akisikilizia utamu, wa matibabu ya kusaajabisha, japo kitendo hicho kili mshangaza sana Jackline lakini akaamua ngoja kwanza aone mwisho wa hayo mambo ya doctor, kiukweli Jackline akuelewa maana ya Dr kumfanyia vile, maana akuelewa ni vipimo vya namna ile ni vya nini?, au vya ni aina gani ya vipimo?, maana sasa Dr Ndilane licha ya mkono wake mmoja kuendelea kuchezea kikunde, mwingine ulibakia kwenye chuchu, mpaka hapo kengere ya hatari ilisha gonga kichwani kwa Jackline maana alisha anza kuhisi ute ute uki anza kumchuruzikakwenye kitumbua chake, “doctor unani fanya nini?” aliuliza Jackline kwa sauti ya chini, huku alkijaribu kumbua macho na kumwangalia doctor, ambapo macho yao yalikutana, akamwona mwona doctor akiwa ameachia tabasamu lililo mchukiza sana, kama aitosh akamwona Dr Ndilane aki achia chuchu zake na kuingiza mkono kwenye suluwali yake, kisha akaitoa dudu yake iliyo kuwa imesimama vibaya sana ikichuruzika ute ute wa uchu,”Doctor unataka kufanya nini?” aliuliza Jackline kwa mshangao, “usiogope mrembo najuwa inaitaji kwasasa” alijibu Dr Ndilane ambae sasa aliuwa ameshika dudu yake akiiminya minya, akajuwa huyu doctor amesha “ebu towa nguo zote” aliongea dotor huku akimwachia Jackline, aweze uvua nguo zake, “hapana Doctor, siwezi kuendelea”aliongea Jackline akiwa anaijiinua toka kitandani, na kuvaa vizuri gauni lake, tayari kushuka kitandani, na kuondoka zake, hapo dr Ndilani akamshika Jackline na kumkandamiza, kumrudisha kitandani, “lazima tumalizie ndipo utoke, ajawai kutoka mrembo salam humu ndani” ***** muda mrefu insp Johnson, jumamosi yaleo alikuwa ofisini kwake akiandaa report juu ya kesi ya mauwaji aliyyopewa kuichunguza, japo ilimuumiza kichwa sana kutokana na mwenendo mzim wa kesi yenyewe, ambayo muda mrefu alikuwa akichunguza mwenendo wa baba yake, akisaidiwa na Busungu, ambae alikuwa akimfwatilia mzee Mathayo, alikuwa amesha gunduwa kuwa, baba yake na wale rafiki zake watatu, wanafanya shughuli zisizo harali uingizaji wa madawa ya kulevya wizi wa magari usafiri shaji wa nyala za serikari, na ile ya baba yake ya usafiri shaji kharamu, aliyo igunguwa toka akiwa kijana mdogo, akisingizia kuwa anavua samaki baharini, pia aligunduwa kuwa kuna vijana wapatao kumi na nne, watatu wakiwa madereva na tisa wakiwa ni watumiaji wa silaha na wenye uwezo wakupambana kwa mikono, walikuwa wakifwatilia jambo Fulani, mbalo baba yake na wenzake lina watatiza sana, maana aliona wae vijana wakitoa taalifa mala kwa mala kwa baba yake na rafiizake, ambao mala nyingi sana walikuwawanakutana na kujadiriana jambo linalo wa sumbua, kitu kingine ni kwamba, Johnson David Masinde alikuwa ameshangazwa kwa ukimya wa muuwaji, ambae aliamini kuwa bado hajamaliza kazi yake ya mauwaji, maana ilikuwa kimya kwa miezi mitatu sasa, kitu kilicho mfanya aamini kuwa, maneno ya baba yake ni yakweli, kwamba yeye ausiki na jambo hilo, maana mauwaji yamekoma, **** huku wakina mzee Masinde walikuwa wakiamini kuwa, muuwaji wao ambae ni Michael Nyati ametambua uwepo wa vijana wao wakazi, hivyo ameghaili kwa kuogopa, **** Jackline alishangaa akikandamizwa na Dr Ndilani, akirudishwa kitandani, hapo hapo Jackiline alishikwa na hasira ya hajabu, “wasalimie kuzimu” ghafla Jackline alirusha ngumi nzito, iliyo tuwa kwenye taya la doctor Ndilane, na kumfanya dr Ndilani apepesuke, huku akishangaa kilicho mtokea, kabla aja kaa sawa, alipigwa na ngumi nyingine nzito iliyotuwakwenye mbavu changa, na kuongezewa pigo linguine la mtindo wa karate, lililo tua shingoi na kupasua kooni la dr Ndilane, na kumfanya ashindwe kutoa sauti, kutokana na kushindwa ata kupitisha hewa, hapo aliongezewa teke la kichwa (kubhi maito) lililo mzungusha dr huyu kisha kumbwaga chini kama kiroba cha mchele toka begani kwa kuli, Haraka sana Jackline alimfwata Ndilane pale chini, huku akivuta mkasi mmoja mezani kwa Dr Ndilane, na kumsindilia dr Ndilane kooni, na kumfanya dr atulie akiwa ameshikilia shingoni, anakoroma kama mbuzi alietolewa wakafara mzimuni **** Denis akiwa amekaa kwenye benchi la kusubiria kuingia kwa dr, pamoja na wagonjwa wengine, mala akamwona Jackline akitoka ofisini kwa doctor, na kusimama mbele ya bechi atua chache toka alipokaa yeye “doctor amesema anaenda kwenye chai muingie baada ya nusu saa” aliongea Jackline kwa namna ya kutangaza, zikanza kusikika sauti za wagonjwa wengine, wakianza ku lahumu kuwa madoctor wana wanyanyasa, Jackline akamfwata Denis alipo kaa, huku tabasamu limetawala usoni kwake, husinge zani kama kuna jambo kubwa limetokea ndani ya ofisi, “dr amesema hawana vipimo, niende hospital binafsi” hapo Denis akainuka na wakashikana mikono na Jackline, na kuondoka zao, “najihsi kuchoka, yani natamani uni bebe” aliongea Jackline kwa sauti ya kujidekeza, usinge amini kama ndie yeye aliekuwa anafanya yale mauwaji kule kwenye chumba cha doctor, “husijari mama ukitaka nikubebe nitakubeba tu” alisema Denis huku akitania kumnyayua, wote wakacheka huku wakielekea nje, moja kwa moja kwenye gari lao, na kuondoka zao, walifwata njia ya kuelekea diamond jubilee, kisha makaburi ya tambaza waka kata kulia na kuelekea fire, wakati wana subiri mataa ya