DADA MDUNGUAJI EPISODE 12

Emmanuel Lee
By -
0

 DADA MDUNGUAJI


EPISODE 12


STORY NA Mbogo Edgar


ILIPOISHIA EPISODE 11 tot op jioni hii kabla yakwenda msibani, insp alielekea nyumbani kwake kubadiri nguo, na kuvaa za kiraia, njia nzima insp alizidi kuumiza kichwa, juu ya kumsaidia baba yake, yote kwa yote aliamini kuwa, kama hiyo kesho baba yake ata mweleza ukweli, basi itakuwa lahisi sana kwa mzee Soud kumsaidia, endelea ............

 Maana insp alizani kuwa mzee huyu aliewai kuwa kingozi wa ngazi zajuu wa jesh la ulinzi, ange amua kumsaidia kwa maslai ya taifa, aliwaza hayo insp Johnson, pasipo kukumbuka jeuri yake yasiku za nyuma kipindi kile alipo onekana kuwa ni shujaa sana, baada ya kifo fake cha mzee Nyati, dakika chache gari la polisi ilikuwa limesimama nje ya jengo la wajasiliamari, insp na askari wake wakashuka na kuelekea kwenye ofisi ya utawala ya jengo lile, aka wakuta wausika wakiwa katika kikao kikubwa cha kajadili tukio lililo tokea leo mapema, katika jengo lao ambao kwasasa lilikuwa limesha jipatia wateja wengi sana, na sasa walihofia kuwapoteza kutokana na mauwaji yaliyotokea mahali pale, insp alikutana na mkurugenzi wa jengo lile, nakuomba kuangalia record za kutwanzima, za camera za usalama zinazo onyesha eneo lote la jengo lile, moja kwa moja insp akapelekwa security room, nakuanza kukagua video zirizo recodiwa automatic na computer inayo ongoza camera hizo, na kujiifadhi kwenye hard disc drive, (HDD) insp Johnson akiwa na baadhi ya wana usalama wa jengo lile na askari wake wachache, walianza kutazama video za jengo lile kwa umakini sana, ***** saa moja nanusu za usiku, kamasiyo jioni, mzee Masinde alikuwa nyumbani kwake sebuleni, ameishikilia chupa kubwa ya pombe kali, akiigugumia pasipo kutumia grass, huku akionekana kuchanganyikiwa na tukio la leo mahakamani, siyo kwamba alichanganyikiwa kwa kifo cha mtu wake wakaribu ila alichanganyikiwa kwakujuwa kuwa bado yeye kufa, ;icha ya mzee huyu kunywa nusu ya chupa yapombe hii kali, lakini akujihisi kulewa kabisa, “akika mwisho wangu nauona, unakuja kwa kasi sana” aliwaza mzee Masinde, huku akiendelea kugugumia pombe yake, ambayo chupa hii kwa kawaida, wangekunywa ata watu sita nakulewa vizuri tu!, mda wote mke wake alikuwa anamtazama tu!, akishindwa kumwuliza kulikoni, maana mzee huyu ni kwamuda mrefu sana amekuwa akishindwa kumshirikisha katika mambo yake, baada ya kukaa mda mrwefu akiendelea kunywa pombe, mzee Masinde akaonekana kupata wazo  “mama Johnson njoo mala moja” aliita mzee Masinde, wasauti iliyo lemewa na mzigo wa simanzi, mke wake akaja mbio mbio, japo mama huyu alifahamu juu ya vifo vya marafiki wa mume wake, lakini akuelewa sababu ya vifo  hivyo, ila kwa sasa alishaanza kuona uwezekano wa mumewake kuusika kwa namna yoyote na vifo hivyo, “nimekuja mume wangu” aliongea mama Johnon, baada ya kukaa kwenye kochi pembeni ya mume wake, lakini mzee Masinde alionekana kutulia akiwa ameijishika kwenye mashavu na kuinamisha kichwa chini kama kuna kitu alikuwa ana kitazama kwenye meza, alitulia kwa dakika kaadhaa, kisha aakiwa bado uso wake ameutazamisha chini, aka ongea, “sikia mke wangu, tumeishi mda mrefu kwa ugomvi mkubwa sana, na mkosaji ni mimi” alitulia kidogo mzee Masinde pasipo kumtazama mke wake aliekuwa amekaa kimya akimsikiliza mume wake, mzee  Masinde akaendelea, “naitaji nafasi nirekebishe makosa yangu” aliweka kituo mzee huyu, ambae mkewake mwanzo alizani labda amelewa sana, lakini aligunduwa kuwa mume wake hajalewa kama anavyozani, “sitaki mtu yoyote katika familia yangu, alipie zambi zangu” maneno ya mzee Masinde yali anza kumtia shaka mke wake, ambaae alitulia kama amepigwa na mshangao, funga safari nenda musoma, “kaa huko mpaka muda wakurudi utakapowadia” hapo mama Johnson alisindwa kukaa kimya, “kwani baba Johnson, nikiwa hapa dar unashindwa kufanya mambo yako?” aliuliza kwa sauti ya jazba, lakini ikawa tofauti na siku zote anapotumia sauti hii, lazima ange stuka kibano kina mshukia, lakini leo alishangaa kuona, mzee huyu akiwa ametulia kama mwanzo, kisha akaongea kwa sauti ya upole na utulivu sana, “mke wangu najuwa wewe na Johnson amta nielewa, ila ukweli nikwamba, mke wangu unaitaji kuwepo sehemu salama zaidi” hapo mama Johnson akalahhisisha kidogo, kwa kujumlisha na kugawanya na matukio yavifo vya rafi wa mume wake, hivyo akajuwa mume wake anamuofia yeye, “kwahiyo wewe utabaki hapa?” aliuliza mama Johnson kwa sauti ya upole, “ndiyo nitabaki, pia kunakiu naomba unisaidie” aliongea mzee Masinde, ambae leo alimshangaza mkewe, kwa utulivu wake, “kitu gani tena mume wangu?” aliuliza mama Johnson, kwa sati ile ile ya utulivu, “najuwa Johnson awezi kunielewa, ila naomba kabla ujaondoka, mwambie asiendelee kumfwatilia Nyati, sababu atapoteza maisha yake, pengine na familia yake yote” alisema mzee Nyati kisha aiakinuka na kuingia chumbani wanako lala yye mke wake, akachukuwa koti kubwa jeusi la mvu, ambalo utumiwa na wanajeshi, au polisi, akavaa buti ndefu nyeusi, kama za jeshi, na kofia ya cap, kisha akarudi sebuleni, akamkuta mkewake bado amekaa kwenye kochi, “natoka kidogo nita rejea” hapo mzee Masinde akusubiri jibu au swali toka kwa mke wake, akatoka nje, na sekunde chache ukasikiks muungurumo wa gari lake aina ya land rover dicover, likiwashwa na kuondoka, hapo mama Johnson, akiwa na wasiwasi mwingi, akachukuwa simu yake na kumpigia mwanae Johnson, ***** Denis na mkewake Jackline walikuwa wametulia sebuleni kwao juu ya kochi moja kubwa, France alikuwa anachezea gari lake dogo, chini ya carpet, Jackline alikuwa amejilaza kwenye mapaja ya mume wake, wakitazama filamu, ya kivita, mala moja moja, Jackline akimfanyia Denis michezo ya kuliamsha dudu, maana alikuwa akipenyesha mkono “waw! waw! waw! poish.....” ilikuwa ni sauti ya France, iliyo wastua baba na mama yake, Denis alistuka kwasababu akuwai kumsikia mtoto huyu, akitamka neno hili lililo maanisha polisi, kwani ata kutamka jinalake ilikuwa ni kazi ngumu, sasa leo alikuwa ana igiz na king’ora cha gari la polisi kabisa, wakati Denis ana waza hayo, mke wake alikuwa ametulia kama akuwa anawaza lolote, “polisi, umewajuwaje polisi France,?” aliuliza Denis kwa mshangao, “hen!” France aliitika huku anamtazama mama yake, Jackline akauma meno kwandani, “na wewe baba France swali gani hilo unamwuliza mtoto?, kwenye hayo mavideo yako unayo angaliaga unazani mtoto aoni?” alidakia Jackline huku ana penyeza mkono wake, na kuulaza juu ya bukta Denis, na kuishika dudu ya Denis, alievalia bukta nyepesi, kwa kuipapasa kidogo, Denis anastuka kidogo na kuudaka mkono wa mke wake, “kama hivyo safi sana, dogo anaonekana kichwa sana, nataka awe kamanda” aliongea Denis huku, Jackline akijitoa mkono wake kwenye mkono wa mume wake, kisha safari hii anaupenyeza ndani ya bukata na ikuikamata duduambayo ilisha anza kusimama, “unamfundisha mtoto ukatiri, mimwenyewe naogopa kutazama” aliongea Jackline huku akiendelea kuichezea dudu ya Denis ndani kwa ndani, “tatizo nyie wanawake ni waoga sana, ata akitokea panya hapa utakimbia na kumwacha mtoto” aliongea Denis huku akiusikilizia mkono wa mke wake ukichezea dudu kwa siri, pasipo France ambae alikuwa anaendelea kucheza, kuona kitendo hicho, “baba France usitaje wadudu usiku huu, mwenzio nitashindwa kulala” alisema Jackline kwa sauti ya uoga uliopitiliza, huku anaachia dudu ya mume wake, na kujiinua toka mapajani mwake, Denis aliangua kicheko kikubwa, huku akijaribu kuiweka vizuri, dudu yake iliyo simama, Jackline akaulaza mkono wake kwenye sehemu hiyo ya Denis, “mwambie atulie nikaweke chakula mezani, kisha akamsalimie mwenzie” aliongea Denis huku ana uchezeza mkono wake juu ya dudu ya Denis, kama anaipooza, kisha akainuka kabisa toka kwenye kochi na kuelekea jikono, ambako akukaa muda mrefu akaonekana akitoka jikoni, mkononi mwake amebeba hot pot ya chakula, na kuweka mezani, kisha akarudi tena jikoni na kuendelea kubeba tena vyakula vingine, na kuweka juu yameza kubwa, akiandaa tayari kwa kula chakula hicho, **** Johnson akiwa ndani ya ofisi za usalama za jengo la wajasiliamari, ambapo alikuwa ametumia masaa mawili kukagua video za camera za usalama, na kugundua uwepo wa Jackline Nyati ndani ya jengo lile, mida hile hile ambayo matukio ya mauwaji yalitokea, video zilimwonyesha mwanamke huyo alie valia gauni la kitenge mfano wa kanzu, na aliejifunika sura kwa nguo nyepesi sana kichwani mwake, mwanamke huyo alionekana akielekea upande wa vyoo, mala tu baada ya polisi kuzuwia watu kuingia na kutoka ndani ya jengo lile, kisha mwanamke huyo akuonekana tena, kutoka kule vyooni, “naweza kupata video ya hii record” aliuliza Johnson huku akiendelea kufatilia ile video, “inawezekana iwapo utakuwa na frash disc au external Hard disc” aliongea msimamizi mkuu wa usalama, wakati huo huo Johnson alisikia simu yake ikiita, akaitoa mfukoni na kuitazama “mama”  alinong’ona Johnson, huku anapokea simu hiyo, ambayo ilimtaka Johnson, aende nyumbani kwa mama yake