DADA MDUNGUAJI EPISODE 9

Emmanuel Lee
By -
0


DADA MDUNGUWAJI


EPISODE 9


STORY NA Mbogo Edgar


whatsaap 075621102


ILIPOISHIA  EPISODE 8 : “kitu gani dada Felly, sema nikupatie maana nimechelewa sana” aliongea Denis akimtazma Felister ambae alikuwa amejilaza kwenye kochi na kuinua kile kigauni chake, kisha akaanza kupapasa tumbo lake, “sikia Denis, najuwa kuwa unamkeo, lakini namimi nakuitaji sana, nipo tayari niwe mkeo wasiri, nitakupa kila kitu unachotaka, ata ukitaka kumfungulia mkeo biashara nipo tayari” aliongea Felister kwa sauti ya kivivvu ya kubembeleza iliyo jaa ulegevu wa hamu ya ngono, endelea ........ 

 “mh! dada mbona kitu hicho akiweze kani” aliongea kwa mshangao Denis ambae alisimama haraka sana kama lile kochi lililowa ghafla, “tafadhari denis, siyo kwamba sija ona wanaume wengine, lakini wewe ndio chaguo langu, tafadhali niubalie,, basi atakwleo tu!” aliongea yule dada akisimama na kumfwata denis pale alipo simama, “sikia dada Felister, siwezi kubadili utaratibu wangu ata siku moja, siwezi kumasliti mkewangu ambae ana niheshimu, sijawai kumwona akiangaika na tamaa yoyote” aliongea Denis akionyesha kumaanisha alicho kiongea, “kwanini Denis au unamwogopa mkeo?, kwanini umwogope kwa yeye ananini, au anakupiga hen! nimbia anakupigaga?, kama yeye ni mwanamke na mimi ni mwanamke, kama yeye ni mzuri na mimi ni mzuri, au kum... yake inanini cha kuizidi yakwangu, njoo ingiza mb..o yako uone kama siyo tamu” aliongea mfululizo yule mwanamke, ambae sasa alionekana kuanza kukasilika, akimnyima nafasi ya kujieleza Denis, “kwanini auna shukrani we mwanamme yani fedha zote nilizo kupa bado una niachia maumivu, yani kaka unaroho ngumu, ufanani na sura yako” aliendelea kubwabwaja yule dada, “ok! dada yangu, samahani kwa yote yaliyo tokea, najuwa inavyo kuwa pale unapokikosa ulicho kipenda, japo vingine tunavyo vipenda, ghalama yake ni maumivu kwa wenzetu,” aliongea Denis kwa sauti ya upole, iliyo mfanya yule dada atulie na kuachia tabasamu la ushindi, akimtazama Denis kwa macho ya kimahaba, “hiyo ramani samani yake ni million mbili, laki wewe nakufanyia laki moja, ile uliyo nipa asubuhi, kwaheli” aliongea Denis kisha akafungua mlango haraka na kuondoka, yule mwanamke alichungulia mlangoni akimwona Denis anatembea haraka haraka, na kutokomea zake, na ramani mbili mkononi, huku zile fedha zote zipo mezani pamoja na ile ramani aliyo ichagua yule dada Felister, ambae alimtazama mpaka alipopotelea kwenye ngazi za kushukia chini, kisha felister aka funga mlango na kuchukuwa simu yake mezani , huku anatabsamu tofauti na alivyo kuwa mdamfupi uliopita, akapiga zile namba za boss wake, akaiweka simu sikioni kisha akasogea kwenye kabati na kusimama akisubiri simu ipokelewe, ni kweli aikuchelewa kupokelewa, ***** Denis akiwa kama ame changanyikiwa kwa tukio lililo mtokea mda mfupi uliopita, aliendesha gari kwa speed ya hali ya juu, japo alikwama kwama kwenye foleni njiani, lakini saa moja na nusu alikuwa anasimamisha gari lake nje yanyumba yake, alipokelewa na sura ya kinuno ya mke wake Jackline, “hivi unaweza kunieleza kuwa ulikuwa wapi mpaka mida hii?” aliuliza Jackline, akionyesha kukasirishwa na kitendo cha mume wake kuchelewa kurudi nyumbani, wakati siku za hivi karibuni amekuwa akiwai sana kurudi, “acha wivu mama, mimi niwakwako tu mke mke wangu” aliongea Denis akimsogelea mke wake aliesimama kati kati ya mlango, “leo uingii hapa mpaka uniombe msamaha wa kuchelewa kurudi, kikao gani hicho mpaka saahizi” aliongea