fire yawa ruhusu, ghafla wakaona magari na pikipiki za polisi, zikitokea kaliakoo, kwa mwendo wakasi sana, huku askari wenye silaha, wakiwa wame jaa kwenye magari hayo, na ving’ola viki lia kwa sauti ya juu, kuashilia kuna tukio limetokea kule wanakoelekea ambako ndiko waliko tokea wao, hapo Jackline Michael Nyati alitabasamu kichini chini, huku wakiyatazama yale magari yaposi yakipotea, kuelekea upanga, **** kumbe dakika chache zilizopita insp Johnson akiwa ametulia ofisini kwake ndani ya jengo kubwa la kituo kikuu cha polisi, akiwa anamalizia kuandika report yake ya kesi ya mauwaji mfurulizo, ambayo bado aija pata ufumbuzi, huku akiwa amesha anza kuamini kuwa mauwaji yame koma, na kwamba baba yake ausiki na mkasa huo, alipokea report toka kituo kidogo cha police, kilichopo karibu na hospitali ya muhimbili, kwamba doctor bingwa wa magonjwa ya kinamama, Dr Ndilani amekutwa ameuwawa Ndani ya ofisi yake, kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali shingoni, hapo ndipo Insp Johnson alipo chukuwa vijana wake wachache, akiongezea na askari wengine, ambao awakuwa katika kikundi chake cha kumsaka muuwaji, kwa sababu kutokana na kutotokea mauwaji kwa muda mrefu, alikuwa ana wagawa makundi askari wake, kwa kuwapa zamu za kupumzika majumbani kwao, yani nusu kwa nusu, wakiwa wamesha bakia nane, baada ya mmoja kuuwawa kwa risasi pale buguruni, siku ya kuwaaga marehemu, na busungu kupewa kazi ya kumfwatilia mzee Mathayo, kwa mwendo wakasi sana, polisi waliingia muhimbili hospitali, na kuelekea kwenye chumba cha Dr Ndilane, wakamkuta amelala sakafuni juu ya bwawa la damu, zilizo chuluzika, kutoka kwenye shingo lake, huku sehemu zake za siri, zikiwa nje, kama aliekuwa anataka kujisaidia haja ndogo, baada ya kuwahoji maswali machache, wagonjwa na madoctor, waliokuwepo eneo ile, insp Johnson akiulizia muonekano wa mgonjwa wa mwisho kuingia kwa doctor, akaelekezwa jinsi huyo mngonjwa alivyo, “ni mdada mmoja hivi mzuri mzuri, anashepu, alikuja na mume wake, alivyotoka alisema doctor amesema waingie baada ya nusu saa, ameenda kwanza kwenye chai” alielekeza mgonjwa mmoja wakike, kisha jamaa moja alievalia koti la kidoctor, akadakia, “ina semekana huyo dada alikuwa ndie mgonjwa wa mwisho kuingia kwa Dr Ndilane, mimi nilipo fika hapa nikakuta wagonjwa wanalalamika kucheleweshwa, nikaamua kuingia ndani ya chumba hiki ilikujuwa dr anatatizo gani, ndipo nilipo mkuta yupo hivi” insp Johnson akamwambia yule mtahalamu wa alama za vidole, kutoka police achunguze mwili wa marehemu, kisha yeye akatoka na kwenda kutulia ndani ya gari la police alilokujanalo, na kuanza kutafakari, kwanza alitafakari jinsi alivyo elekezwa mwonekano wa huyo mwanamke wa mwisho kuingia kwa Dr Ndilane, maana alifanana kabisa na picha ya mwanamke alie ipata kule full dose, pia anafanana na mschana ambae alielekezwa na Busungu, miezi michache iliyopita pale buguruni, siku ya kuaga miili ya marehemu wachungaji, pili aliwaza juu ya mwonekano wa doctor baada ya kuuwawa, alikuwa ameziachia sehemu zake za siri nje, inamaana alijaribu kumbaka huyo dada, maana nilimwona kwaacho yangu, ni mrembo sana yule demu, sijuwi kwanini anafanya kazi kama hii, alafu inasemekana alikuja na mume wake, anaweza kuwa Michael Nyati ndie mume wake”, pia akawaza kama nikweli yeye, je? atakuwa ameanza tena kazi yake ya mauwaji, na kama ndiyo inawezekana huyu Dr Ndilani anafahamiana au anaurafiki na baba yake, au ndio kamanilivyo waza mwanzo kuwa marehemu alitaka kumbaka huyu dada kama wale vijana watatu wa manzese, maana inasemekana huyo mwanamke ni mrembo aswa,” mpaka hapo Johnson akakosa jibu, kama mauwaji haya ya nausiana na mauwaji ya wanzo ya wachungaji na watu wengine? au hapana, aliwaza kwa muda kidogo, kisha akapata wazo la kumpigia baba yake na kumwuliza kama anamfahamu Dr Ndilane, Johnsoni akfanya hivyo mala moja, lakini mzee Masinde alisema amfahamu, na wala ajawai kusikia jina kama hilo, hapo insp Johnson akatulia nakuendelea na tafakari za kuumiza kichwa,***** Vijana wawili kati ya wale walio tumwa kumfwatilia muuwaji, ambae anawasaka wakina mzee Masinde, walikuwa maeneo ya mbezi stend ya zamani, kwenye bar moja ndogo, iliyopo jirani na dispensal moja kubwa ya Dr Stella Matumaini Disppensal (soma story ya SHANGAZI ANATAKA) wakinywa bia huku wakisubiri nyama choma waliyo agiza, hiyo ndiyo ilikuwa taratibu yao ya maisha, wakitumia fedha nyingi wanazo lipwa na mabosi wao, kwa kazi wanazo zifanya kila siku, na sasa walikuwa wanakula pombe na nyama tu, ni baada ya kukaa muda mrefu, bila kumwona mwanamke wanae mtafuta, na kukata tamaha, ndipo walipo anzisha ratiba ya kufanya starehe, na wakati mwingine kukaba watu usiku, na kujipatia fedha za ziada, kwa ajili ya starehe zao, leo wakiwa hapa mbezi wakiendelea kunywa bia, mala wakaona gari aina ya toyota noah, likisimama kwenye maegesho ya Dispensal ya Matumaini, inayomilikiwa na mwanamama mrembo Dr Stella, kisha wakashuka watu wawili, mwanamke na mwanamume, walionekana ni mtu na mtu na mke wake, vijana awa wawili awakumtazama sana yule mwana mume, ila walivutiwa na mwanamke alie kuwa ameongozana na yule mwana mume, “ebwana