haraka sana, Johnson akastuka, akahisi wito ule aukuwa wakawaida, sababu mama yake aliongea kwa sauti iliyo tawaliwa na wasi wasi mwingi, **** saa tatu na nusu usiku, ndani kabisa  ya kijiji kidogo cha mashambani, jirani na kibaha kongowe, kilomita kumi toka bara bara kuu iendayo mikoani, (morogoro load) nyumba zilikuwa chache sana kule mashambani, zikiwa zime tawanyi na kuwa mbali mbali sana, pembeni kabisa ya kijiji hicho nje ya nyumba mona ya nyasi, lilionekana Land rover discover likiwa limeegeshwa nje, huku mwanga afifu wa koroboi ukionekana kupitia kwenye dirisha dogo lenye kipande cha nguo iliyo chakaa, “wazee wanasema kijana mbele yako kunagiza nene” ilisikika sauti toka ndani ya kijumba hicho kidogo cha udongo, ikionyesha ni ya mtu anae miliki miaka kati ya themanini na nne au themanini na tano, “wazee wanasema aujalogwa na mtu yoyote, ila kunamtu ana kufwata kuchukuwa uhai wako” iliendelea kusikika sauti hiyo yenye mikwaluzo, “tena kuna wenzako watano wamesha poteza maisha, na wewe pekeendiyo ulie bakia” ilisikika ile sauti ikifwatiwa na muungurumo wa kama ame patwa na misimko, “nikweli kabisa babu” hapo ilisikika sauti ya mtu mwingine, toka mle ndani, ambayo inafahamika mala moja kuwa ni yamzee Masinde, “wazee wanasema ulimzulumu huyu mtu, pamoja na kujaribu kutoa uhai wake” ilisikika tena ile sauti, “nikweli babu” sauti ya mzee Masinde ilisikika ikwa na uakika, “haya kijana sema unaitaji nini toka kwetu” ilisikika ile sauti kisha mzee Masinde akaanza kuongea anacho itaji, “naitaji huyu mtu afe kabisa, ili niishi kwa amani” aliongea mzee Masinde kwa sauti kavu hisyo na chembe ya huruma wala aibu, ikifwatiwa na muungurum kama hule wakwanza, ukimalizikia na chafya tatu mfululizo, kisha ile sauti ya kikongwe cha kiume, ikaanza kuongea kwa lugha ambayo kiukweli mpaka naandika story hii, bado sija ifahamu ni yawapi, na alikuwa anaongea kitu gani, “chinjo chane nunulige, chinjwan cha kulungwa, pali onjo llilo la penepo pa lihengo” aliongea yule mzee kwa sauti yake ile ile ya mikwaluzo huku akituo muungurumo kwenye kila kituo cha sentesi yake, kisha ikatulia kwa sekunde kadhaa, “kijana wazee wamekubari kukusaidi, wata mpoteza huyo mtu anaye iwinda roho yako,” aliongea yule mzee kisha akatulia kidogo, “ila kuna ambo yana takiwa yafanyikie kabla ya kumpoteza huyo adui yako” aliongea yule mzee kisha akatulia kidogo, hukusauti ya mzee huyu ikionekana kutulia kabisa, ikionekana mzee Masinde alikaa kimya akisubiria maagizo toka kwa kikongwe huyo, ambae aliimweleza kuwa, mzee Masinde anatakiwa apelike  moyo wa mwana damu kwa yule mganga, nimoyo wa mwanadamu alie muuwa kwa mkono wake yeye mwenyewe, “miezi mitatu mbele kuna siku ya mizimu, ndio siku ambayo moyo huo utatakiwa kufikishwa mbele ya mizimu, ambayo itamsaidia bwana masinde kummaliza adui yake, “sasa muda wote huu nitaishi vipi?” ilisikika sauti ya mzee Masinde ikionyesha wasiwasi wa hali yajuu, “hilo niachie mimi” ilisema ile sauti ya kikongwe ambapo ikatulia kwa dakika kadhaa, hikisikika michakato ya vitu flani flani, kisha ikaendelea, “nakupa kinga ya muda, unatakiwa kuifunga kiunoni, na pia nitakuchanja dawa sehemu mbali mbali, za mwili wako, ambapo atakama akifanyaje huyo adui yako ata wea kukupata, mpaka utapo fanikiwa kumwangamiza” **** “mume wangu, kila siku unazidi kuwa mtamu” aliongea Jackline, kwa sauti laini iliyo legea sana, kwa uchovu, huku akiwa amejiegemeza kifuani kwa Denis, juu ya kitanda chao kikubwa kilichopo jirani na kitanda cha mtoto wao France, ambae alikuwa amesha pitiwa na usingizi, hapo wawili hawa walikuwa wametoka kumaliza kuingizia dudu, ikiwa ni mzunguko wa kwanza ulio tummia nusu saa, “sikushindi wewe, yani una kum.. tamu mpaka nashindwa kuielezea” aliongea Denis kwa sauti nzito ya taratibu, kisha wote wakacheka, kivivu, “alafu kila siku unaongeza mtindo mpya, au kuna kadeu kanakufundisha?” alisema Jackline huku anamtazama Denis usoni, kwa macho ya kivivu, “uwezi nielewa tu mama France, siwezi kufikilia kuwa na mwanamke mwingine zaidi yako” aliongea Denis kwa sauti nzito na tulivu, Jackline akaachia tabasamu lililo zidisha uzuri wake, na kumfanya Denis aliekuwa anapeleka mkono wake kwenye makalio makukubwa ya mke wake, amwone mpya kabisa, muda huo huo Jackline akahisi kitu kigumu kiki mgusa gusa usawa wa kiuno, akapeleka mkono na kuugusa kitu hico, “he! wewe unataka tena” aliuliza Jackline huku akiichezea dudu ambayo tayari ilikuwa imesha simama, mala wakasikia mlio wa simu ya Jackline ikiita, wote waka stuka, na kutazama juu yameza ndogo yam le chumbani, na kwa kawaida mpigaji wa simu hii ni mzee Nyati peke yake ***** saa tano za usiku Johnson alikuwa anajiandaa kuondoka nyumbani kwa wazazi wake, ni baada ya kuongea na mama yake na kumpa maagizo ya baba yake, ya kuachana na kumfwatilia mtu anae itwa Nyati, kwa usalama wa familia yake, japo kuwa akuwa ameafikiana na mama yake Johnson aliaidi kufwata kama alivyoagizwa na baba yake, muda huo huo wakasikia muungurumo wa gari nje ya nyumba yao, na baada ya gari kuzimwa ikachukuwa dakamoja kumwona mzee Masinde akiingia ndani, 


 “Hooo! Johnson ulikuja tena” alisema mzee Masinde huku akinyoosha kuingia chumbani kwake, pasipo kusubiri jibu la mwanae, maana alijuwa kuwa, tayari mke wake amesha mfikishia ujumbe mwanae, kuwa akutakiwa kuendelea kumfwatilia Michael Nyati, mzee huyu ambae alisha anza kupata matumaini ya kuendelea kuishi kwa amani, baada ya kukutana na mganga, aliingia chumbani kwake na kukaa huko huko, akikwepa maswali ya mwanae, ambayo aliamini kuwa leo yangekuwa mengi zaidi, mzee Masinde ambae alianza ujilahumu kwa kuto kwenda kwa mganga mapema alikaa, sana ndani ya chumba chake, akitega sikio kusikia mungurumo wa gari la polisi, ambalo leo alikuwa anatumia mwanae, baada ya gari lake pamoja na la yeye mzee Masinde, kupigwa mawe na wananchi wenye hasira kali, yakiwemo gari mengine mengi sana, ya watu mbalimbali, ambapo nusu saa baadae mzee Masinde akasikia mwanae akiaga na kuondoka zake ikifwatia muugurumo wa gari, kisha mke wake nae akaingia chumbani, “nimesha ongea nae, na amekubari, ila kasema ata kutafuta kesho” aliongea mama Johnson, huku akianza kuandaa mabegi yake kwaajili ya safari, **** Jackline akamtazama Denis ambae aliinuka haraka sana na kwenda kui chukuwa simu ya mke wake akaitazam kwenye kioo cha simu hiyo, akaona jina la mpigaji, “baba” akampatia simu Jackline, ambae aliipokea na kuongea neno moja tu! “shikamoo baba” kisha akaonekana kusikiliza simu na kuitikia mala chache, “ndio baba.. ndio baba... sawa ..... lakini hakuna tatizo ......” ilisikia sauti hiyo ya Jackline huku anainuka kitandani akiwa uchi kabisa, na kumwonyesha mume wake ishara ya kuwa anenda sebulenni kunywa maji, kisha huyooooo, Jackline akatoka nje ya cumba chao na kupotelea sebuleni, ****** mzee Nyati au baba Jackline alikuwa anaongea na Jackline, akimsimanga kwa kutumia gari la Denis, kwenda kwenye mauwaji, maana mzee Huyu ambaae analifahamu vizuri gari lile aliliona wakati anatazama taalifa ya habari ya saambili,nakugunduwa kuwa ni gari la mkwe wake Denis, ambae amechangia kwa kiasi kikubwa sana kufanikiwa kwa mpango wake wa kulipiza kisasi, japo yeye mwenyewe akuwa anajuwa, Jackline alikili kuwa alifanya kosa, japo alimwakikishia baba yake kuwa akukuwa na tatizo lolote, pia baba Jack alimsisitiza mwanae kusoma hali ya uwanja, kabla ya kummaliza mzee Nyati, pia alimtaka kuwa mtulivu sana hasisababishe mauwaji ya aina yoyote yatakayo fahamika kuwa ameyafanya yeye, **** siku iliyo fwata Johnson baada ya kulipot kazini akaelekea msibani, ambako alikaa mpaka saa tano, muda ambao mwili wa Busungu uliagwa, na kusafilishwa kwenda kwao Dodoma, kisha Johnson akiwa na majonzi mazito alielekea nyumbani kwa baba yake, akizani kuwa atakuwa nyumbani akijificha, zidi ya risasi ya dada mdunguaji, lakini akukuta mtu myoyote, mama yake na dada wakaazi tayari walikuwa wamesha safari kuelekea musoma, na baba yake akuwepo nyumbani, ikabidi ampigie simu, ilikujuwa yupo wapi, lakini baada ya simu kupokelewa, Johnson alikutana na maneno ambayo yalizidi kumchemsha kichwa, “Johnson sidhani kama tunakitu cha kuzungumza, zaidi mwanangu kaambali na swala hili, maana lita kupoteza duniani, mzee Nyati namfahamu mwanangu, mimi nitajuwa namna ya kujilinda” kisha mzee huyu akakata simu, baada ya hapo kila Johnson alipojarbu kupiga simu, aliambiwa inatumika, “dah! ameni block” alisema Johnson kwa masikitiko makuwa, kumbe wakati huo, Johnso anaangaika kumsaka baba yake mwenzie alikuwa ndani ya meli yake kilomita ishilini ndani ya bahari, ya hindi tokea pwani ya kilwa, akiongea na vijana wake akiitaji ulinzi zaidi, na kazi ya kumsaka mtu ambae atauchukuwa moyo wake na kwenda kuupeleka kwa mganga, kwakifupi vijana wake walisha wai kufanya kazi kama hizo mala nyingi sana, ikiwa ni matambiko ya kazi yao ya ualamia wanayo ifanya kule baharini, huvyo aikuwa shida kwao kumwelewa boss wao ambae alikuwa anawalipa vizuri sana, hivyo