Jackline, ambae tabasamu lilimponyoka, “samahani mkewangu nilikuwa na kikao kidogo” alisema Denis na yeye akimfanyia masihara mke wake, akimalizia kumkiss shavuni, “ok! kosa la kunywa pombe nje ya nyumba?” aliongea Jackline huku akijaribu kununa nakuishia kucheka kidogo, “samahani mke wangu, nimekunywa pombe kwenye kikao” aliongea Denis, lakini Jackline akamshika mkono, na kumwongoza ndani, “bado sija kusamehe twende nika kukague ka aijatumika” aliongea Jackline na wote wakacheka huku wana eleka chumbani, walipofika Jackline ndie alie fanya kazi ya kumvua mume wake nguo, na viatu alipo malizia nguo yamwisho, aka simama na kumtazama mume wake, “zamu yako nawewe nivue” aliongea Jackline, hapo Denis ambae leo hii ametoka kulishwa kwa macho na Felister, alimvua nguo zote mke wake, ile anamalizia chupi, Jackline akajilaza kwenye ukingo wa kitanda kiubavu ubavu, akibinua kiuno chake kwa nyuma, akirudisha nyuma makalio yake, na kuachia kitumbua chake kionekane kwa nyuma, hapo Denis akachuchumaa kwachini na uanza kunyonya kitumbua cha mkewake, ambaea sekunde chache baadae alianza kuugulia utamu, akisifia maamuzi yake ya kumluhusu mwanaume huyu kuanza kumwingizia dudu, hayo yalikuwa maandalizi ya kula kitumbua, na hiyo ndio moja ya sataili zao tatu ambazo kipindi hiki cha ujauzito wa Jackline walikuwa wakitumia, yakwanza ikiwa kifo cha mende, yapili yakukaa kwenye meza ndefu na Denis kusimama chini akiingiza dudu, ya tatu ndio hii ya kulala kiubavu ubavu pembeni ya kitanda, kisha Denis kusimama chini na kuingiza dudu, ***** siku yapili ilikuwa ni juma tano  Denis na Jackline waliamka wakiwa wachangamfu sana, ndio maisha yao ya kilasiku, maana waliishi kwa upendo na amani, Jackline akioekana kama mwanamke shupavu licha ya kuwa na ujauzito wa miezi sita, lakini bado alionekeana kuwa na nguvu za kufanya kazi, asubuhi hii alimwandalia mke wake kila kilicho yakiwa, ikwemo na kifungua kinywa cha juice ya matunda, badala ya chai ambayo kwa Denis ilikuwa kama sumu, saa kumi nambili nanusu Denisa aliondoka zake na kuelekea kazini, ambako alifika saa moja na robo, akajiunga na Mahadhi kupanda ngazi, kuelekea ofisini kwao, “niambie kaka yule demu vipi ulimchek?” aliuliza Mahadhi kwa shahuku, “hivi wewe mkeo anamapungufu gani?” aliuliza Denis kwa namna mabyo aliona kama anakelwa na tabia ya Mahadhi, “haaa! kaka au ningoma yako, maana wewe una zari la kukamata vitu vya kueleweka” hapo Denis akacheka kidogo, “hacha tamaa kwahiyo atashemeji yako unamsifia?” aliuliza Denis wakati wana malizia ngazi ya mwisho, “sijasema hivyo” waliingia moja kwa moja ndani ya ofisi yao, “waooo! baba mtarajiwa mambo” alisalimia Janeth, baada tu ya wakina Denis kuingia ofisini, “poa niaje kuna lolote” aliitikia Denis huku Mhadhi akipitiliza kwenye chumba ambacho wao ndio ofisi yao, “lipo, alikuja dada mmoja hivi, ameniachia  hiki kifurushi” alisema Janeth akimkabidhi Denis kifurushi kidogo cha box kilicho fungwa vizuri kwa gundi ya karatasi, “amesema anaitwa Felister, kwa maelekezo zaidi atakupigia” hapo Denis akaduwaa kidogo, “inamaana huyu mwanamke anataka nini” Denis alijikuta akiongea kwa sauti, “hoo! alisema usiwe na wasi wasi, huu mzigo nikwaajili ya mkeo, kuhusu jana anasema usijari mtaongea” alisema Janeth na kumstua kidogo, Denis, akihofu hije kuwa Janeth nae anafahamu kilicho tokea, “jana kuhusu nini?” aliuliza Denis ili kupata uakika kama Janeth anafahamu chochote, “he! kwani mimi nilikuwepo, uko kwenye mambo yenu, naalivyo mzuri yule dada, sijuwi kama bado