heee! unamwona yule mwanamke jinsi alivyo bomba?” alikuwa ni mwanamke mzuri na mrembo sana, “duh! ni noma, tena yule ukimpata, unamgongea konyagi” aliongea mwingine huku wakiendelea kumtazama yulemwanamke mrembo wakati huo akiongozwa na mume wake kuingia ndani ya jengo la Dispensali, walpo fika kwenye ngazi na kuingilia waka simama idogo kisha yule mwanamke akageuka na kutazama upande wao, kama kunakitu anatazama, “mh! hivi, huyu demu mbona kama nimewai kumwona sehemu” sura yake aikuwa ngeni kwao, japo awakujuwa walimwona wapi kwa mala ya kwanza, wali shuhudia wawili hao wakiingia kwenye dispensal ya Dr Stella, vijana hao wakatazamana usoni, kama wanatafakali jambo, “niliwai kumwona wapi huyu dada” kila mmoja aliumiza kichwa kimya kimya, baada ya dakika chache, kila mmoja akakurubuka na ingiza mkono mfukoni haraka sana, wakatoa karatasi, ambazo zilishaanza kuchakaa, kutokana na kutembea nazo kila walipo enda, kila mmoja aka likunjua na kuitazama picha iliyopo kwenye karatasi ile, hapo wakapata jibu moja, kuwa yule ndie mtu wanae mtafuta sikuzote, hapo wakaona kuwa kazi yao imeisha, maana mtu wao yupo mbele yao, wote kwa pamoja wakainuka na kuelekea Despensal kwa Dr Stella (shangazi yake Jayden) huku wakiwapigia simu wenzao, kuwa waje haraka sana mahali hapo, maana waicho kuwa wakikitafuta kipo mbele yao, na kwa mwonekano wa mschana huyu, akuwa na umwonekano wa kuweza kupigana kaa inavyosemekana, labda yule mwanaume alieongozana nae, lakini waliamini kuwa wakijikusanya wote itakuwa lahisi kumteka yule mwanamke, atambele ya mwanaume wake, ***** ndani ya despensal hiyo wagonjwa walikuwa wengi sana, kutokana na hudumanzuri, inayo patikana hapo, Denis na Jackline walipo fika Jackline akajiandikisha na kukaa foleni, wakati wote Jackline aki jidekeza kwa Denis, kama wafanyavyo wanawake wengine wanao wapenda sana wapenzi wao, mara aushike mkono wa Denis na kuulaza mapajani kwake, kisha kuanza kumchezea vidole, mala ajiegemeze kwe kwenye bega la mpenzi wake, na vitu kama hivyo, kumbe muda wote kuna vijana wawili, walio kuwa wamekaa atuwa chache toka walipo kaa wakina Denis, wakijichanganya na watu wengine waliopo mahali hapo, walikuwa wametulia waki waangalia, na kuwafwatilia kwa umakini sana, huku wakijadiri mawili matatu, kutokana na kuamini kuwa yule mwanamke awezi kuwa muuwaji, waliamini kuwa Denis anaweza kuwa ndie muuwaji, anae wawinda maboss wao, hivyo wakajuwa fika wakifanikiwa kumkamata Jackline, ita wasaidia kupata yule mwanaume kilahisi, baada ya kujadiliana kwamuda kidogo, huku wakimsomea ramani Jackline, huku wakiendelea kuwasiliana nawenzao kwa njia ya meseji na wanzao wakiwa sisitiza kuwai, *** askari mmoja alikuja kumwita insp Johnson, aliekuwa bado yupo ndani ya gari akitafakari, kwamba majibu yapo tayari anaitwa akayatazame, hapo insp Johnson akatoka kwenye gari, na kukimbilia ndani ya ofisi ndogo ya uchunguzi, iliyopo mle ndani ya hospital ya muhimbili, baada ya kukabidhiwa majibu akaoyatazama kwa muda kisha akaomba file lilolo ifaziwa majibu na report ya uchunguzi wa alama za vidole, za vifo vya wachungaji Kileo na Chilumba, baada ya dakika chache, zilikuwa mezani mbele yake, baada ya kuzipitia kidogo akagunduwa kuwa muuwaji ni yule yule, ambae sasa anamfahamu kwa sura maana alishawai kumwona buguruni, report ilionyesha licha ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali shingoni, pia alipigwa na kitu kizito kwenye taya lake, kichwani na sehemu za mbavu, ambayo ilisababisha kuvunjika kwa mbavu tatu, kilicho mshangaza insp nikwamba, zaidi ya kukuta alama ya vidole kwenye mkasi uliokita shingoni kwa Doctor, pia alama nyingine za vidole, zilipatikana, kwenye sehemu alizopigwa na viu vizito, kasolo kichwani, “ngumi, huyu mwanamke anauwezo gani?” hapo Johnson akagongameza kwa nguvu, huku akiachia tusi la nguoni, akainuka na kuamlisha askari wake, waingie kwenye magari na kuondoka zao, kuelekea kituo kikuu cha polisi, maana alishajuwa kuwa kwa jinsi anavyo mfahamu yule dada, hawezi kuwepo eneo ilo, mpaka mda huo ****Ni kweli, maana sasa Jackline alikuwa ndani ya ofisi ya Dr Suzane akihojiwa kuhusu afya yake, kabla ya kupata vipimo, ambapo Dr Suzane alimwelekeza aingie kwa Dr Stella, kwa ajili ya melekezo zaidi, akiwa amemwandikia bahadhi ya mambo ambayo Dr Stella akiona, atajuwa aongee nae vipi, pale nje wale vijana walimwona Jackline akitoka na kuingia kwenye ofisi nyingine, ambako akukaa sana akatoka akiwa na kibahasha cheupe mkononi, uso wake ukiwa na tabasamu akamfwata Denis moja kwa moja, alipokaa na kumwambia jambo, wote wakaonyesha furaha, kisha wakainuka na kuanza kutoka nje, na wale jamaa wakasimama haraka, wakina Denis walitembea kidogo, lakini ghafla Jackline akasimama, na kumwambia Denis kuwa, anataka kwenda chooni mala moja, kabla awaja ondoka, Jackline akamkabidhi kile kibahasha cheupe Denis, na Denis akarudi na kukaa kwenye benchi, akimwacha Jackline akiulizia upande vilipo vyoo, alionyeshwa na kuelekea huko, nyuma yake wale vijana waliigeuka na kuanza kumfwata Jackline, wakijuwa kazi yao imekwisha kiulaini kabisa, walimfwata huku wakimshuhudia Jackline akiingia chooni, upande