walikubariana kuwa wagawane majukumu, vijana wawili wakaondoka na na mzee Masinde, wakitumia speed bot ambayo ilimleta mzee huyo, wakarudi nchi avu na kuanda safari ya kuelekea dar, **** mkuu wa jeshi la polisi CGP, CHEF General Polis, aliwaita kwamalanyinge wakuuwote wa idara, zilizopo chini ya jeshi la polisi, ni baada ya kwenda ikulu na kukalipiwa vibaya sana na mkuu huyo wa nchi, nakutakiwa kuleta report ya kukamwata kwa muuwaji huyo, na kupatatikana kwa majibu ya vitendo vya kialifu vinavyo endelea nchini, CGP nae alitoa maagizo kwa wakuu wa idara hao, akiwa sisitiza kuwa anaitaji matokea mazuri kwa muda mfupi sana, alieleza kuwa nikitendo cha aibu mtu anae isiwa kuwa ni mwanamke tena mdogo sana, kufanya matukio ambayo yana lifanya jeshi la polisi kuoneka ni wazembe, akitolea mfano tukio la jana mahakani, CGP alisema “inawezakanaje, kwa mtuhumiwa aliepatikana na ushaidi wa wazi kabisa kushida kesi, inaonekana kunawenzetu washilikiana na warifu” aliongea CGP kwasauti ya ukari kidogo, kisha akatulia na kuwatazaa makamanda wake usoni, baadhi wakaonekana kutazama chini, wakijifanya kuandika andika kwenye vijitabu vyao, “maana katika report ya uchunguzi toka morogoro, imeonyesha ndani ya week hiyo moja huyu bwana anaejulikana kwajina la Carles Kijage ambae kwa sasa ni marehemu, alikuwepo mkoani humo akiongozana na gari hilo, ambalo lilikuwa linaendeshwa na dereva huyo huyo aliepata nalo hajari, ambae kwa sasa ni marehemu” aliendelea kuongea CGP akionyesha kuwa amekeleka sana na kitndo kile, haya sasa anakuja mtu form n were anatu saidia kuuwa mwalifu, maana anaona tumeshindwa kazi, sasa naagiza kitafutwe chanzo sahii cha mauwaji haya, na apatikane muuwaji mala moja” **** wakati huo insp Johnson mwenye kuvalia sale za kazi, alikuwa anasimamisha gari lake, nje ya nyumba ya mzee Soud, alipokelewa na watu wengi walijawa na furaha kwenye nyuso zao, wakionyesha kuwa walikuwa na taflija flani, kwani walikuwa wame kaa nje ya nyumba ya brigedia General mstaafu, chini ya vimvuli vya miti iliyo katiwa vizuri nakuonekana kama mapambo katika nyumbahii, kila watu wanne mpaka watano, walionekana kukaa kwenye viti na kuizunguka meza, huku mezani kukionekana vinywaji mbali mbali, kuanzia vinywaji laini, mpaka pombe, sahani za nyama choma, na ndizi za kuchoma zikionekana kwenye sahani juu ya meza hizo, huku alufu ya nyama hizo na ndizi, zikiendelea kusikika zikitokea jikoni nyuma ya nyumba ambako jiko kubwa lilionekana limefunikwa na mapaja ya mbuzi, “karibu mwanangu, karibu sana ujiunge na familia katika kuadhimisha miaka sitini na nne ya baba yenu” alikuwa mke wa mzee Soud ambae ndi alikuwa wakwanza kumwona Johnson, “sante sana mama, shikamoo” alisalimia Johnson, na wakati huo mzee Soud nae alikuwa anasogea pale alipo simama mke wake, na insp Johnson, “hoooo! bwana Masinde, karibu sana” aliongea mzee Soud ambae licha yakuwa leo ilikuwa ni siku muhimu kwake, ambayo akuwai kuwazia kabisa, akiongezewa na tukio la kuuwawa mfanyakazi wake wazamani, katika utumishi wa Jeshi la ulinzi, bwana Charles Kaijage, mzee Soud alionekana wazi kunyongea, ukweli akuwa na furaha kabisa, wakati huo alikuja binti mmoja akiwa na trey lenye grass nne, zenye vinywaji tofauti ndani yake, insp akachukuwa grass ya pombe kari, “asante mzee shikamoo” alssalimia insp kwa sauti kama ya mzee Soud iliyo jaa uzuni, marahaba kijana” aliitikia mzee Soud, kisha aamtazama mke wake, “samahani kidogo wacha sisi tuongee” hapo mke wamzee Soud akaondoka zake akiwaacha wakina mzee Soud na Johnson waki tembea taratibu kuli fwata gari la insp Johnson, grass za vinywaji vyao mkononi, “nimestuka sana kwa kilicho tokea jana” aliongea mzee soud, baada ya kulifikia gari la insp Johnson, na kuzunguka upande wa pili wa gari hilo, “hapo ndio naiona taswila ya baba, akiwa ametandikwa risasi” aliongea Johnson kisha akanywa funda moja la pombe kali kwenye grass, “hapa Johnson, huu sio wakati wa kukata tamaha, bado unayo nafasi ya kumlinda baba yako” aliongea mzee Soud, huku anamshika Johnson begani, “hipi tena mzee wangu?, nimejaribu naaskari sitini, ikawa kazi bule, nimeweka wapelelezi kila kona bado mauwaji yanaendelea, na mbaya zaidi, ata wapelelezi wenyewe nilio wategemea, wana uwawa kizembe kabisa, aliongea Johnson kwa sauti iliyo kata tamaha, “fwata maelezo ya mzee Nyati” aliongea mzee Soud, na Johnson aka inua uso wake kumtazama mzee huyu, “nitawezaje, ikiwa atakuniambia chanzo cha haya yote amekataa, atakubari kwenda kuongea kwenye vyombo vya habari?” aliuliza Johnson kisha akapiga funda moja la pombe kali, “nikuulize kitu Johnson, unazani utajiri wa baba yako nawenzake, unawenzake unaweza kuwa chanzo ya haya yote?” hapo Johnson akatoa macho kwa mshangao wa kiulizo, “hiyo ni kwaasilimia mia moja” alijibu Johnson, mzee Soud akatabasamu, “je uisha wai kujuwa chanzo cha utajiri wa baba yako?” aliuliza mzee Soud, akimtazama Johnson usoni, “yah! nafahamu, ni mchanganyiko wa hakiba ya fedha alizo kuwa analipwa kwa safari za nje, na zile alizolipwa baada ya kuacha kazi” alijibu Johnson kwa kujiamini, mzee Soud akacheka kidogo, kicheko cha mshangao, ambacho kilipingana na maneno ya Johnson, kicheko kilicho mshangaza Johnson, “si unazungumzia fedha alizo weza kuanzishia biashara anzo zifanya hivi sasa?” aliuiza Johnson kwa tahadhari, na mshangao, akijuwa kuwa lipo anlolijuwa mzee Soud, “sikia kijana, kwa miaka ya 1988, brigedia general alie staafu kwa umri, alilipwa laki nne, na kwasafai moja ya nje walilipa elfu themanini, na kwa safi ambazo walisafiri wao, , na ukizingatia walistaafu kabla ya muda, pengine mwenye malipo makubwa alikuwa baba yako kutokana na cheo alicho kuwa nacho hivyo alilipwa si zaidi ya elfu hamsini, wakichanganya mishara yao, ya miaka yote ya utumishi, wasinge weza kufikisha ata millioni mbili, fedha ambayo wenge weza kujenga nyumba yakawaida, au kununua gari moja tu!” Johnson aka duwaa, huku akiuona ukweli unamjia kichwani kwake, “kwahiyo mzee Soud unamaanisha kunakitu walikipata huko congo, nandio kilicho sababisha haya yote, nadio sababu ya wao kuacha kazi mala moja” aliongea Johnson huku akimtazama mzee Soud, na grass ya pombe ikiwa mkononi mwake, imebakia karibia robo tatu nzima, “nasiyo kuacha kazi tu, ila kuibuka majiri wa kutisha”  aliongea mzee Soud, kwa kulikoleza swala lile, “inawezekana ikawa ni kitu gani wali kipata huko, na kwanini Nyati, aliwakimbia wenzake?” aliuliza Johnson, akimtega mzee Soud, akizani kuwa mzee huyu anafahamu kila kitu, lakini anamficha, “na kwanini Nyati huyu huyu, alie watoroka wenzake, anataka kuwa uwa?”  aliongezea swali mzee Soud, Johnson akaduwaa, maana jibu lililo mjia ni kwamba “pengine alizurumiwa, nandio maana mpaka sasa maisha yake bado ni duni” aliongea Johnson, akivuta swila ya maisha ya mzee Nyati wenye nyumba ya udogo, mzee Soud akacheka kidogo, “umekosea, Nyati hayupo kama unavyo zani, Nyati nitajiri mkubwa sana, naweza kukuambia kuwa utajili wa baba yako pengine unaweza kuingia mala mia na zadi kwa utajiri wa bwana Nyati” aliongea mzee Soud na kumshangaza Johnson, akahisi huyu mzee amechanganyikiwa, lakini akaanza kuvuta picha ya mwonekano wa mke wa Nyati na mazingira ya kule shamba, akaona kuna utofauti mkubwa sana, pia akakumbuka jinsi walivyo toa million mbili kuchangia walemavu, alafu akakumbuka jinsi alivyo mwona Jackline akiwa na gari jingine, na mzee Nyati akiwa na gari jingine la gharama zaidi, hapo Johnson aka tikisa kichwa kukubari, “sasa anataka nini kwa wazee awa?, kama anafedha kiasi hicho?” aliuliza Johnson, “sidhani kama ujaelewa kuwa Nyati anatafuta roho zao tu!” aliongea mzee Soud Hassan akigeuka na kutazama kule waliko jaa watu, waliokuwa wanaendelea kupata vinywaji na nyama choma, akamwona mke wake anakuja na grass nyingine mbili mkononi, zikiwa na vinywaji, moja juice na nyingine pombe kali, Johnson aka igugumia ile pombe kari, mpaka ikaisha yote, kisha huku anakunja sura kwa ukari wa lile pombe, akapokea grass nyingine toka kwa mke wa mzee Soud, ambae baada ya kuwakabidhi vinywaji wawili awa, akaondoka zake, “kwahiyo mzee unanisaidiaje?” aliuliza Johnson, kisha akapeleka grass mdomoni mwake na kugonga funda moja kubwa, “kijana cha kukushauri hapoooo, endelea kumwekea ulinzi wa siri baba yako, huku ukijaribu kumshawishi afwate maelekezo ya Nyati, japo umesha chelewa” wakati huo huo simu ya insp Johnson ikaita, akaitoa mfukoni na kuangalia, "mama yangu, ni CCIDP” alionge Johnson huku anaigugumia ile grass ya pombe kali, na kuimaliza yote, kisha akamkabidhi mzee soud, “tutaonana zee wacha nielekee huko” aiongea Johnson huku anaingia kwenye gari nakupokea simu, huku analiwasha wagari lake, “ndiyo afande ...... nipo njiani nakuja afande, nidiyo afande, nimepata bahadi ya mambo yakayo tusaidia katika upelelezi” aliongea Johnson huku akiliondoa gari kwa speed kari sana, kiasi cha watu wote waliokuwa wanashrehekea birth day ya mzee Soud kushangaa, ****** saa limoja baadae Johnson alikuwa ndani