ujapita, maana siku hizi amambo yako siyaelewi” aliongea Janeth kwa namnaflani ya wivu, hapo Denis akachukuw kile kifurushi na kushuka nacho chini kwenye gari lake, akajifungia ndani ya gari, akakuta zile fedha million moja, alizo patiwa na yule dada siku hiliyo pita, hapo akapekua kwenye dash boad na kuchukuwa kikaratasi chenye namba za simu, za Felister, akapiga ile namba, lakini kitu cha hajabu namba aikupatikana, anataka nini huyu mwanamke, hisije kuwa analake jambo” aliwaza Denis akiifadhi zile fedha vizuri na kufunga gari, kisha huyo akarudi ofisini gholofa ya tatu, ***** ilikuwa mida ya saa nne asubuhi kama kawaida yake, toka ambeba ujauzito, Jackline alikuwa ametulia sebuleni macho kwenye Tv akitazama vipindi mbali mbali vya kijamii, huku mezani jagi la juice na korosho kwenye kisahani, anabadiri chaneli tu! miguu juu yameza, mgongo ameuegemeza kwenye kochi, mala akasika mlio wa gari likisimama nje, mlio wagari la mume wke anaujuwa sana lakini mlio huu aliushangaa kidogo, licha ya kuufahamu lakini, akutegemea kuusikia hapa, akanyanyuka na kwenda kuchungulia dirishani, lilikuwa ni Toyota V8, hapo Jackline aliduwaa, “wame fwata nini awa?” alijiuliza Jackline huku akipepesa macho huku na huku kuakikisha kama kila kitu kipo sawa, mle ndani, kisha akaufwata mlango na kuufungua, akiwawai wageni wake watatu ambao walisha simama nje ya mlango wakijiandaa kugonga hodi, “waooo mama, karibu jamani,” alikaribisha Jackline huku akimsogelea mama yake na kumkumbatia, “asante mwanangu, mwenye umesha kuwa mama mwenyenyumba” aliongea mama Jackline, kisha Jackline akaenda kumkumbatia baba yake, “waoo baba sijakuona siku nyingi” aliongea Jackline akiganda kidogo kifuani kwa baba yake, “ndio ukubwa huo siyo kila siku una kaa na baba tu!” aliongea mzee Nyati, kisha wotewakacheka, harafu Jakline akamtazama mgeni watatu, ambae mda wote alikuwa amesimama ameshikilia brifkess huku tabasamu limetawala usoni mwake, kwa mwonekano ni mschana mrembo wa lika la Jackiline, lakini alimzidi Jackline kidogo kwa umri, tofauti nyingine, Jackline nimzuri wa hasiri, hila huyu mwenzie ni mzuri wa kujiremba, wakakumbatiana na kukumbatiana kwanguvu pasipo Jackline kujali tumbo lake, huku wakishangiliana kwa furaha sana, “karibu dada Felister niliku miss”.  


 Aliongea Jackline wakiwa bado wamekumbatiana, na rafiki yake mkubwa sana Felister, huku tumbo lake kubwa likimgusa Felister nakufanya wakumbatiane kiupande upande, kama ilivyo kuwa kwa wazazi wake, “na mimi nilikumiss sana Jack, yani baba alivyo sema tunakuja kuku tembelea, nilifurahi” aliongea Felister huku bado wamekumbatiana, “ebu tukaribishe ndani bwana, tuongee mala moja, atutaki huyo jamaa yako atukute hapa” aliongea mzee Nyati huku akitangulia kuingia ndani, wote wakafwata ndani, “ok! Jack, habari ya hapa” aliongea mzee Michael Nyati, baada yakuwa wame kaa, “salama tu baba wacha niwaandalie japo Soda kidogo” alisema Jackline lakini baba yake akamdaka juu kwa juu, “hapana Jackline sisi siyo wakaaji, ebu kaa tuongee mala moja” hapo Jackline akatulia kwenye kochi, aka mtazama baba yake kisha mama yake na mwisho akamtaza Felister, wote aliwaona kama wana kitu muhimu wanataka kumweleza, *** nazani iakuwa vyema ukimfahamu Felister, na kwanini ali jaribu kumfanya vile, kwa Denis, kwanza kabisa toka Jackline apate ujauzito wazazi wake walijawa na awazo mengi sana juu ya binti wao, na maisha ya huko aliko katika hali yake ya ujauzito, na maisha yake baada ya kujifungua, licha kwamba alipo kuwa anaondoka