wa kike, nao wakaongeza mwendo na kuzama kwenye jengo la choo upande wa wanawake, ambao ulikuwa na vyumba sita, vya watu kujisaidia, awakujuwa yule mwanamke ameingia mlango hupi, wakaanza kusikiliza choo ambacho kitasikika sauti au uwepo wa mtu, ndani yake, lakini awakufika mbali, ilikuwa kama mzaha kwao, ni baada ya kusikia sauti ya kike nyuma yao “nipo hapa, si mnanitafuta mimi” wote wakageuka na kumtazama Jackline, ambaye alikuwa amesimama na usoni kwake kaachia tabasamu flani, ambalo uwa analitowa anapokuwa na hasira, lakini sura yake inakuwa nzuri, wale jamaa wawili licha ya kustuka lakini wakadharau, “tunakuitaji, kama ukiwa mpole utabaki mzima, lakini ukileta ukorofi kidogo tu! utakufa humu humu chooni” aliongea mmoja wao, huku akitoa kisu kidogo toka kwenye mfuko wake wa suruali, na yule mwingine akielekea kwenye mlango wakutokea nje ya choo, na kuufunga kwa ndani, akitumia komeo la mlango huo, Jackline alikuwa akiwatazama kwa umakini sana, huku tabasamu likiwa alikatiki mdomoni kwake, kisha taratibu akawaambia, “kama mngejuwa kuwa mmeingia choo cha kike, kiukweli mngefungua mlango na kukimbia haraka sana” wote wakacheka kwa zarau, huku yule aliefunga mlango, akatoa simu na kuanza kupiga kwa wenzake kuwasisitiza wafanye haraka, kwani wamesha mpata mtu wanaye mtaka, akawaelekeza mahali walipo kuwa, ni chooni pale dispensal, Jackline akatabasamu tena na kuongea kwa utulivu, kama yupo sehemu anaongelea jambo la kawaida, “mmefanya vizuri kuwaita, maana watakuja kubeba miili yenu, ambayo wataikuta mahali hapa” kauli hiyo iliwa stua kidogo, mbona huyu mwanamke mrembo anajiamini kiasi hiki au yupo namtu mwingine mle ndani, wakajaribu kuangaza huku na huko kuangalia usalama wao, kama kweli wapo wenyewe mle ndani, lakini wakati wanafanya hivyo, ghafla kama umeme yule mwenye kisu, alistukia mkono wake ulio shika kisu ukiwa umepigwa teke, na kusababisha kisu kimtoke na kuruka juu, akiwa anatahamaki alimwona yule mwanamke mrembo sana, akiwa ameruka juu na kukidaka kile kisu, mpaka hapo walisha gundua kuwa, yule muuwaji ndiye huyu mbele yao hivyo nivyema wakajiami, lakini alichelewa maana ile anatuwa chini, tayai kile kisu kilikuwa kimeshazama kwenye shingo yake na kumfanya ashikilie shingo yake usawa wakooni, akizuwia damu zilizo kuwa ziki churuzika kama bomba lamaji lililo pasuka, akanganda sekende kadhaa kabla yakujibwaga chini,yule mwenzie ambae alikuwa ameduwaa akikodoa mimacho asiamini kama ni yule binti mrembo, ndeye anayefanya mambo hayo, aliona kweli humu ni choo cha kike, bola ajitaidi kujiokoa, basi hapo kitendo bila kuchelewa, akaruka teke kuelekea kwa Jackline, lakini Jackline akakwepa kama anacheza mchezo flani wa kitoto, na kumfanya yule jamaa apitilize na kuyumba kama mlevi, kabla ajakaa sawa alikutana na ngumi moja nzito ya shingo chini kidogo ya kidevu, iliyo mfanya ahisi kama amemeza tindikari kooni kwakwe, jamaa alichanganyikiwa kwa ngumi ile nzito, alihisi kama aamepigwa na nyundo ya kupasulia mawe, wakati anaanza kujilahumu kwa kufunga mlango, akaongezewa nyingine mbili usoni usawa wapua, nateke lakifua lililo mrusha na kwenda kujibamiza kwenye sinki la kunawia lamle ndani, na kusababisha kuvunyika kwa lile sinki na vipande vyake kuzama maeneo ya shingo lake, chini ya kisogo, kisha akajibwaga chini kama kiloba cha mchele, huku simu yake aliyokuwa ameiweka haraka haraka mfukoni, ikidondoka pembeni, hapo Jackline hakupoteza muda akasogea kwenye lile sinki buvu naku fungulia maji akanawa mikono na kujifuta damu, kisha akatoka nje, bahati nzuri hapakuwa na mtu yoyote, akatembea haraka kuelekea ndani ya jengo kubwa la ile dispensal, akamkuta Denis akiwa anamsubiri, sasa basi wakati anamchukuwa Denis iliwaondoke, akawaona vijana sita wakisimamisha gari aina ya 110 rand lover, na kuingia ndani ya despensal wakiwa mbio mbio, Jackline aliwatazama wale vijana wakielekea moja kwa moja upande wa vyoo, hapo Jackline alitabasmu huku akiingia ndani ya gari sambamba na Denis, kisha wanaondoka zao kuelekea barabara kuu na kisha kuelekea upande wa kibamba nyumbani kwao, “kumbe siyo malelia ni ujauzito” alisikika Denis akiongea kwa sauti ya furaha, akiungana na Jackline ambae aliachia kicheko cha kudeka, lakini moyoni mwake alikuwa anawaza namna ya kuwaeleza wazazi wake,juu ya ujauzito hule ****wakati Denis na Jackline wakifurahia ujauzito, huku despensal mambo yalikuwa tofauti, wale vijana sita, walikimbilia moja kwa moja na kuingia ndani ya choo cha wanawake na kuwakuta wenzao wamesha aga dunia, wakaona huu ni msala kwao, na kwa maboss wao, waka pata wazo la kuwaondoa haraka sana mahali pale, lakini muda huo kuna wagonjwa watatu, wa kike wawili, na wakiume mmoja, walikuwa wanaelekea huko chooni, wakashuhudia wale vijana sita wakiwa wana wabeba wale wenzao wawili, huku wakichuruzika damu, japo wao walitaka wasionekane na kusabisha matatizo, wale watu waka tahamki, kwani waliona wazi wazi kuwa wale vijana wawili wamesha kufa, tena kwa kuuwawa, walicho kifanya nikukimbia na kurudi tena walikotoka, huku wakipiga kelele za hatari, lakini vijana wale awakujari, waliendelea kuwaondoa wenzao haraka haraka, wale