ya ofisi ya Chif  CID Polisi, akita report yake na ushauri, na yeye akipewa jukumu kama lilivyo agizwa na CGP, report ya Johns oleo ilimflahisha sana mkuu huyu wakitengo cha upelelezi, ni baada ya Johnson kueleza mambo mengi sana na njia ya kumnasa muuwaji, Johnso akiwa amewonyesha video iliyo patikana kwe camela za usalama pale wajasiliamari, zilizo mwonyesha mwanamke anae shukiwa kuchukuwa uhai wa Busungu, akiwa natoka kutekeleza mauwaji ya mzee Kijage, pia alitumia nafasi hii kumtambulisha mzee Masinde, kuwa ni mmoja wawatu wanao takiwa kuuwawa, Johnson ambae aliona kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kumwokoa baba yake, akashauri kuwa mzee huyu ambae anakila dalili ya kuwa nimmoja wao awekewe ulinzi mkubwa na mkali, tena wasiri, ambao utasaidia kumkamata kila atakae kuwa anamfwatilia mzee huyu, “ndio maana najivunia sana kuwa na wewe mahali hapa” aliongea mkuu wa upelelezi, ambae alikuwa anamfahamu vyema mzee Masinde, sababu alishawai kukutananae mala kwa mala, na kumsaidia kwenye maswala yake ya kupindisha sheria, “ok! kibari kimetolewa chagua aina na idadi ya askari ambao utaona wafaha kufanya hivyo” aliongea CCIDP, akitegemea kusafisha jina lake baada ya kuanza kuchafuka, ***** naikawa hivyo, askari kumi wenye uwezo mkubwa wakimapigani, ambao walitumia gari na nguo za kiraia, kumfwatilia mzee Masinde kila sehemu, wakiwa na silaha aina ya smg, wakihifadhi kwenye magari mawili ya kiraia, waliyo kabidhiwa kwa kazi hiyo, na ndani ya nguo zao za kiraia, walikuwa wanavalia vazi maalumu la kuzuwia risasi, yani bullet proof, walimfwatilia mzee Masinde kila alipoenda, nakila alich fanya, huku wakigunduwa kuwa, mzee huyu anawalinzi, na mala zote alikuwa anapenda kunywa pombe kwenye bar za jirani na nyumbani kwake, akikamata mabinti warembo na kuwasogeza nyumbani kwake, ambako alienda kuwa ingizia dudu, licha ya kunduwa mahovu ya mze huyu, asa ya bishara yake ya uko baharini, lakini walifwata maelekezo yakuwa wasi mkamate mzee huyu juu ya makosa yake, ila wamtazame mtu anae mfwatilia mzee huyu, ndie anaestahili kukamatwa, lakini licha ya siku kuyoyoma hapakuwa na mafanikio wala dalili ya mafanikio, ***** nyumbani kwa Denis mambo yalikuwa yanazidi kupamba moto, mapenzi yake na mkewake Jackline ungesema wanakutana leo, siku zote walionyeshana mapenzi moto moto, huku wakianzisha ratiba ya kutoka kila juma moss, huku Denis akizidi kumnunulia mke wake nguo nzuri na mala chache akimshauri kwenda saloon kusuka nywele zake ambazo zilizidi kuwandefu na kupendeza, mtoto wao Johnson alikuwa amebakiza siku chache kutimiza mwaka mmoja nanusu, sasa alikuwa anatembea na kukimbia kabisa, huku akiendelea kumung’unya maneno, na kilicho mshangaza Denis, kitendo cha France kupenda sana michezo ya ngumi, juma moss moja, saa nane mchana, Denis akiwa na familia yake, ambao walipanga waende kutembea mjini, kisha kutafuta sehemu nzuri wa furahie siku, **** wakiwa ndani ya chumba cha mahabusu, cha kituo kikuu cha polisi, Denis na mke wake, alie fungwa minyololo mkononi na miguuni, Denis alimkatiza mke wake, “subiri kwanza mama France, nazani akija huyo Johnson hapa, anaweza kunifukuza, ebu chukuwa kabisa hivi vitu” aliongea Denis, kwa sauti ya chini sana, akimwambia mkewake, ambae siku zote alikuwa akimsifia wazi wazi, huyu mwanamke muuwaji, pasipo kujuwa ni mkewake, huku anaweka vinganja vyake kwenye viganja vya Jackline, kisha kwasiri kabisa, aka mkaabidhi kile kidude kama kishikizo, na kile kikaratasi kidogo kilicho fungwa, Jackline akavipokea huku akitazama kushoto na kulia, ambapo aliona Askari mmoja amewakazia macho, “ok! nieleze haraka haraka, jinsi ulivyo mpata huyu wameisho, maana France nae akichachamaa huko hapata kalika” aliongea Denis kisha Jackline aka tabasamu kidogo, “lakini usije ukanikimbia kwa uoga” aliongea Jackline kwa utani wote wakacheka, “nazani unakumbuka ile juzi, tulipofika mbezi tukakuta kunafoleni na msongamano wa magari, tukaamua tupitie kinyelezi” alikumbusha Jackline, Denis akaitikia kwa kichwa, kukubari kuwa anakumbuka, maana ilikuwa ni sikutatu tu! zimepita toka siku hiyo, basi ikawa kama bahati hivi, tulipo pata pancha pale kinyerezi mwisho” aliendelea kusimulia Jackline ******jumamosi hii mzee Masinde alikuwa ndani ya bar moja changamfu sana pale kinyerezi mwisho, akiwa pamoja na vijana wake wawili, akiendelea kupata kinywaji, sambamba na walinzi wwake hao, huku macho yake yakipepesa huku na huku kuona kama kuna uwezekani wa kupata mschana wa kwenda kulala nae, wakati huo huo, polisi kumi ambao walikuwepo kwenye eneo la bar hiyo, wachache wakiwepo ndani ya bar ile ile aliyopo mzee Masinde, na wengine walikuwa kwenye bar za jirani, wakitega macho na asikio kusikia au kuona lolote litakalo tokea kwa mzee masinde aku kumwona nyemelezi yoyote, mala likaonekana gari moja aina ya Toyota Noah liki simama pembei ya bar ile, akashuka kijana mmoja mtanashati na kuanza kukagua tairi, likionekna wazi kuwa lilikuwa lina pancha, mala akaonekana mschana mmoja mrembo sana akishuka toka kwenye lile gari, akiwa amemshika mkono mtoto anea jitembeza mwenyewe, na kuingia kwenye ile bar, macho ya wote yalielekea kwa mrembo huyo, yakiwemo macho ya mzee Masinde, “yes, leo nitafaidi” aliwaza mzee Masinde, ambae alikuwa amebakiza siku moja tu! kupeleka moyo wa binadamu aliemuuwa kwamkono wake, 


 Baada ya kugunduwa kuwa gari lake lime pata pancha, Denis aliegesha gari hilo karibu na bar moja, kubwa hapa kinyelezi mwisho, ambayo ilikuwa imechangamka sana, wakajadiliana na mke wake kuwa watulie mahali hapo, wakati wanafanya utaratibu wakupata mafundi wa uziba pancha, kisha waendelee na safari yao, ndipo Jackline na France wakaingia ndani ya bar hiyo, na Denis akaanza kutafuta sehmu walipo mafundi wa pancha, **** huku ndani ya bar Jackline ambae aliyavuta macho ya wanaume wengi sana mle ndani, alijiwa na mhudumu akaagiza soda mbili, moja ikiwa ni ya kwake na nyingine yam wane France, aikuchukuwa muda mrefu soda zikaletwa, Jackline na mwanae ambae sasa alikuwa na umri wa mwaka mmoja na miezi sita, wakaanza kunywa soda zao, “samaha ni dada, habari za leo” ilisikia sauti ya kiume pembeni ya Jackline, ambae kabla ya kujibu salamu hiyo, aliinua uso wake na kumtazama msalimiaji, alikuwa ni kijana mmoja aliejengeka kimisuri, na kuvalia nguo nyeusi, suluali ya jinsi na tishet, akimalizia viatu vyeusi na miwani nyeusi, “safi” aliitikia Jackline kwa kifupi, akiwa bao anamtazama yule kijana, ni kama alikuwa anamwambia sema shida yako, “samahani mrembo kuna mtu anaitaji ukaribie kwenye meza yake” alisema yule kijana kwa sauti yachini na yakunong’ona, akibonyea kidogo karibu nasikio la Jackline, hapo Jackline akaachia kicheko cha mguno, “naonekana kama kahaba?” aliuliza Jackline huku akiachia tabasamu ambalo Denis mume wake, akuwai kuliona ata sikumoja, nitabasamu ambalo watu wachache waeliona na kubakia wazima, “hapana dada yangu, ni boss wangu amevuti wa na wewe, ila kwa faidi yako, ni kwamba anafedha nyingi sana, atamaliza matatizo yako japo siyo mtu maalufu” aliongea yule kijana alie tumwa na mzee Masinde, akiagizwa kuwa lazima aakikishe anaenda na yule mwanamke, kwenye meza ya mzee Masinde, hapo Jackline alitulia kidogo akijitaidi kujizuwia hasira zake, maana akupenda kuchukuliwa kama mwanamke wa ovyo, “sidhani kama hupo sahii kaka yangu, sababu siyo matatizo yote yana malizwa kwa njia hiyo” aliongea Jackline, kwa sauti ya upole, akijitaidi kuzuwia hasira zake, “sikia dada japo ungeenda kumsikiliza pengine ungemwelewa mtu mwenyewe yupo fresh tu, anaga tatizo na mtu, si unamwona” aliongea yule kijana huku akitazma upande aliokaa mzee Masinde, Jackline nae akatazama, upande ule, macho yake yakakutana na machoya mzee Masinde ambae aliachia tabasamu na kupunga mkono, ghafla kengere ya tahadhri ikagonga kichwani kwa Jackline Nyati, ambae aliinua mkono kumpungia mzee Masinde, huku akijaribu kuvuta picha alimwona wapi, “anaitwa mzee nani?, pengine nilisha wai kumwona” aliuliza Jackline, anaitwa mzee Masinde anakaa hapo chini tu, ng’ambo ya barabara” alijibu kijana mlinzi wa mzee Masinde, Jackline akatabasamu, yule mlinzi akajuwa kuwa, Jackline amesha ingia mazima, kwa mzee Masinde, “unaweza kusogea kwenda kumsalimia” alisema yule kijana, na hapo Jackline akatazama nje ya ukumbi ule wa bar, sehemu lilipo kuwepo gari lao, akamwona Denis akiwa na mafundi wana fungua tayre la gari, lililo pata pancha, “ok! nakuja” alisema Jacklinekisha yule jamaa akaondoka zake kurudi alipokuwa mzee Masinde, mala moja Jackline akatoa simu yake na kuandika ujumbe kwa baba yake, ‘nahisi nimekutana na mzee Masinde’ baada ya kuituma akasubiri jibu, wakati huo akamwona Denis na mafundi wawili wa pancha wakimalizia kupandisha jerck na kuanza kufungua tayre, mala ukaingia ujumbe kwenye simu ya Jackline, akaufungua na kuusoma, ‘kama unauakika maliza kazi’ ilikuwa inatoka kwa baba yake, Jackline aka iweka simu yake kwenye mfuko wa suluali yake iliyo mkaa vyema