nyumbani Songea, kuja dar kwakazi maalumu, alipewa fenda ya kutosha mkononi, pamoja na kadi ya benki yenye fedha nyingi sana, lakini swala hili lili wafanya wazazi wake watambue kuwa, mtoto wao anaitaji maisha yake baada ya kujifungua, tena ukizingatia anaweza kumaliza kazi ambayo wame mpangia, lakini pia Jackline anampenzi wake atakama wata mwandalia maisha yake, itakuwaje kuhusu mwenzake anae ishi nae sasa, kuhusu kuishi maisha watakayo itaji wao, hilo halikuwapa shida, sababu walikuwa na fedha nyingi sana, zakuweza kumbadilisha mtu na kuwa mwingine, lakini kilicho wapasua kichwa ni kwamba, je huyo mtu ni waaina gani, itakuwaje endapo atagundua kuwa wazazi wa Jackline ni tofauti na vile alivyo kuwa anajuwa, kuwa ni wazee walipo shamba, tena masikini, pia waliitaji kufahamu mambo mengi sana kuhusu kijana huyu, na kama anaweza akaimili kutunza siri za mke wake, endapo itatokea akajuwa lolote kuhu matukio aliyo yafanya mke wake, yani Jackline, ndipo walipo funga safari kuja Dar, licha ya kumwona mtoto wao ambae ni mjamzito, pia walipanga kuja kumwona Denis, na kuangalia kama anafaha kuwa mkwe wao, katika mipango waliyo panga, iliwalzimu kumchukuwa Felister, ni binti mmoja ambae wanamtumia katika usimamizi wa maduka yao yaliyopo mjini Songea, chanzo cha kukutana na Felister ni Jackline, ambae alikutana na Felister miaka mi tano, iliyo pita, wakiwa wanasoma sekondali, Felister alimtangulia darasa moja Jackline, wakati Jackline akiwa kidato cha tano, Felister alikuwa kidato cha sita, chanzo cha urafiki wao, ilitokea siku moja walikuwa katika tamasha la michezo, ya shule za sekondali la mkoa wa Ruvuma, ikatokea vurugu moja kubwa sana, Jackile aikumpa shida ile vurugu, tatizo lilikuwa kwa Felister, ambae baada ya wanafunzi kutawanyika kwa kukimbia vurugu akajikuta yupo kwenye kichaka amezungukwa na wanafunzi wakiume wapatao saba, toka shule moja ya wavulana ya mwenge masindo , wakiwa na kila dalili ya kutaka kumbaka, akiwa amesha kata tamaha kabisa, akijuwa kuwa kinacho fwata ni kuliwa kuingizia dudu kwa matakwa ya vijana wale watukutu, kufumba na kufuambua tayari walisha mwangusha chini, na kuzilalua nguo zake zote, mpaka zile za ndani, wakimwacha ameifadhiwa na vipande vichache vya nguo, huku wenginge wakimshikilia miguu na mikono wakiitanua, na kukiaxha kitumbua kikiwa wazi, kabisa tayari kuingiziwa dudu, huku wengine wakiwa wame simama na kufungua suluali zao wakizishusha mpaka magotini, wakiyaacha madudu yao yaliyo simama yaonekane jinsi yalivyo kuwa na tamaa ya kitumbua cha mschana yule mrembo,  lakini ghafla kilichotokea hakuna ambae aliamini, siyo wale vijana wala Felister, ambae alimwona mwanafunzi wakike, alievalia uniform za shuleni kwao, aliejifunga kitambaa chenye picha ya bob Marley, kuanzia puani mpaka mdomoni, nakuacha macho peke yakionekana, Felister akiwa pale chini alishuhudia yule mwanafunzi wakike akitembeza kichapo cha hatari, ambacho kiliwaacha maututi wale wanafunzi watukutu, mpaka mwisho wa kipigo mwanafunzi alie kuwa na afadhari alikuwa amevunjika mguu, zaidi ya hpo, licha ya kuvunjwa mikono na miguu pia weni wao walikuwa wame poteza fahamu, Felister alichukuliwa na yule mwanafunzi wakike, ambae alitoka kuwa adabisha wale wanafunzi wakiume, wakapta kwenye vichaka mpaka, nyumbani kwa kina Jackline, ambako alipewa nguo nyingine na Jackline, na hapo ndipo alipo mfahamu Jackline kuwa ndie alie msaidia, Felister ambae alikuwa anaish na mama yake katika maisha ya hali ya chini, akuwai kumfahamu baba