wagonjwa watatu walikimbiampaka sehemu ya kusubiria wagonjwa, ambayo ilikuwa na watu wengi sana, wakiendelea kupiga kelele, “jamani kuna mauwaji yame tokea hukooooo” waliongea kwa tahamaki, huku wakipiga kelele, hapo eneo lote la dispensal lilivurugika, watu waka tawanyika, huku wengine wakipata nafasi ya kushuhudia vijana sita wakiwapakiza marehemu kwenye Rand Lover 110, kisha kuondoka zao kwa mwendo wa fujo sana, na kuingia barabara ya morogoro, na kuelekea upande wakibaha, nakupotea haraka sana, kumbe Dr Stella lisha piga simu kituo kidogo cha police cha mbezi, mbezi na dakika chache baadae police waliingia hapo despensal, na kuchukuwa maelezo toka kwa watu waliopo pale Despensal, ***** insp Johnson akiwa ametulia ofisini kwake akijaribu kuwaza na kupanga mambo flani flani, asa yausuyo tukio la leo hospital ya muhimbili, mala mlango wake waofisi ukafunguliwa kwa pupa, aka ingia askari wakike aliepo mapokezi, "afande kuna mauwaji yametokea mbezi, kwenye Despnsal moja maarufu ya Matumaini, inayomilikiwa na Dr Stella" hapo insp Johnson akatoka mbio mbio, na kuagiza vijana wote aliotokanao muhimbili waingie kwenye magari, na kuelekea mbezi, huku akitowa maelekezo kwa yule sajent awapigie simu vijana wanne ambao walikuwa mapumziko siku hiyo, walipoti kituo kikuu haraka sana, maana mambo yamesha pamba moto, baada ya dakika kumi na tano police hao, wakiongozwa na insp Johnson, walikuwa wamefika eneo latukio, insp Johnson alikutana na mkuu wakituo cha mbezi, ambae alikuwa amesha fika kwenye eneo la tukio, na kupokea maelezo ya mwanzo ya tukio la vijana sita wenye Rand Lover 110, walivyoonekana wakiondoka na marehemu wawili, toka choo cha wanawake, bahati nzuri kuna mmoja kati ya wagonjwa aliisoma namba ya gari lile, insp Johnson akaiandika kwenye kinote book chake, kisha akaelekea chooni yalipotokea mauwaji, akiwa na askari wachache akaingia chooni na kuanza uchunguzi mlendani, kweli mlendani damu ilitapakaa sana kuonyesha kwamba wale vijana alikutana na kisanga cha hatari sana, lakini katika kukagua akaona simu pembeni ya vipande vya sink lakunawia lililo vunjika, insp akaomba gtovs zile za hospitali, mala akaletewa nakuzivaa, kisha akaokota ile simu, pamoja na kisu kilicho tumika kwenye mauwaji, wakaweka kwenye mfuko maalumu, pasipo kuaribu alama za vidole, baada ya kulizika na uchunguzi wao, wakaondoka na kurudi kituo kikuu, Insp Johnson akaacha maagizo kwa mtaharamu wa alama za viole, kisha akaelekea TRA, shirika la mapato tanzania, kuangalia usajili wa gari lile, ambalo alipewa namba zake, ambalo lilitumika kuwabeba marehemu, kitu ambacho hakikuwepo kichwani mwake, kwamba muuwaji wa kule despensal ni yule yule ambae ametoka kufanya mauwaji muhimbili, ****** Jackline na Denis walikuwa wamesha fika nyumbani na Jackline akamwonyesha Denis majibu ya hospital yaliyo onyesha kuwa ni mjamzito wa miezi miwili na nusu, pia walipewa kipimo kidogo cha kutumia kwenye mkojo asubuhi, wote walionyesha kufurahishwa na tukio hilo la kupatikana kwa ujauzito, lakini furaha hiyo ilikatika kwa upande wa Jackline baada ya kuwaza namna ya kuwajulisha wazazi wake, asa baba yake ambaye akupenda kabisa mwanae ajiingize kwenye mausiano ya mapenzi, lakini sasa amepata ujauzito kabisa, Denis naye aliona mabadiliko ya Jackline akamwuliza "vipi Jack kuna tatizo?" "mh! nawaza namna ya kumweleza baba, maana ni mkali sana" maneno ya Jackline yalimwingia Denis, asa akikumbuka kuwa amemkuta Jackline akiwa bikira, hiyo ilitosha kumfanya ajuwe ni kiasi gani mpenzi wake alikuwa katika wakati mgumu, katika umri mkubwa kama ule, wakajadiliana kwa muda kidogo mpaka wakapta jibu kuwa wakae kimya paka ujauzito ukiwa mkubwa au akisha zaa, kabisa ndio wawaeleze ***** insp Johnson alipata majibu toka kwa mtahalamu wa alama za vidole na TRA alama za vidole kwenye simu hazikuweza kutambulika kutokana na kitendo cha yule marehemu kuingiza simu mfukoni baada ya kumaliza kuongea kabla haija dondoka chini, ya pili ilikuwa ni alama za vidole toka kwenye kisu, zilifanana na zile za muuwaji wa wachungaji na Dr Ndilane, mapigo ya moyo ya Insp Johnson, yakaongeza kasi, akuamini alichokiona "mauwaji mala mbili, watu watatu ndani ya siku moja?" kijasho chembamba kilimtoka Insp, ya tatu ilikuwa ni majibu ya mmiliki wa gari alikuwa ni Mathayo K, akaletewa picha na anuani zake, ile picha aliitambua moja kwa moja, kuwa yule anaye mwona kwenye picha ni rafiki mkubwa wa baba yake, “mh! Au huyu mzee ni mmoja wawlio uwawa, kwa kuwa ushahidi ulisha fikishwa ofisini na kuolozeshwa kwenye jarida la ushaidi, ikaamuliwa kuwa Mathayo K akamatwe nakufikishwa mahakamani, huku insp Johnson akizidi kupata uakika kuwa baba yake nawenzake anausika moja kwamoja na matukio ya mauwaji hayo, na kwamba muuwaji bado anania ya kuwamaliza marafiki awa, kwahiyo baba yake ba rafiki zake, nao ni kati ya watu wanao takiwa kufa, insp akampigia PC Busungu, na kumwuliza juu ya mzee huyo ambae alimpatia jukumu la kumfwatilia, akaambiwa kuwa yuponae maeneo flani ya kimara mwisho, “ok! Endelea kuwanae kuna polisi wanakuja kumkamata” alimaliza Johnson, kisha akavuta picha ya tukio kuwa, vijana wale, ndio