kabisa, kisha akaiuka, “France nisubir nakuja” alisema Jackline, akimchezea mashavu France aliekuwa ametulia akigugumia soda, Jackline akaelekea kwenyemeza ya mzee Masinde “hoooo! karibu mrembo, karibu sana” alisema mzee Masinde huku anasimama na kumpamkono Jackline alie kuwa anatabasamu muda wote, na kufanya mzee Masinde azidi kuchanga nyikiwa, “naitwa David Masinde sijuwi mrembo unaitwa nani?” alijitmbulisha mzee Masinde kwa mbwe mbwe za hali ya juu, sana maa baada ya Jackline kukaa kwenye kiti alicho andaliwa, “niite mama Jack, inatosha” aliongea Jackline kwa sauti ya uturivu akijifanya kama anakaaibu flani kakike, “ok! Jack, agiza kinywaji, na chochote utachokiona kita kufurahisha, tuendelee na maongezi” alisema mzee Masinde, kwa sauti iliyo changamshwa na kinywaji, “samahani mzee wangu, leo nimekuja na mume wangu, kama huto jali tupange kesho muda wowote tukutane” alisema Jackline kwa sauti tulivu ya kubembeleza ambayo ilimwingia vyema mzee huyu, “kesho jioni nitakuwa na kazi muhimu sana, ila akuna ubaya, chukuwa hii namba yasimu, kesho tukutane kwenye hotel moja hivi, inaitwa paradise tower, ubungo river side” alisema mzee Masinde huku ana mkabidhi Jackline kijikaratasi kilicho andikwa kwa mashine (au computer) David Johnso Masinde, ikifwatiwa na anuani, na namba za simu, “ok! asante nitakutafuta, hiyo kesho mchana” aliongea Jackline huku anainukanakuweka kile kicard mfukoni, “usipuuze mrembo, nita yabadirisha maisha yako, jitaidi uwai mchana, maana jioni nitakuwa na kikao, na wafanya biashara wenzangu” alisisitiza mzee Masinde, huku akimtazama Jackline usoni, ambae alikuwa anatabasamu, “siwezi kukosa, maana nisiku muhimu sana kwangu, naimani ata kwako pia, itabadiri historia yako” maneno ya Jackline yali usisimua mwili wa mzee huyu, ambae alitamani iwe leo, maana alijuwa kuwa kitu anacho enda kuptakesho siyo kama anacho kipataga kwa wanawake wengine, hapo aliduwaa akimtazama Jackline akirudi kwenye meza yake, “ok, Ngwenje mpigie Ngwema muulize waakikishe kuwa wana kamilisha zoezi mapema maana ule mzigo unaitajika kesho usiku” aliongea mzee Masinde, ambae slisha watuma bahadhi ya vijana wake, wa tafute mwanamke ane jiuza, au kijana mtumiaji wa madawa ya kulevya (teja) kwa ajili ya kuchukuwa moyo wake, nakuupeleka kwa mganga, ambaapo zoezi hilo walipanga wakalifanyie hapo Paradise Tower, ambapo wange, angeingia huyo mtu anae takiwa kuuwawa, na kisha wamuuwe humo ndni baada kumkoleza kilevi, na mwisho wake, waondoke usiku kuelekea kongowe, wakiwa na moyo, hapo Kijana Ngwenye akachukuwa simu yake na kupiga kule aliko agizwa na mzee Masinde, ambae sasa alikuwa anatazama huku na huku, kukaguwa wahudumu wa kike na wanawake waliomo mle ndani, kama ange mwona atakae mfaha sikuile, alipo tazama meza ya Jackline, alimwona akiwa amekaa na mwaume mmoja ambae sura yake ilifanana na yule mtoto alekuwa na Jack toka mwanzo, “shauri zako kijana, utaibiwa na ukiwa kikwazo uta uwawa pia” aliwaaza mzee Masinde akimtazama yule kijana, ambae alihisi kuwa atakuwa ndie mume wa yule dada mrembo, “mzee mambo yanaenda vizuri, mpaka sasa wanauakika wa kumpata mwanamke, ambae wae weka miadi ya kukutana kesho jioni” alisema Ngwenje, kwa sauti ya chini, huku akiweka simu yake mfukoni, hapo nzee Masinde akatabasamu, na kutazama upande wa counter, “unamwona yule binti, anae chuwa vinywaji” mzee Masinde akamwuliza Ngwenje, “yule mweusi?” aliuliza Ngwenje huku ana tazama kule counter, “huyo huyo, nenda akaongee nae kisha lipa kwa manage, alafu mchague wakwenu tubadilishe kijiwe” alisema mzee Masinde, na Ngwenje akainuka malamoja, akiwaacha mzee Masinde na mlinzi mmoja, ***** “malizeni tusepe, au tuna malizia hapa hapa” aliuliza Denis ambae akuwa na kinywaji chochote mkononi, “hapa siyo pazuri, bola twende karibu na nyumbani, ila tupitie ubungo, uwe unanielekeza mitaa” alishauri Jackline, huku wakiinuka, Jackline akiachia soda yake robo ya chupa, kwa upande wa France akuwa na uwezo wa kuimaliza soda ile, akaiacha nusu kabisa, wakaingia kwenye gari hukuwakisindikizwa na macho ya wadau wa misambwanda, kisha hao wakaondoka zao kuifwata barabara iendayo segerea, **** polisi waliopo ndani ya bar ile  ambao walikuwepo pale kwa lengo la kufwatilia nyeneno zote za mzee Masinde, wakitazama mtu yoyote atakae onekana akifwatilia mzee huyu, na huo ulikuwa ni mpango wa jeshi la polisi unao simamiwa na insp Johnson, kwa leno la kukamata muuwaji, ambae walikuwa na uakika kuwa lazima muuwaji ataitaji kuchomoa roho ya mzee Masinde, polisi walishuhudia kila atuwa ya tukio la mzee Masinde kumwita Jackline na kuongea nae kwa muda mfupi, kisha wakaonekana kama wakipeana ahadi na kuachana, polisi wale awakumtilia mashaka Jackline, zaidi wali sifia ujinga, “huyu mzee anakula raha sana, ebu kama yule demu alie mwita mida ile, ni mkali kinyama” alisema polisi mmoja kati ya wawili, waliokuwa kwenye meza moja mle ndani ya bar,meza ya tatu toka kwenye meza ya mzee Masinde, “mh! mwanangu ni noma sana, yani demu yupo na mume wake hapahapa, anatongozwa na kukubari” aliongea yule polisi wapili, na wote wakacheka kidogo, “lakini yule demu ni mkali kinoma” liongea polisi wa kwanza, wakati huo polizi wote waliokuwepo eneo lile waliendelea kumtazma mzee Masinde, ambae nusu saa baadae alionekana akiondoka yeye na walinzi wake na kila mmoja wao akiwa na mwanamke, polisi nao wakaliunga, kumfwata mzee Masinde ambae aliamia bara nyingine, iliyopo mtaa wapili, **** insp Johnson jumamoss hii alikuwa nyumbani kwake pamoja na familia yake, ilishapita mezi mitatu toka tukio la kuuwawa kwa mzee Kajange na Pc Busungu, litokee, ni kama hali ilikuwa imetulia hivi, maana ata raia na vyombo vya habari, sasa awakuongelea sana matukio yanayo fanywa na muuwaji, anaesemekana kuwa ni mwanamke, hivyo insp Kajikuta akiondokewa na wasi wasi akiamini kuwa, polisi kumi wanao mfwatilia baba yake, ni ulinzi tosha kabisa kwa baba yake, japo muda wote alijitaidi kuwasiliana na wale polisi, asa mida ya jioni, ambapo wale polisi, walikuwa wanamjulisha kila kinacho endelea, kuhusu mzee Masinde, ***** huku nako Denis alipita bara bara ya tabata segerea, akitokea barabara ya mandera, nakuelekea ubungo, njia nzima Denis alikuwa akimwelekeza mke wake, mitaa na majina ya sehemu walizopita, ata walipofika maeneo ya river side, Denis aliendelea kumwelekeza mke wake maeneo, “ukisikia river side ndiyo hapa, ni umbali mdogo toka makutano ya barabara ya mandera na morogoro, (ubungo mataa)” alieleza Denis na huku mke wake akiwa ana pepesa macho kutazama pande zote za barabara, kama vile alikuwa na shahuku kubwa ya kuifahamu vizuri sehemu hii, “hapa kama napakumbuka hivi” aliongea Jackline, akiendelea kupepesa macho, “au ulisha waikuingia pale Paradise Tower, aliongea Denis kwa utani, huku anaonyeesha upande wa kushoto wa barabara, wote wakacheka, “labda tulikuja wote” alisema Jackline huku ana tazama upande ule, alionyesha Denis, akaliona jengo refu lenye gholofa nane, lililo andikwa Paradise Tower, hapo Jackline akatazma upande wa pili, akaona jengo jingine kama lile lililo andikwa #MBOGO PLAZA, Hivi lile kula nalo lina bar, aliulliza Jackline huku akilitazama jengo la #MBOGO PLAZA, ambalo sasa walikuwa wameshanza kuliacha, “he! yani mtaa huu umejaa mabar na maguest, aliongea Denis na wote wakaachia kichekeo, huku wana zidi kuyoyoma kuelekea ubungo mataa, “baba France mi naona tuka dudue wine tukanywe nyumbani” alishauri Jackline  na Denis akaunga mkono, 


 Akijuwa kuwa siku ambayo mke wake anakuwa amekunywa wine, kazi uwa ni moja tu, kuingiziana dudu, kwakuwa siku inayo fwata ilikuwa ni juma pili, basi Denis akuwa na wasi wasi, safari ikaendelea huku Jackline akichukuwa simu yake na kuanza kuichezea chezea, ****** Michael Frances Nyati alikuwa ndani ya sebule yake pamoja na mke akipokea maelezo toka kwa mwanae Jackline, huku akitazama kwenye Pad yeke kubwa mezani, akifwatilia ramani ya sehemu aliyo elekezwa, na mwanae kwamba kesho anamiadi na mzee Masinde, Nyati aliipata ubungo na kushuka mpaka river side, alafu aka itatazama hotel kubwa ya paradise tower, akalitazama vizuri kabisa kisha aka ingia kwenye page ya kibiashar ya hotel hiyo, na kuanza kutazama jinsi lilivyo, naye akawa anampa maelezo mwanae, ‘mazingira ni magumu sana, sababu katika jengo hilo, guest hipo kuanzia ghorofa ya sita, na mbaya zaidi ime zunguka pande zote, na upande wa nyuma wa jengo hilo akuna nyumba kubwa ambayo unaweza kuifanya kama sniper post’ mzee Nyati alimweleza mwanae, ‘nikimkosa upande wa barabarani nita mfwata ndani, nataka nimalize kazi ili niishi vizuri na familia yangu’ alijibu JACKLINE, ‘ok! jiandae kisawa sawa, maana nahisi jengo hilo litakuwa na ulinzi mkali sana, ila kwa dharula yoyote, madirisha hayana nondo’ alimaliza mzee Nyati, saa mbili usiku insp alikuwa anatazama taalif ya habari kwenye Television ya taifa, akiwa nyumbani kwake, mala akasikia simu yake ya mkononi ikinaita, akaichukuwa toka mezani huku akipunguza sauti