yake, maana mama yake alipata mimba ya nyumbani na kukimbiwa na mwanamume alie mpatia uja uzito huo, lakini licha ya kuwa na kipato kidogo kilicho patika na kwa kuuza maandazi , Felister alisomeshwa na kufikia hapo alipo, kiukweli tukio la vurugu, katika tamasha la michezo ya shule za sekondali, lilikuwa kubwa sana kiasi kwamba polisi wa kikosi cha kutuliza ghasia walikuja kwenye eneo la tukio, na kutuliza vurugu hizo ambazo zilidumu kwa mda mrefu kabla wao awajafika, walifanikiwa kutuliza vurugu hizo, wakiwakamata wanafunzi ishilini ambao walioneka kujaribu kupambana na polisi, katika zoezi hilo, siku yapili vyombo ya habari vikareport kupatikana kwa wanafunzi saba wakiume, walio patikana kwenye kichaka, wakiwa hoi bin taabani, ajitambui na wamekosa nguvu, kwa kutokana na kupoteza damu nyingi sana, kati ya watu ambao walisikia taalifa hizo ni wazazi wa Jackline, ambao walijuwa kuwa mtekelezajiw atukio lile ni nani, lakini walitambua kuwa mtoto wao, aliziba sura wakati anatekeleza tukio hilo, lakini mawazo yao yalikuwa tofauti na waliyozania, maana baada ya siku tao mbele, wale wanafunzi watkutu baadhi yao waliweza kuongea, walipoojiwa kuhusu nani alie wapiga wakamtaja Felister kuwa ndie anamjuwa alie wafanya kitu mbaya, sababu wao awakuweza kumtambua alijiziba usoni, mala moja Polisi walienda shule ni kwa kina Felister na kumchukuwa mschana huyo kwa mahojiano, baada ya kuhojiwa na polisi Felister akaeleza hilivyo kuwa, kwamba alinusulika kubakwa na wanafunzi wale saba, Felister licha ya kumfahamu mwanafunzi wakike alie msaidia, lakini mbele ya polisi Felister alieleza kuwa akuweza kumfahamu yule mwanafunzi sababu aljiziba kwa kitambaa usoni, kitendo hicho kili mfurahisha sana mzee Nyati, ambae ambae aliagaiza Felister aletwe malamoja, jumaosi moja Jackline alimleta Felister nyumbani kwao, ndipo mzee Nyati alimwuliza Felister, kwanini akumtaja Jackline kuwa ndie alie waadabisha wale wanafunzi, jibu la Felister ndilo lililo mfanya mzee Nyati ajitolee kumsomesha Felister na kumghalamia kila kitu katika maisha yake, yeye pamoja na mama yake, pia akawa jengea nyumba moja nzuri, “nilijuwa ninge mwingiza kwenye matatizo, sababu aliyo yafanya pale, ata wewe ungeingia kwenye matatizo kwa kumfundisha mwanao kupigana hivi, kiukweli siyo polisi tu! ata mama yangu siwezi kumweleza kama ni Jack ndie alienisaidia,” na toka siku hiyo licha ya Felister kuwa na urafiki wa karibu na Jackline, pia baba yake Jackline  yani Mzee Nyati, aliamua kumtumia Felister kama mmoja wa familia yake, mpaka leo hii ambayo aliongozana nae kuja Dar, na kumtuma kumfwatilia Denis wakijaribu mpima Imani yake juu ya maisha yake yandoa, na ilipangwa kuwa endapo Denis angeonekana kuwa na tamaa ya feda na wanawake ange uwawa, na Jackline angeamishwa kabisa sehemu ile, **** “kwanza hongera sana manangu kwa kupata mwanaume mwenye upendo wa dhati kwako,” aliongea mzee Nyati akichukuwa briff kace na kulifungua, akatoa vi paket kadhaa, vya size tofauti tofauti, “nimekuletea risasi nyingine, maana zile umezitumia sana, na kazi bado mbichi” mzee Nyati alitoa vile vipaket na kuviweka mezani, “pia mwanangu jitaidikazi iishe uje uishi nyumbani, nakuhusu mumeo sisi tumesha mkubari” aliongea mama Jackline, na Jackline akatabasamu kidogo, na kumtazama mama yake, ambae nae alikuwa anatabasamu, ***** Miezi miwili na siku kadhaa mbele, mambo yalisha sahaulika, siyo insp Johnson wala wakina mzee Masinde, waliokumbuka kuwa wanawindwa, japo waliamini kuwa mda wowote kita nuka upya, baada