wale walio tumwa jambo flani na wakina mzee Masinde, sasa walimvamia yule dada muuwaji chooni, kwenye vyoo vya kike, pasipo kujuwa kuwa huyu mwanamke ambae anaonekana kuwa anat tizo la kiafya, ni hatari sana, alicho kiona ni kuongea na baba yake, ikiwezekana aachane na bihashara zisizofaa, maana Insp Johnson alihisi kuwa, pengine wamezulumiana kwenye bihashara zao haramu, na huyo mtu anaeitwa Nyati, ndio maana yanatokea matukio kama haya, hapo akaingia kwenye gari pamoja na kundi la askari wake, safari ya kwanza ikiwa ni kimara wakifwata maelekezo ya pc Busungu, kwenda kumkamata mzee Mathayo, ambae ni rafiki wa baba yake, lakini Insp huyu alifana hivyo huku akijuwa kuwa kufanya hivyo ni kusababisha mambo mengi yazidi kufahamika, na kunweka baba yake kwenye hatari ya kukamatwa kwa kazi za ualifu, mpango wa Johnson ulikuwa, akisha mkamata mzee Mathayo, aende kuongea na baba yake, akiwa na uakika pia atapatakujuwa baadhi ya vitu toka kwa mama yake, ambaye kwa sasa alikuwa amesha rudi toka kwao musoma,**** jioni ya leo mzee Michael pamoja na mke wake Anitha, alikuwa mmoja kati ya watu ambao walikuwa wakiangalia habari kwenye television ya taifa, habari zilizo stuwa moyo wake usiku huu, ni mauwaji ya yaliyo tokea sehemu mbili tofauti zinazo fanana, muhimbili hospital na mbezi Despensal kwa Dr Stella, tena mzee Mathayo akiusishwa na kutorosha maiti ya vijana wawili, huku ikionyesha kuwa tajiri huyo na mmiliki huyo wa gareji kubwa na muuzaji wa magari amekamatwa na polisi, na vijana sita walio shiriki tukio hilo moja kwa moja, bado wanatafutwa na police, taharifa hiyo ilimstua sana Michael Nyati, ambae alijuwa fika kuwa mauwajii hayo yame fanywa na mwanae Jackline, kilicho mtua siyo kwa kukamatwa kwa mzee Mathayo, ambae ni mmoja wa windo lake, au vifo vya vijana wawili, au Doctor wa muhimbili, ambae ni bingwa wa magonjwa ya kina mama, na uzazi, ilicho mstua ni maeneo yaliyotokea mauwaji, kwanza ni kutokea mauwaji kwenye chumba cha doctor bingwa wa maswala ya uzazi, mawaji ya pili ni kutokea mauwaji kwenye dispensal ya docor bingwa wa mambo ya uzazi, “ina maana huyu mtoto anajambo linalousu uzazi, au ....” aliwaza baba Jack, hapo akaiwasha pad yake, ambayo alikuwa aki itumia kumfwatilia Jackline, na sasa alikuwa aiwashi mala kwa mala, sababu alikuwa amemweleza kusitisha mauwaji, Mchael Nyati alitumia dakika kazaa kukagua ile pad yeke kiangalia record ya mchana kutwa, akagunduwa sehemu zote zilizo tokea mauwaji, Jackline alikuwepo tena kwa muda uleule, wa matukio, akajuwa kuwa mwanae, anafwatiliwa na wakina Masinde, jambo ambalo lilimshangaza ni kwamba Dr Ndilani anausikaje mpaka auwawe, akashindwa kusubiri aka chukuwa simu yake na kumpigia mwanae, **** wakati huo Jackline alikuwa amelala juu ya kochi, mtupu kama alivyozaliwa, akiwa ametanua miguu yake, kama mama anaejifungua, huku Denis akiwa anamnyonya kikunde mpenzi wake huyo, awakuweza ata kufwatilia taharifa ya habari, maana kelele za Jackline zilikuwa zina sikika, akiugulia utamu, akakibana kichwa cha Denis na kukikandamiza kwenye kitumbua chake, huku akizungusha kiuno chake taratibu kwa kukigandisha ngandisha, akikaza misuri ya mapaja na makalio yake mazuri, maana utamu ulizidi kukolea, ingiza baba... ingiza baba..tayari mme wangu ing...", mala ghafla walisitisha zoezi lao, baada simu ya Jackline kuita, achilia kumstua pia simu ile ilimchukiza sana Jackline, maana utamu aliokuwa akiupata ulikuwa siyo mchezo, kivivu na kwa hasira akachukuwa simu yake, "he! baba!" alinong'ona jackline, Na kuipokea simu, "shikamoo baba" hapo Jackline alikutana na maswali magumu, ambayo aliyajibu kitaharamu, akificha kuwa ni mjamzito, pasipo Denis kuelewa chochote, mwisho Michael akamsisitiza mwanae kuwa makini, pia akaomba kumsalimia Denis, ambae alisalimiana na mkwe wake, pia mama Jackline naye akamsalimia Denis ambae alikuwa akijuwa kuwa wazazi wa Jackline ni masikini sana huko kijijini, baada ya kukata simu, Jackline akuchelewa akaishika dudu Denis, ambayo bado ilikuwa imesimama bado, na kuidumbukiza mdomoni, akaanza kuinyonya taratibu, nakumfanya Denis aanze kutoaa mguno flani wa kula muwa, baada ya sekunde chache Denis akajilaza kwenye kochi, huku Jackline akijilaza juu yake lakini waki pishana Jackline akielekea miguuni kwa Denis nakufanya mdomowake ukae usawa wa dudu ya Denis na kitumbua chake kikae usawa wa mdomo wa Denis, hapo wakaanza kunyonyana sehemu za siri kabla ya kukaa sawa nakuingiziana dudu, ***** "baada ya kurudi toka congo baba yako alipata likizo, tukaenda nyumbani musoma, huko tulikaa wiki mbili tu! tukarudi dar es salaam, tena baba yako alikuwa na fedha nyingi sana, hapo tulinunua hii nyumba na baadae likizo ilipo isha akaacha kazi, si kuwa na wasiwasi kwa kuwa alikuwa na fedha nyingi sana, baadae akanunua meli, ile ambayo unaiona mpaka leo inafanya kazi, ila baada ya mda mfupi, baba yako alianza kubadilika tabia, akawa anapenda sana wanawake, pia vikao visivyoisha na wenzake, wakiwemo wale walio uliwa na huyu aliekamtwa leo, ila kwa siku za hivi karibuni, baada ya kurudi toka musoma, ni memsikia akizungumzia sana kuhusu mtu mmoja anayeitwa Michael