ya Tv kwa remote aliyo ishika mkono wa kushoto, “hallow, Koplo Mashiba, habari za jioni” alisalimia insp Johnson baada ya kupokea simu, “huku safi tu afande, mambo yanaenda vizuri, wote tupo salama, na target yetu pia hipo salama” alisikika mtu wa upande wapili, “ok! kwa sasa mpo uelekeo gani?” aliuliza insp Johnson, “afane kwa sasa tupo karibu kabisa na nyumba ya mzee Masinde ambae amengia ndani na rafiki zake wawili, wakiwa na wanawake waliowachukuwa pale bar, niwahudumu, nazani wanaenda kujiburudisha kama ilivyo kuwa jana nasiku zote zilizo pita” alieleza mmoja wa askari kati ya wale wanao fwatilia nyenendo za mzee Masinde, “ok! Mashiba kama vipi nyie mnaweza kwenda kupumzika, ila kesho mapema muwe hapo, kwaajili ya kuendelea kumfwatilia huyo mzee, kama kawaida endapo kutatokea tatizo lolote au utofauti mnijulishe haraka’ alisema insp na kukata simu, kisha akaongeza sauti ya TV  nyumbani kwa Denis mambo yalikuwa ni moto, France alikuwa amesha lala, Denis alikuwa amevalia bukta fupi, bila nguo ya ndani na Jackline pia alikuwa amevalia chupi peke yake, pasipo nguo yoyote, huku wakiwa na kila dariri yakulewa sana, maana makopo ya bia yalikuwa ayame tapatapakaa mezani mengi yake yakionekana tupu, pia chupa ya wine nayo ikiwa ina karibia kuisha, “alafu hiyo minywele kesho uipeleke saloon,” aliongea Denis akichezea nywele za mke wake, ambae alicheka kidogo na kujilaza kifuani kwa mume wake na kufinya chuchu za kiume, “yani umeniwai nilitaka ni kuambie  hivyo hivyo” alisema Jackline, ambae sasa alikuwa anashusha mkono wake, kwenye bukta ya Denis na kushika dudu, ambayo ilijaa mkononi, ikiwa tayari kuingia kwenye shimo lake, Jackline akaichezea kidogo, wakati huo Denis akapeleka mkono kwenye maziwa ya Jackline, ambayo licha ya kunyonyesha lakini yalikuwa bado yame simama vyema, “hivi Denis kama ukipata fedha nyingi, hupo tayari kubadirisha kazi?” aliuliza Jackline, huku akiendelea kuchezea dudu ya mumume wake, “kwanini nisikubari, alafu Jack, unajuwa kunakitu uwa una nishangaza sana, yani licha ya kutokea kijijini, lakini unaonekana mwanamke mrembo, ata bila kupaka mafuta, pia unauelewa wa haraka sana, kama msomi wa chuo kikuu cha  uingeleza” hapo Jackline akatabasamu kidogo, “kwani vijijini awasomi?” alijibu Jakline huku akiendelea kuchezea dudu ya Denis, nakusikilizia mikono ya Denis ikiendelea kuchezea maziwa yake, “hahahahahaha! hapo ume nijibu kisomi zaidi” saliongea Denis huku akijicheka, “eti baba France, sasa utajisikiaje kama ukijuwa nina helimu kubwa kidogo” alimuliza , “kama?” aliuliza Denis huku michezo ikiendelea, “kama form six hivi au...” alijibu Jackline, akiwa bado amejilaza kifuani kwa DENIS, akiendelea kuchezea dudu, huku mala moja moja akiiweka mdomoni na kuinyonya kama ice creem, “nitafurahi tu, !  najuwa nikipata fedha nyingi nakufungulia biashara au ofisi yoyote” alisema Denis, huku akionyesha wazi kusisimka kwa kitendo cha Jackline, kunyonya dudu, ***** mipango ya kumnasa kahaba iliyo kuwa inasimamiwa na bwana Ngwema ilikuwa inaendelea, siku hiyo kahaba huyo, alikuwa anamburudisha Ngwema mwenyewe, ikiwa ni njia pekee ya kumdhibiti, na kuwa karibu na huyo mwanamke, mpaka kesho watakapo mtoa roho, ili moyo wake upelekwe kwa mganga, kwa ajili ya kummaliza mzee Nyati, taarifa zote zilikuwa zina enda kwa mzee Masinde, ambae alikuwa nyumbani kwake, akiendelea kunywa pombe na vijana wake, huku kila mmoja akiwa na mwanamke, ambae ange lalanae usiku kucha, wakati huo mzee huyo, alikuwa akimaliza makubarianao na mange wa hotel, kwa njia yasimu, akiaidi kutoa milioni moja kwaajili ta kumalizia shughuli zake, kwenye hotel ya paradise Tower, pasipo bughudha yoyote, na ata wakati wanauondoa mwili wa jkahaba wasiweze kusumbuliwa na walizi, wa hotel hile, ni kweli maagizo yalitolewa hotelini hapo, akuna kusumbuliwa mgeni yoyote wa mzee Masinde, atakae ingia hotelini hapo siku yakesho, **** saa sita za usiku, Deins alikuwa hoi bin tahabani, alisha shusha wazungu mala mbili, kwenye kitumbua cha mke wake, na kupitiwa na usingizi pale pale juu ya kochi walilo litumia kuingiziana dudu, hapo Jackline aka tumia muda huo kuandaa zana zake za kazi, atakayo ifanya kesho, aliandaa silaha yake yakudungulia, aina ya mugnum siper rifle, bastora yake aina ya mic gurlily moder 99, toka England, yenye uzingo wa mm 5.5  pia kamba na kisu chake cha kijeshi, alipo maliza aka viweka vizuri na kuingiza kwenye begi jeusi, alafu aka chukuwa viatu vilefu (buti) vyeusi na nguo, yani suluali nyeusi na tishet nyeusi, na vyo akaviweka kwenye begi lake jeusi, kisha akatoka navyo nje, na kuviweka kwenye banda la kuifadhia gari, ambalo ni mala chache sana, utumika kulaza garikuingiza gari lenyewe, akarudi sebuleni na na kujilaza kifuani kwa mume wake, **** siku ya pili ilikuwa ni jumapili, siku ambayo mambo yalikuwa mchaka mchaka, insp Johnson aliamka mapema pamoja na familia yake, kuelekea kanisani, saa mbili na nusu nyumbani kwa Denis wakwanza kuamka alikuwa ni France, ambae aliamka mapema na kutazama kwenye kitanda cha wazazi wake akuwaona, akatoka na kuelekea sbuleni akawakuta wakiwa wamelala juu yakochi, akawastua, wakwanza kuamka alikuwa ni Denis, akamwasha mke wae, Jackline nae aliamka na kunza  kuandaa kifungua kinywa, ambacho kilikuwa ni supu ya ng’ombe na mboga mboga, ambazo uwa zina msaidia sana mume wake, kuondoa hang over, baada ya hapo akawakaribusha mezani na kuanza kupata kifungua kinywa, huku nako, mzee masinde, aliamka saa nne, akiamshwa na dada mhudumu wa bar, alie lala nae, akampatia kiasi cha fedha, kisha yule dada akaungana na wenzake, ambao walisha pata malipo yao, wakaondoka zao, kisha mipango ikaanza, huku wakina Ngwema wakisema kuwa wapo tayari na mzigo, yani yule mwanamke kahaba, ambae akujuwa inachotaka kumtokea  siku hile, mzee Masinde huku akikumbuka ahadi yake na mrembo, aliye jitambulisha kama Jackline, akawaeleza wakina Ngwema kuwa, wamlete kahaba pale hotelini mida ya saa kumi, kwani tayari atakuwa amemaliza na yule mrembo jackline, **** saa sita mchana ndio mda ambao Jackline au mama France, alikuwa amemaliza kupika na kujiandaa, kisha akamuaga mume wake kuwa anaenda kusuka mnywelezake kama livyo shauriwa na baba France, aikuwa shida kwake sababu chakula kilikuwa kwenye mahot pot mezani, na siku zote Denis akiwa nyumbani basi France ucheza na baba yake, hapo Jackline alitoka na kuzunguka kwenye banda la gari, akachukuwa begi lake jeusi, kisha huyooooo, akaondoka zake, chakwanz kabisa alipitia saloon ambako alipoteza kama lisaa na nusu, akisukwa nywelezake, kisha akapanda daladala na kuelekea mjini, huku anachukuwa simu yake na kumpigia mzee Msinde, akitumia namba ya kwenye, card aliyopewa jana yake, “hallow, huko wapi?” aliluliza Jackline kwa sauti nyembamba iliyo legea kimahaba, “hooo ni yule mrembo wa jana?” iliuliza sauti upande wapili, “jamani inamaana jana tu! umeshanisahau?” aliongea Jackline kwa kulalamika kimahaba, “hapana mama, nilijuwa utanidanganya, mimi naelekea  hotelini, vipi wewe hupo wapi?” aliuliza mzee Masinde kwa sauti iliyo jaa, huchu wa hajabu, “nipo kimara nakuja, ukifika niambie ni chumba namba ngapi” alisema Jackline, kwa pozi lile lile, “ok kuhusu chumba namba ngapi niachie mimi, wewe ukifika mapokezi mwambie ni mgeni wa mzee Masinde” hapo Jackline akakunja sura kwa Hasira, kisha aka jibu kwa sauti ile ile nyololo, “sawa baba, nitaingia muda siyo mrefu” kisha akakata simu, akampigia baba yake mzee Nyati, na kumweleza kuwa, mpaka sasa chumba ajakijuwa, “sasa unafanyaje?” aliuliza mzee Nyati, “plan B, naingia chumbani naenda kumaliza huko huko” alijibu Jackline, pasipo mtu yoyote mle ndani kuelewa anacho ongea, “ok! Jack nakutakia kazi njema, lolote nijulishe, pia kumbuka kuwa huyo bwana, alikuwa mwanajeshi” Jackline alimaliza kuongea na baba yake, ***** saa tisa alahasiri, insp Jonson alikuwa sebuleni nyumbani kwake akitazama television, huku ana jipatia bia yake ya baridi kabisa, mala simu yake ya mkononi ikaita, akaitazama, alikuwa ni koplo Mashiba, akaipokea huku mapigo yake ya moyo yakimwenda mbio, “kuna nini Mashiba?” aliuliza insp kwa shahuku, “afande naona leo huyu mzee ameamua kubadiri viwanja, amekuja Paradise Tower, huku mitaa ya ubungo” alisema Koplo Mashiba, akionyesha kuitaji kauri ya afande wake kama ata aamua kuwaondoa wakapumzike, wamwache mzee Mainde ale raha zake, “mmejaribu kufwatilia amekuja kufanya nini hapo hotelini?” aliuliza Johnson ambae alisha juwa lengo la Koplo Mashiba, ambae alisha choka kumfwatilia mzee Masinde, pasipo mafanikio, na kuishia kushuhudia jinsi mzee huyu anavyo kula raha, “tumeona akiingia na vijana wake wawili, kwenye chumba namba 40, ghorofa ya sita, na pia kama anawasiliana na mtu flani ambae ni kama anamiadi nae mahali hapa” alisema Mashiba kisha Jonson aka toa maelekezo yake, “ebu subirinii mpaka muwone huyo mgeni wake kisha mnijulishe ni waain gani, alafu ndio tutajuwa kama mka pumzike au mbaki nae” aliongea Johnson kisha akakata