ya kuona mambo yamepoa, mzee Alex akaona huu ni wakati wa kujitengeezea jina, hili kupata sapot serikalini, kwa ujanja wa kujitoa, kwa lemavu, akiona labda maswala kama haya yatamweka karibu na serikali, na kupata ulinzi mkubwa sana, bwana Alex Mwasaga, aliandaa taflija kubwa ya kugawa misaada kwa vituo vya kulea watoto yatima, nawatu wasio jiweza, akijitaidi kutumia waandishi wa habari, kutangaza taflija ile ambayo ilikuwa imebakiza week moja kufanyika, akuna redio au Tv ambayo inge pitisha siku pasipo kutangaza uwepo wa taflija hiyo, huku magazeti yakiongoza kwa kutangaza taflija hiyo, wakitoa na picha ya mzee Alex Mwasaga, wakimwelezea kama mfanya biashara mkubwa, sana ambae anania ya dhati ya kusaidia wasio jiweza, akiwa amelishika gazeti, mze Nyati akatabasamu kidogo, “miezi tisa kasoro sijuwi kama ataweza” aliwaza mze Nyati, 


 Aliwaza mzee Michael Nyati, kisha akamwita mke wake akimwagiza aje na ile pad anayotumia kumfwatilia mwanae Jackline, sekunde chache mama Jackline aliingia sebuleni akiwa na pad mkononi, “ina bidi tuitafute Cosovor Hotel na mazingira yake, naona mmja amesha jilengesha” aliogea mzee Nyati, huku ana bofya bofya ile pad na kuiweka wazi ramani ya jiji la Dar, akiikuza sehemu a mwenge, kwakutumia ramani ya internet, “lakini sidhani kama jambazi wako ataweza kufanya kazi, maana mimba yake inakaribia miezi tisa” aliongea mama Jackiline huku anakaa pembeni ya mume wake, “hapo ndipo napo changanyikiwa, maana tukishindwa kuuwa kipindi hiki, itakuwa vigumu kwa baadae,” aliongea mzee Nyati, huku akiendelea kulikagua eneo lote la cosovor hotel, lililopo maeneo ya mwenge barabara ya morocco, “kwanini ishindikane?” aliuliza mama Jackline, “unajuwa Alex ana hakili nyingi sana, lengo la kugawa misaada hii, ni kuteka hakili za wakuu wa serikari, ili ahesabike kama ni mmoja kati ya watu wenye mchango mkubwa sana katika jamii, hivyo nilahii kupewa ulinzi wa vyombo vya ulinzi na usalama mda wowote atakao itaji, na akipewa ulinzi itakuwa vigumu sana kwa sisi kumpata,” aliongea mzee Nyati, akiendelea kukagua eneo lile, ambalo licha ya kuwepo ile Hoteli kubwa, yenye ukumbi mkubwa wamikutano, naofisi mbali mbali, ndaniyeke, pamoja na vyumba visivyo pungua hamsini, pia kulikuwa na bar kubwa pembeni yake, ijulikanayo kwa jina la mwenge pub, ambayo uwa inakesha usiku kucha, “mh! kwa hakili za Jack, sizani kama ni vigumu kwake kumpoteza Alex, atakama atakuwa na kikosi kizima cha jeshi,”aliongea mama Jackline kwakujiamini, “kuna kitu  ujaelewa mama Jack, endapo mtu huyu atakuwa karibu na na viongozi wa serikali, ni lahisi yeye kuwashawishi viongozi ilikunikamata, nakunipoteza gerezani kwa kosa lolote, pasipo kujitetea” aliongea mzee Nyati akiendelea kukagua kagua lile eneo, “kweli mume wangu mtu huyu anapaswa kupotezwa mala moja, **** mzee Soud Hassan ni mmoja kati ya watu walioweza kulisikia tangazo la Taflija iliyo andaliwa na mzee Alex, ya kukutana na watu wenye ulemavu, “mh! unja mwingi mbele kiza,” aliwaza mze Soud, huku ana chukuwa simu yake ya mkononi toka kwenye meza na kubofya namba kadhaa, kisha akaweka sikioni, sekunde chache baadae mzee Soud akaanza kuongea, “malahaba kijana wangu,.... jitaidi tuonane mala moja ..... ndio kuna jambo muhimu sana ...  