Nyati, sijuwi kwanini lakini jina hilo aliwai kuni tajia miaka mingi sana iliyopita, akiwa ni mmoja kati ya askari wenzake, alio endanao congo, walipo rudi sikuwai kufwatilia sana, mpaka siku za hivi karibuni nilpo sikia akiongea kwenye simu akimtaja Michael Nyati, kwamba wa kizubaa atawamaliza, akisisitiza kuwa, vijana wamsake mtu wao” insp Johnson alikuwa akimsikiliza mama yake kwa umakini sana, moyoni alikili kuwa, kweli kulikuwa na utofauti wa maelewano, kati ya baba na mama yeke, na mkolofi ni baba yake, ilo alilifahamu fika, toka miaka mingisana iliyopita ni baada tu alipo pat ufahamu, baada ya kupata mawili machache toka kwa mama yake akaona bola aondoke zake, ila akamwambia mama yake, asije akamwambia baba yake, kuwa amemsimulia hayo aliyo msimulia, ***** wakati huo mzee masinde na wakina Alex, walikuwa kwenye bar moja mitaa ya kibamba ccm pamoja na vijana wao, waliobakia waki jadiliana kuhusu mambo yaliyotokea mchana waleo, ikiwa ni kuuwawa kwa vijana wawili na kukamatwa kwa Mathayo, na mpango wao ukiwa ni kumtoa mahabusu mwenzao, bwana Mathayo, kabla haja hojiwa napolisi na kutoa siri zao zote, juu ya kisa kinacho wakabili, ukizingatiwa walishatiliwa shaka kuwa, wama huusiano na matukio ya mauwaji yanatoendelea, ikiwezekana waipoteze ile kesi ya mauwaji, yavijana wawili, na ilo jukumu akakabidhiwa mzee Masinde, kuakikisha kesho mwenzao anatoka jela, pia waliteua vijana watatu, wakuwa karibu na mzee Masinde, kumpa ulinzi, maana muuwaji amesha juwa kuwa anafwatiliwa, hivyo lazima atakuwa anaitaji kuwamaliza na wao pia, wakiamoni kwa kitendo cha vijanawao kumvamia, watakuwa wamemchokoza, ***** wakati wao wakipanga yao, huku Michael Nyati alikuwa akipanga yake, aliwaza mambo mengi sana akajumlisha na kuzidisha, kisha atoa na kugawanya, akaona endapo mzee Mathayo akihojiwa vizuri, lazima ataongea kila kitu, hivyo italeta matatizo kwake, na kwa mwanae Jackline, hivyo ni vyema bwana Mathayo, akiviziwa mapema sana, na kuuwawa, kabla ya kufunguwa mdomo wake mbele ya polisi, pia hiyo ndiyo nafasi pekee ya kutimiza adhma yake, ya kumpoteza Mathayo, akiwa ni mmoja wa maadui zake, hapo sasa akachukuwa pad yake na kuifungua sehemu ya ramani, ijulikanayo kama inter map, na kulifungua jiji la Dra es salaam, akaikuza (zoom) sehemu ya kaliakoo, kilipo kituo kikuu cha police, akaanza kutazama eneo lile la kuzunguka kituo kikuu kwa umakini sana, dakika chache baadae alijikuta akitabasamu, akajuwa kesho lazima afanikiwe kumpunguza Mathayo kwenye idadi ya wabaya wake, ***** jumapili illikuwa ni siku fupi sana kwa wote, wakati insp Johnson akiwa kituo kikuu cha polisi akiitaji kumuhoji, mzee Mathayo rafiki mkubwa wa baba yake, lakini anaambiwa kuwa ameachiwa, na ameambiwa alipoti kesho asubuhi kituoni hapo, hapo alichoka kiakili, kumbe baba yake mzee Masinde, alishaongea na mkuu wa kitengo cha upelelezi wa makosa ya jinai, huku akitanguliza fungu nono la fedha, na kumfanya mkuu huyo akubali kuwa saidia, huku akiwapa ujanja wa kufanya ili kukwepa tuhuma hizo, lakini aliwasisitiza kuja kesho asubuhi kituoni, “husijari mimi mwenyewe nitamsindikiza, wacha sasa tuka fanye kama ulivyo tuagiza” aliongea mzee Masinde, lakini mkuu wa upelelezi ambae anajulikana kwa jina la Kishiko, akamlekebisha bwana Masinde, kuhusu report ya uibiwa kwa gari na kutumika kwenye tukio la ualifu, nikwamba ata atashughulikia yeye mwenyewe, kwamba wao kesho wataikuta hiyo report, itakayo onyesha kuwa gari liliibiwa siku chache kabla ya tukio, *** huku nyumbani kwa kina Denis, yeye na Jackline walikuwa wanakunywa pombe nyingi sana, huku wakifurahi, sauti kubwa ya music ilisikika ndani ya nyumba yao, kelele na vicheko vilitawala, lakini aikutimia saa saba mchana, kabla awaja pitiwa na usingizi pale pale sebuleni kwenye makochi, **** wakati wao wana sherehekea, wakati huo Sablina mwanamke tapeli, alikuwa pamoja na mwanaume wake wakipanga jinsi ya kumwingiza mjini Denis, kama ambavyo walisha wai kufanya kwa watu wengi sana, walipanga mpango wao uanzie asubuhi, na kukamilika jioni, na ksawishi kikubwa kikiwa ni pombe, **** kwa mzee Nyati na mke wake nako mambo yalikuwa moto, mda wote walikuwa wana tengeneza mchoro wa tukio utakavyo kuwa, na kupanga vizuri kavbisa kwa kutumia akili nyingi sana, ili Jackline aweze kufanya tukio na kuondoka eneo hilo bila kuonekana, au kukamatwa, saa tatu usiku ndo mda ambao alikuwa wame maliza kupanga mipango yao, na kumpigia simu Jackline, **** wakwanza kuisikia simu hiyo alikuwa Jackline mwenyewe, pombe ilikuwa imesha anza kupungua kichwani mwake, akaipokea simu na kumsikiliza baba yake, ambae alimweleza mpango wakesho, baada ya kumaliza maongezi na baba yake, Jackline alimtazama Denis akamwona bado amelala, akaelekea kwenye kibanda cha kulazia gari, akalichukia begi lake jeusi kwenye makolokolo yaliyo lundikwa mle ndani ya kibanda, akalifumgua na kutoa vifaa nya silaha yake kubwa ya udunguaji, mugnum sniper rifle, na kuanza kuvikagua, alipo lidhika akakagua risasi, alipo maliza akaamia kwenye bastora na kisu, **** asubuhi na mapema siku iliyo fuata Denis alikuwa wakwanza kuamka na kuelekea kazini, akimwacha mpenzi wake mama