simu, nusu saa baadae saa kumi kasoro, ikapigwa simu nyingine, toka kwa koplo Mashiba, “niambie mmesha mwona mgeni wake, ni vijana wengine wawili wameingia, wakiongozana na mwanmke mmoja alielewa sana” alieleza Kopolo Mashiba, “yupo je huyo mwanamke” aliuliza insp kwa mtuko kubwa, alioupata baada yakusikia ni mwanamke, “ni mwembamba hivi mweusi, ana vywele fupi zilizo simama, anaonekana kama kahba kwa kinguo kifupi alicho kiva” maelezo hayo ylimfanya insp kushusha kidogo pumzi, “ok! endeleeni kukaa hapo kwa nusu saa tena” alisema insp kisha akakata simu, kisha akaendelea kutazama television, wakati huo akaingia wanae Betrice wakajiunga pamoja kutazama television, huku masala na majibu yakaanza, ikatimia nusu saa nyingine, kimya zikaongezeka dakika kumi ndipo insp Johnson alipo amua kupiga simu yeye mwenyewe, ikapokelewa na koplo Mashiba, “smahani afande nimecelewa kukupigia simu sababu, Pc Ngaga, aliekuwa anachunguza karibu na mapokezi, alituambia kuwa kunamtu mwingine alikuwa ni mgeni wa mzee Masinde, tulipo enda kumtazama tumegundua kuwa ni mshana mmoja hivi tulimwona nae jana, nazani waliweka ahadi ya kukutana hapa, maana tuliona wakipeana namba za simu, lakini wakati huo huo tumegundua maongezi tofauti kwa wale vijana, walikuwa wanazungumzia kazi watakayo ifanya usiku ndani ya hotel hiyo, ndio tuka pata hamu ya kufwatili hiyo kazi” alisema Mashiba, kwa sauti ya chini sana, akionyesha kuwa akuitaji watu waliokuwa pembeni yake, “mashiba, usiangaike na hiyo kazi ya mzee Masinde, atakama ni kibaya vipi, kikubwa niambie huyo mwanamke alieingia kwa mzee Masinde” aliongea Johnson huku anainuka kwenye kochi nakutoka nje ya nyumba yeke, akimwacha mwanae Beatice akiwa sebuleni, “nimekuelewa boss, ila huyo mwanamke nazani anaenda kumburudisha mzee Masinde, sababu mwonekano wake siyo wa kibiashara, ila ni mzuri sana sijawai kuona” alisifia Mashiba, na kumfanya Johnson ashuke kidogo, “Mashiba nasma nieleze huyo mwanamke yupoje” alisema insp Johnson, safari hii kwasauti kubwa ya ukari, “sawa afande, ni mrefu kiasi mweupe kidogo, ana wowo kubwa kiasi, amevaa gauni refu kichwani amejifunika mtandio, alafu amebeba begi dogo jeusi...” hapo Johnson, ata alivyo fika ndani ya chumba chake akuelewa kwajinsi alivyo timua mbio, “Mashiba akikisheni mnazunguka hicho chumba na huyo mwanamke atoki  humo ndani, mama yangu, Mashiba  ebu! pandeni haraka juu akikisheni huyo mwanamke hatoki humo ndani, nimuuwaji tunae mtafuta, endelea kunijulisha kila kinachoendela” aliongea Johnson huku anabadiri nguo zake, na kuvaa nguo za kipolisi, bila kusahau vazi la kuzuwia risasi, na bastora yake, akalitumia dakika chache sana, kubadiri nguo zake, kisha akaanza kumpigia simu baba yake, lakini simu ilikuwa busy, sababu alisha bloack siku nyingi zilizo pita, hapo Johnson akapiga simu kituo kikuu, akitaka askari wote waliopo mahali pale wachukuwe, silaha kubwa za kivita, yani smg na wapewe mavazi mahalumu ya kuzuwia risasi, alafu baada ya hapo akafanya hivyo, kwa vituo vyote vya karibu kuanzia buguruni kimara ubungo, na mwenge, bila kusahau magomeni, na kawe, wote waka elekee river side, haraka sana, wakiwa na siraha aina ya smg, ***** kiukweli muda huo Jackline ndiyo alikuwa ameingia ndani ya chumba na 40, alicho elekezwa na mhudumu wa mapokezi, baada ya kujitambulisha kuwa ni mgeni wa mzee Masinde, hapo Jackline, akiwa amevalia gauni lake refu, na kichwani ame jitanda mtandio, ambao kwa kihasi kikubwa ulikuwa umeficha sura yake, mbele ya kamera za usalama za mle ndani ya hotel, ndani ya kile chumba cha kifahari cha hotel hile, chenye chumba na sebule yenye kila kitu, cha thamani, aliwakuta watu watano pale sebuleni, wanaume wanne na mwanake mmoja alie onekana kuwa amelewa sana mpaka anashindwa kujitambua, tena alikuwa amelala sakafuni, pembeni yake kulikuwa na mfuko mkubwa sana wa plastiki, mweusi, “samahani wakina kaka, naomba kumwona mzee Masinde” aliongea Jackline, ambae aliwatambua wale vijana wawili, waliokuwepo jana kule kinyelzi, lakini Jackline akajifanya kuwaogopa wale vijana wavuta sigara, ambao walikuwa wanashambulia pombe kali zilizo jaa mezani, “hooo! mrembo wajana, nenda ka mburudishe mzee” aliongea kijana wakwanza, “lakini Anglia, usimchoshe sana mzee anakazi nyingine” waliongea wale vijana walio oneka kulewa sana, nakuangua kicheko, hapo Jackline akijifanya kutetemeka sana, akausogelea mlango wa chumba, na kukagonga, huku akitazama kwa umakini, eneo lile la sebule, na kuwa kagua wale vijana, naam! kwakutumia hakili ya hali ya juu, Jackline aligundua kuwa, chini ya meza iliyo jaa vinywaji, kulikuwa na visu viwili vikari, na kikubwa sana, kama panga, pia kulikuwa na kamba kubwa kama hile ya kufungia ng’ombe, mala mlango ukafunguliwa, “hooo! karibu mrembo, usiwaogope hawa ni vijana wangu, wapo hapa kwa kazi mahalumu” aliongea mzee Masinde kwa sauti iliyo zidiwa na ulevi, huku akimvutia Jackline ndani ya chumba, nakuufunga mlango, Jackline akaenda kukaa kwenye kitanda huku akiuweka  mkoba wake chini, akamtazama mzee Masinde, ambae alikuwa anavuwa viatu vyake kwa pupa, na kufwatia suluali yake ambayo aliishusha  kwa kuikusanya na chupi yake mpaka magotini, akiiacha dudu yake ina ning’inia, akaisogeza karibu na mdomo wa Jackline, akimtaka ainyonye, hapo Jackline akaingiza mkono kwenye mkoba huku anamtazama mzee Masinde usoni, mzee Masinde akastuka sana, nibaada ya kuliona tabasamu la huyu mwanamke, na kushindwa kutambua kama amekasirika au anafurahi, ile anatahamaki, alistuka mkono mmoja wayule mschana mrembo, ukija mdomoni mwake na kumziba haraka sana, akajuwa leo ameingia mikonoini kwa mwanamke muuwaji alietumwana mzee Nyati, akajaribu kuutoa mkono huli mdomono mwake, lakini akashangaa kumwona yule mwanamke mwenye mikono ynguvu, akimzunguka haraka kama umeme, na kumkaba shingo huku kiganja kime mziba mdomo, akishindwa kupiga kelele, hukumkono mwingine ukiwa umeshikilia kisu ambacho bila kuuliza alikitambua mala moja maana mala y mwisho alikitumia mwaka 1988, akiwa mchini congo,***** insp Johnson akiwa ameungana na msafara wa magai kumi ya plisi aina ya one ten, yaliyo sheheni askari walio kuwa kimapigano, wakielekea ubungo river side, huku akisistiza mwendo mkari sana, ving’ora vilisaidia kwa magari mengine kupisha njia, na kuwasaidia wao wakachochora kwamwendo mkali sana, hiyo iliwafanya watumia mda mfupi sana kufika ubungo mataa wakiungana na polisi wavituo vya mbezi, kimara na mwenge, huku kawe wakiwa wana sikika kwambali kidogo, wakakunja kushoto na kutililikia river side, kwambali wakaanza kuona, jengo la Paradise Tower, huku wakionekana polisi wa kituo cha buguruni wakiizunguka hotel hiyo, “leo huchomoki” alisema insp Johnso ambae alionekana kuwa na kuwa na hasira zilizo changanyika na wasi wasi wa kumpoteza baba yake, 


  Huku nako mzee Masinde, akaanza kujipapatua, toka kwenye kiminyo cha mwanamke mrembo, ambae sasa alimwona kama Israel mtoa roho, akiamni kuwa angeweza kujiokoa, lakini wapi, ndio kwanza akaona mwanamke huyu, akikaza mkono na kumminya zaidi, mala akahisi kitu kikali sana, misiri ya wembe, kikipita kwenye dudu yake, na kuzi pangusa, kisha zikadondoka chini kama za bandia, hapo mzee Masinde alijisikia maumivu makali sana, kwenye eneo hili la dudu, ikimkubusha miaka mingisana iliyopita, akiwa na miaka kumi na mbili, alipo tahiliwa kimila, huko musoma, tena bila ganzi, maumivu yaliuwa makali sana, mzee Masinde alitamani kupiga kelele, lakini akashindwa kutoka na mkono mgumu wa mwanamke huyu, ulio mziba mdomo wake, na kusababisha ajikute akijaza hewa domoni kwake,  hapo mzee huyu akaona mwili wake unakosa nguvu, na kuanza kuregea, wakati huo kwamacho yake, yaliyo anza kulegea, na kuona giza, akamwona yule mwanamke mrembo alie mziba mdomo, anainuwa kisu na kukishusha ubavu wake, kikazama mpaka kwenye mpini, na kukichomoa, na kumsababishia maumivu makali, maana kilivyo kuwa kina toka, yale meno ya msumeno, yaliyopo nyuma ya kisu hicho, yalimsababishia maumivu makali sana, akakichomeka tena, na tena, hapo mzee Masinde akaona giza likitanda machoni mwake, na kushindwa kuelewa kinachoendelea ulimwenguni, “Jackline akiwa ame mshikilia mzee Masinde, alie kuwa amesha kata moto, akamlaza chini, kisha akajitizama, alikuwa amelowa damu, karibu gauni lake lote japo lilikuwa jekundu, lakini ungetambua kuwa limelowa damu, pamoja na viatu vyake vyeupe vye visigono virefu, hapo Jackline akaenda mlangoni, na kuufunga kwa funguo, kisha akaingia bafuni, ambako alijiweka safi na kutoka, kisha akaanza kuvaa nguo zake nyingine ikiwa ni suruali nyeusi, yenye mifuko ya pembeni kama zile za kijeshi, na tisherti nyeusi, pamoja na viatu vyenyeshingio ndefu, vyeusi vyakijeshi, awakati ana jiweka tayari kutoka, mala akasikia sauti ya ving’ora vya magari ya polisi, nje ya hotel hile, “hoya mnasikia hiyo, wanakuja hapa au..?” Jackline akasikia sauti ya wale vijana, walipo sebuleni, waki ulizana, “hooo wakubwa msala, polisi wametanda huko nje kinoma ebu