ok! fanya hivyo ...... jitahidi nakusubiri” kisha akakata simu, **** siku hiyo pia ili wakuta Denis na Jakline wakiwa sebuleni wana leteana michezo ya kiutani, “hivi kwanni autaki nikuletee mchana wakukusaidia?” aliuliza Denis huku akilipapasa tumbo la mke wake, “mh! anisaidie mimi, au akusaidie wewe?” aliuliza Jackline akonyesha dalili ya wivu, na denis akangua kicheko, wakati wanaendelea ma maongezi yao ya utani mala wakasikia simu ya Denis ikiita, akaitazama ilikuwa simu toka kwa baba yake Jackline, “baba mkwe huyo” alisema Denis huku anapokea simu, “hllow mzee shikamoo.... ndiyo mzee tunaendelea vizuri, sijuwi nyie baba kuna lolote huko kijijini? ..... tuna shukuru kama mnaendelea viziru... ndio huyu hapa...” aliongea Denis kisha akampatia Jackline simu, ambae alipokea simu na kuiweka sikioni huku akimwonyesha ishara mume wake ya kuomba maji yakunywa “shikamoo baba ......” ndiomana mneno pekee yaliyo sikika kisha kisha ikawa “ndio ... ndio... ndio... sawa baba” nahapo maongezi yakwa yameisha, Jackline akakata simu, na kumtazama Denis ambae alikuwa anakuja na grass ya maji mkononi, “vipi amesha kata simu?” aliuliza Denis, huku anamkabidhi grass ya maji Jackline, “amekata, siuna juwatena anabania vocha” aliongea Jackline akimkabidhi Denis simu yake na kuanza kunywa yale maji, “ila baba yako sauti yake utazani bado kijana” aliongea Denis nakuanza kulichezea tumbo la mke wake, ***** msaa mawili baadae insp Johnson alikuwa amesha fika kwa mzee Soud Hassan huko mji mwema kigamboni, akimsikiliza mzee Soud, kwa umakini sana kile alicho mwitia, “kwa kifupi kijana taflija hii aitamsaidia bwana Alex wala wakina Masinde, zaidi itaamsha yaliyo lala, maana Alex amtenge neza mtego wa panya, utakao waingiza wote kwenye tundu moja” aliongea mzee Soud kwa umakini sana, huku Johnson akimsikiliza mzee huyu, ambae aliamini anachoongea kinaweza kuwa na manufaa kwake, “unajuwa atujuwi kwanini mauwaji yalisimama kwa miezi sita sasa, pia kumbuka kuwa, kila linapotokea tukio moja ndipo linapozaliwa tukio lingine, kwa hiyo inaonyesha kuwa muuwaji alisha wapoteza watu wake, na anawapata kutokana na matukio kama haya” aliongoea mzee Soud, na mpaka hapo insp Johnson alisha pata mwanga, “kwa hiyo mzee Soud uanataka kusema, kwa jinsi mzee Aex alivyo jitangaza, muuwaji atakuwa amesha mtambua na kuanza kumuwinda?” aliuliza insp Johnson akitaka kupata uakika, “aswaaaaaa! na kikomo chake ni siku ya taflija” alisawazisha mzee Soud Hassan, hapo Johnson alikooa kidogo kwa kusafisha koo, kisha akamwuliza mzee Soud, “kwahiyo mzee wangu una nishauri nifanye nini?” hapo mzee Soud alitabasamu kidogo, “wewe ni afisa mpelelezi wa jeshi la polisi, akika utakuwa unajuwa nini cha kufanya” alijibu mzee Soud, akimwacha Johnson njia panda, “mzee Soud, wewe ni mwelewa sana, na unauzoefu mkubwa wa haya mambo, pengine unaweza kujuwa njia ya kuaribu shambulizi hili” hapo mzee Soud alitabasamu kidogo, “ok! Johnson, inabidi utumie akili zako zote, zakipolisi na kibinadamu” aliongea mzee Soud huku lile tabasamu likiwa limeyeyuka usoni, nakuwa katika hali ya umakini sana, “nitawezaje mzee wangu, maana muuwaji anaonekana kuwa makini sana” hapo insp Johnson alitumia sauti iliyo jaa dalili za kukata tamaa, “upaswi kuwa hivyo isnp, kumbuka jeshi linakutegemea,” aliongea mzee Soud kisha akatulia kidogo, kama anevuta kumbu kumbu, baada ya sekunde chache akainua usowake na kumtazama insp, “ok! fanya kitu kimoja, lichunguze eneo lote linalo zunguka Cosovor hotel, watakayo fanyia taflija, akikisha una yachunguza majengo yote marefu yaliyopo kuanzia umbali wa mita ziro, mpaka mita elfu moja na miatano, na uakikishe umeweka ulizi wakutosha wapolisi waliovalia nguo za kiraia, wawe na silaha pia vesti la kuzuwia risasi, wawenaso kwa