kijacho akiwa bado amelala, sasa kumi na mbili na robo ilimkuta mbezi mwisho, ndipo alipo simamishwa na mwanamke ambae alimpalifti juzi akitokea kibamba, Denis alisimaisha gari, yule mwanamke ambae leo alivalia gauni jepesi la kubana, na kusabisha makalio yake ayaonekane kwa jinsi yalivyo tuna, aliingia kwenye gari wakaondoka “naona ulisahau kama nilikuambia kuwa nita kusubiri hapa” aliongea yule mwanamke, huku akijichekesha na kujitingisasha kidogo, na kusabisha kifua chake ambacho kilijaliwa maziwa makubwa na kuonekana kama makalio, yatikisike kwa fujo, “kweli nilisha sahau, mambo vipi lakini” alisalimia Denis, “poa tu anasemaje wifi” aliitikia Sablina, “yupo, nime mwacha amelala” alijibu Denis huku safari ikiendelea, “ongera yenu nyie wenye wake, yani mimi sina hamu na anaume, walicho nifanyia” aliongea mwanamke tapeli Sablina kwa sauti nyembamba akiigiza uzuni flani, ambayo ilimteka Denis, “pole sana kwani walikufanyia nini?” aliuliza Denis akionyesha kuguswa na maongezi ya yule dada, “yani we kaka ya ngua acha tu, kama utakuwa na nafasi mchana, mimi nikaombe luksa, tuka kae sehemu nikusimulie, huku tuna pata bia baridiiiii” alisema yule mwanamke, akimtazama Denis usoni, huku akiwa ameliachia tabasamu mwanana, hapo Denis aliwaza kwa dakika chache, kisha aka mwambia ule dada, “aina shida nazani mda wa chakula itapendeza,” hapo likaonekana tabasamu usoni kwa yule dada tapeli Sablina, “basi utachukuwa namba yangu, alafu utanipigia saa sita, tujuwe tukutane wapi” aliongea yule dada huku akimsisitiza sana Denis kuja peke yake, iliaweze kumsimulia kisa kamili, wakati huo yule dada alikuwa anachezea simu yake kama natuma ujumbe kwa mtu, “bwege amesha nasa, anza kusogea mida ya saa tano” **** sms hiyo ilimkuta mwanaume wa Sablina akiwa njiani anarudi kwenye nyumba waliyo panga, maana asubuhi ya leo alimsindikiza mwanamke wake kwenye kituo cha daladala mbezi mwisho, kwa lengo la kushuhudia kama Sablina ana fanikiwa kupanda gari la Denis, ambae wana muwinda, ili kumpola fedha zake nyingi ikiwezekana ata gari, na yeye akajibu, ‘hakikisha achomoki’ *** nyumbani nako Jackline baada ya kumwona Denis ameondoka, akaamka na kuanza mazoezi, akijiandaa kwa safari ya kwenda kutoa roho ya Mathayo, bada ya kufanya mazoezi ya nguvu sana, aliingia bafuni na kuoga, kisha aka mpigia simu baba yake, na kupokea maelezo yakina, ambayo yalimtosheleza kufanya kazi yake vizuri, baada yahapo Jackline akaanza kujiandaa tayari kwa safari, leo akibadilisha mwonekano wake, ili asifahamike kwa ulahisi, **** saa moja na nusu ilimkuta Denis ameshafika kazini,leo alionekana akiwa mwenye furaha sana, kwa kitendo cha Jackline kushika ujauzito wake, na kukubali wazae, aliwasimulia wakina Mahadhi na boss wake, nao walimpa hongera sana, japo walimlahumu kwa kushindwa kuwakaribisha kwenda kumwona shemeji yao, kwa upande wa Jane taharifa hiyo ilimuumiza roho, kwani alishaangaika sana kumnasa Denis lakini akamkosa, ***** saa tatu na robo, mzee Masinde na mzee Mathayo, walikuwa wameshafika kwenye kituo kikuu cha polisi, na kupokelewa na askari wa kitengo cha upelelezi, mzee Masinde akabaki nje ya ofisi za kituo hicho, huku mzee Mathayo akichukuliwa na askari na kupelekwa kwenye chumba cha mahojiano ambako alimkuta insp Johnson, tayari kwa kumchukuwa maelezo, lakini wakati insp Johnson akiwa katika chumba cha mahojiano, anajiandaa kuchukuwa maelezo ya nzee Mathayo, mala mlango wa chumba hicho uka funguliwa, akaingia police mwengine, alieonekana kuwa na cheo kikubwa kidogo kuliko Insp Johnson, ambae alimwita insp na kumweleza kuwa anaitwa kwenye ofisi ya mkuu wa kitengo cha upelelezi wa makosa ya jinai, hapo Insp Johnson akamwacha mzee Mathayo, nakuelekea kwenye ofisi ya afande kishiko,**** mita mia moja toka kituo kikuu cha police, walionekana vijana watatu ambao alikuwa wamesimama nje ya gari aina ya rand lover 110, lakini siyo lile lililo tumika kubebea marehemu, kule mbezi Matumaini Despensal, macho yao yakielekea kituo kikuu, waki mtazama mzee Masinde, aliekuwa amesimama nje ya gari lake, kwenye maegesho ya magari ya kituo kikuu cha police, akisuburi jibu la mchezo wake alioucheza kwa mkuu wakitengo cha upelelezi, wakati huo huo Jackline nae ndiyo alikuwa ameshuka toka kwenye daladala, la mbezi kaliakoo, na kuelekea usawa wa kituo kikuu, safari yake ni kuelekea kwenye jengo moja refu sana, linalo fahamika kama MH Production, mita mia mbili toka kituo kikuu, alitembea Jackline akiwa amevalia suruali ya kaki na tishert nyeusi, pia kofia ya cap, na beg jeusi mgongoni mwake, chini akivalia viatu virefu vya mchuchumio, alikatiza mbele ya wale vijana watatu, pasipo kujuwa kuwa ni kati ya watu wanao msaka, akiwa amejichanganya na makundi ya watu wengi walio zagaa pale kaliakoo akazidi kusonga mbele kulifwata jengo lile lefu la golofa saba, kijana mmoja kati ya wale watatu alimwona Jackline, akajaribu kuvuta kumbu kumbu ya kuwa amemwona wapi huyu mwanamke mrembo, lakini kijana huyu, kwa kuwa alikuwa kazini, akapotezea akijiambia kuwa ule aukuwa mda wakutamani wanawake, japo aliendelea kumtazama mpaka alipo ingia kwenye jengo la MH Production, ITAENDELEA...