mstueni mzee” ilisikika sauti ya ijana mmoja, na wakati huo huo, mlango wa chumba alichpo yeye Jackline ukagongwa, Jackline aka sogelea dirisha na kuchungulia nje, Jackline aliweza kuona chini kabisa ya jengo hilo, polisi wengi wakiwa wanalizunguka jango hilo, wakiwa na silaha za kivita, na vazi ya kuzuwea risasi, “mzee mzee kuna msala huku, chungulia dirishani” ilisikika sauti toka ebuleni, Jackline akuijari,  zaidi alichukuwa bastolah yake na kutoa kimkebe cha risasi, akaitaza kuakkikisha kama ina risasi za kutosha, kisha akaipakia kwenye bastora yake, alafu akaikoki, na kuichomeka kiunoni, akachukuwa begi lake na kuitoa ile kamba aka jiligishia kiunoni mwake, akaufwata mlango wakuendea sebuleni, akaufungua kwa funguo kisha aaufungua mlango wenyewe, wale vijana wakiwa wame changanyikiwa na polisi, waka tazama mlango wa chumbani uliokuwa unafunguliwa, mala ghafla wakamwona mscha alie valia tofauti na wakati anaingia huku ndani ya chumba wakimwona mzee Masinde boss wao akiwa amelala sakafuni, katikati ya dimbwi la damu, hapo wakajuwa kuwa, yule mwanamke walie kuwa wanamsikia ndie alikuwa mbele yao, hivyo wakaanza kujihami, kwa kutafuta silaha zao, lakini aawakuwai, maana walimwona mscha yule ambae umbo la mwili wake usingeweza kuamini kitendo alicho kifanya, sababu haraka sana yule dada ali biringika sarakasi, na kuchomoa kisu kikubwa kama panga chini ya meza kisha kama alikuwa ana kata mauwa, alia wacharanga mapanga ya shingo, na vijana hao kuanguka chini, kama mizigo, huku shingo zao zikivuja damu, wamesha poteza maisha, hapo Jackline akamtazama yule mwanamke alie lala sakafuni ajitambui, kisha aka ufwata lango wa kutokea mle ndani ya chumba, huku akilitupa lile panga, juu ya kochi, kisha aka sita kidogo, Jackline akachungulia kwenye tundu la funguo la mlango ule wakutokea nje, **** insp Johnson ndio kwanza alikuwa anaingia eneo ambalo aliambiwa kuwa baba yake yupo na mwanamke ambae anaamini kuwa ndie Jackline Nyati, ile kushuka tu akaelekea moja kwa moja mapokezi, akamtaalifu manage, kuwa ile hotel imezungukwa na polisi, sababu kuna mtu hatari sana ndani ya hotel hile, chumba namba 40, gholofa ya sita, pia Johnson akaomba simu inayotumika mle ndani ya hoteli kwa mawasiliano ya mapokezi na vyumani, “piga chumba namba 40, alisema kwa sauti yenye shahuku insp huku akiamrisha bahadhi ya askari wapandishe juu, nao wakafanya hivyo, wengine wakitumia ngazi na wengine wakitumia lift, huku silaha zao zikiwa mikononi tayari kwa mapigano, ukiachilia waliobeba smg, wapo waluo beba silaha ndogo kama uzi gun, ambayo ninzuri zaidi kwa mapigano ya mjini, simu iliita kwa muda mrefu pasipo kupokelewa, “mungu wangu sijuwi kama kuna usalama” alipayuka Johnson akanza kukimbia kuzifwata ngazi, katika siu ambayo Johnson aljiona kuwa ni mwepesi na mwenye mbio, ni hiyo, sababu alitumia dakika mbili tu kupanda ngazi hizo, na kufikia ghorofa ya sita, ambapo alikuta askari wake wakiwa wame simama upande wa ndani wa kolido, la gorofa hilo, ambalo baada ya vyumba viwili kulikuwa ndio mwisho wa korido hilo, zaidi ni kioo kibwa sana, kilicho tumika kama dirisha, ambako akukuwa na sehemu ya kuendelea, huku silaha zao wame zielekeza kwenye mlango wa chumba namba 40, wakiwa kimya kabisa, hapo insp Johnso akaonyesha ishara, kwamba askari mmoja akagonge mlango, wa chumba kile, hapo wote wakatulia na kumtazama askari mmoja aliekuwa amevalia nguo za kiraia, na bstora yake mkononi huku amevalia vazi la kuzuwia risasi, ni mmoja kati ya wale askari ukumi waliokuwa na Koplo Mashiba, huyu anaitwa Pc Ngaga, akiufwata ule mlango wa tahadhari na kujaribu kunyonga kitasa cha ule mlango, na kitu cha kushangaza mlango ukafunguka mala mja tena kwanguvu hapo askari wote zaidi ya ishilini walio kuwepo upande wa ndani wa korido, wali mwona Ngaga, akishikwa ghafla na kwa haraka sana, na mtu toka ndani ya chumba hicho, huku akipokonywa bastora aliyo kuwa ameishika mikononi mwake, kisha akawekewa kichwani mwake, “msipige risasi msipige risasi” alipayuka koplo Mashiba, huku akiyoosha mkono mmoja juu, ishara ya kusuburi, hapo maho ya insp Jinson na Jackline yakakutana, “Jackline Nyati amini mwisho wako umefikia, kuna zaidi ya askari miambili nje ya hotel, uwezi kuchomoka hapa, mwachie huyo askari kisha jisalimishe” alisema Johnson kwa sauti ya kejeli, huku akiachia tabasamu la kejeri pia, lakini Jackline akuonyesha wasi wasi wowote, ndio kwanza akiwa ame mkaba na kuweka Ngaga mbele yake, na bastora ya kipolisi M12, akiwa bado amemwekea kichwani, akaanza kumkokota taratibu, kuelekea upande wa ukingo wa kioo, ambao ndio mwisho wa korido, insp akacheka kwa dharau, “una ujanja wowote Jackline, weka silaha chini usubiri kunyongwa” maneno hayo yaliwafanya atawale askari wengine wacheke kwa dharau, huku wakiwa nado wameelekeza silaha kwa Jacline alie kuwa ame mkamata kwanguvu, Pc Ngaga, na sasa Jackline alikuwa amesha kisogelea kioo kikubwa, wakamwona akitazama nje, kupitia kile kioo, wakajuwa kuwa mwanamke huyu ameishiwa ujanja, wakacheka tena, wakieendelea kumtazama, wakitegemea kumwona mwanamke huyu, akimwachia Ngaga, na kusalimu amri, lakini wakamwona Jackline akiwa tazama na kitu kilicho washangaza, ni kumwona akitabasamu, na mbaya zaidi tabasamu hilo, walishindwa kulitambua, kuwa anawasanifu, amefurahi, au amekasirika, “hoo! Johnson nazani umesahau, kuwa mimi ni mtu wa aina gani, maana unawaza kunikamata kilahisi sana” maneno ya Jackline yaliwashangaza wale askari ambao waligeuka na kumtazama insp Johnson, nikama wana mwuliza, “anakufahamu?” ililo lilkuwa kosa kubwa sana kwa askari hao, maana walisikia milipuko mitatu mfululizo ya risasi, huku kioo kikimwagika, ile wana geuka kumtazama Jackline aliekuwa ameshika Ngaga waliona ndio kwanza wana malizikia kutoka nje ya jengo hilo, wote waka kimbilia dirishani kwenye kioo kilicho pasuka, na kuchungulia, wakamwona Jackline akielekea chini kwa kasi ya hajabu huku ame mtanguliza Ngaga, wakielekea kutuwa uswa wa maegesho ya magari, na wakti huo huo polisi walio kuwa chini wakaona tukio lile hivyo kwanza kumimina risasi kumrenga Jackline alie kuwa ana shuka kwa speed, na kusababisha risasi nyingi kumpata Ngaga aliekuwa ametangulizwa, huu nyingine zikipitiliza na kuwa kosa kosa wakina Johnson, ambao wali rudi ndani, ambako sekunde chache wakasikia kishindo kikubwa sana chini, ikionyesha kuwa walituwa juu yagari, wakaende tena kuchungulia, wakamwona Jackline akijiinua toka juu ya gari lililo bondeka bondeka, akimwacha Ngaga juu ya gari hilo akiwa ametulia na vijito vya damu vikichuru zika toka kwa askari huyo, alie kuwa anaonekana wazi kuwa amesha poteza maisha, insp kwa macho yake akamwona Jackline akijificha ubavuni mwa gari lile, walilo lidondokea, huku askali watatu, wakilisogelea lile gari, na SMG zao mikononi, pia askari wengine walikuwa wanakimbia kutoka upande wa mbele wa hotel na kuzunguka huku nyuma, lakini ghafla insp Johnson akamwona Jackline akiinuka, nakuanza kumimina risasi kwa wale askari watatu, ambapo mwanzo insp alijuwa itakuwa kazi bule kwa risi zile, maana zisingepenya kwenye bullet proof, lakini alishangaa kuona Jackline akiwa tandika wale askari risasi za vichwa, na wakadondoak chini, hapo akaonekana Jackline akiokota SMG moja na mikebe mingine miwili, ya risasi, kisha akaanza kuwashambulia askari waliokuwa wana kuja mbio upande ule, hapo Insp akashuhudia askari zaidi ya sita wakidondoka mbele ya macho yake, na mbaya zaidi, akamwona Jackline akili fwata gari moja la polisi, akimiminia risasi dereva ambae mda wote alikuwa amejificha kwenye gari, akiogopa mtiti wa Jack Nyati, na kwa akaida kwenye matukio kama hayo magari ya polisi uwa hayazimwi, kwa hoyo insp akamwona Jackline akiondoka na gari hilo, aina ya one ten defender, na polisi nao wakitumia dakika kadhaa kupanda kwenye magari, na kuanza kumfukuza yeye akaagiza akari wengine wakague kile chumba alafu wa mjulishe kilicho tokea, yeye akatoka hapo na kushuka chini, akijuwa kabisa kuwa baba yake akuwa hai, “ingia kwenye gari tuwai, tumebaki peke yetu” aliongea kwa ukari sana insp, ambae aliingia kwenye gari, na kuchukuwa kisemeo cha redio call ya kwenye gari lile la polisi, “hallow station zote, target imetoka hapa ubungo inaelekea buguruni, “kama kuna plisi wazibe barabara zote, narudia kama kunapolisi wanao nisikia upande huo wazibe barabara” aliongea insp huku safari ikianza, gari alilo panda likiondoewa kwaspeed kari sana, pale paradise tower, na kushika uelekeo wa buguruni, huku mala kwa mala akitoa maelekezo ya sehemu ambazo porisi wana takiwa kukaa ili kukamata huyu mwanamke, ***** wakati huo mzee Nyati alikuwa sebuleni kwake ndipo alipo sikia habari ya hivi punde, ikionyesha tukio lililo tokea paradise tower, ya muuwaji wakike kukimbia polisi, “mh! mambo magumu” alisema mzee Nyati kwa kunong’ona, kisha akasema “mama Jack, jiandae na safari ya dar es salaam, leo hii” itaendelea.......


Post a Comment

0Comments

Your Thoughts

Post a Comment (0)