siri, asijuwe mtu yeyote ata bwana Alex mwenye asijuwe kama watuwako wapo eneo lile, na jambo jingine muwe na mwasiliano wakati wowote wa taflija, na mwisho jitaidi baba yako asiwepo eneo la tukio, nikama nilivyo kuambia, huu ni mtego wa panya” mzee Soud alitulia kidogo, “hoooo! nimekumbuka jambo,” insp Johnson ambae alionyesha kuyaelewa vizuri maneno ya mzee Soud, akazidi kutulia na kusikiliza maujuzi hayo, “kumbuka licha ya muuwaji kutumia, silaha yenye uwezo wa kupiga mbari, lakini amesha fanya matukio ya papo kwa papo, kwakutumia mikono yake” insp Johnson aliitkia kwa kichwa, akikubaliana na mzee Soud, ambae aliendelea kuongea, “na kama nikweli Nyati ndie anausika na matukio haya, inabidi uwe plani zaidi ya tatu, maana mipango yake aitabiriki ata siku moja” **** wakati insp Johnson David Masinde anapewa maelekezo na mkongwe Brg Gen mastaafu Soud Hassan, huku nako wazee watatu, ambao ni kati ya wale walioshiriki mapigano nchini congo (kipindi hicho Zaire) waka 1988, walikuwa wame kaa kwenye bar moja, mitaa ya Kimara mwisho, ijulikanayo kama Tukutane Pub, wakiendeleza majidiliano makali, ambayo yalionekana kuungwa mkono na kila mmoja wao, huku wakipata vinywaji taratibu, nyuma yao vijana sita walikuwa wame tulia kwenye meza tofauti tofauti, nawao wakipata vinywaji vyao, lakini lengo lao ni kutoa ulinzi kwa wazee hao, “katika vitu ambavyo umewai kuvi plani, hili la safari hii ndiyo kiboko” aliongea mzee Masinde, huku akiiweka gras yenye bia nusu mezani, “lakini umetumia ghalama kubwa” aliongea mzee Kaijage, “hahahahahaha wewe unazungumzia ghalama, kwanza kunamzigo hupo njiani unakuja, kwakuwa nitakuwa VIP, serikalini, moja kwamoja mzigo utaingia kilaini, kwakutumia meli ya bwana Masinde, pili kwa ulinzi tukao upata, nizaidi ya fedha ninayo itumia” hapo wote wakacheka na kugonga gras zao, wakiunga mkono hoja ya Alex “ila mimi nilikuwa na wazo jingine” aliongea mzee Masinde, “wazo gani hilo?” Alex na Kaijage waliuliza kwa pamoja, “ni hivi, baada ya kuishawishi serikali na kukuamini, kwanini usimshawishi mkuu wa kitengo cha upelelezi wakamkate huyu panya kwa kosa lolote tu, ata la kumsingizia?” hapo wote waka cheka kwa furaha, na kugonga mikono yao ikiwa ni ishara ya ushindi, “hapo bwana masinde, umeongea point, yani ikipita taflija tu! tuakikishe huyu mshenzi anae jiita Nyati, anakuwa sungura” **** wazee awa wali panga ya kwao pasipo kujuwa kuwa mzee Nyati na yeye, alikuwa katika mpango mzito wa kutengeneza tukio la mauwaji kwa njia nyepesi sana, aliyafanya hayo huku akiwasiliana na mwanae Jackline, mala kwamala, akimpatia maelekezo, ambayo Jackline aliyafanyia kazi, kama alivyo elekezwa, kutokana na tukio ili kupangwa wakati Jackline ni mjamzito, wa miezi tisa kazoo siku chache, kwa lugha ya uzazi tuna sema yupo kwenye siku za matazamio, ili mlazimu mzee Michael Nyati, kupanga safiri mwenyewe na mke wake kwenda dar, ili kutoa saport kwa mwanae **** siku zilienda huku Insp Johnson akizidi kutengeza mpango wa ulinzi, wa eneo lile la Cosovor Hotel, na maeneo yote kuzunguka hotel hile, licha ya kuongeza askari wengine ishilini, lakini kazi ile ilkuwa ni ya siri sana, kwa askari wengine, akifwata maelekzo ya mzee Soud, insp Johnson alikagua majengo yote mnne makubwa na marefu, kisha kuwapangia askari watano kila jengo akiwaelekeza sehemu za kukaa, ambazo aliamini kuwa muuwaji ni lahisi kukaa na silaha yake, nakulenga kwenye ukumbi wa mikutani wa pale Cosovor, ambao hupo kwenye gholofa ya pili ya hotel hiyo, **** siku zilisogea atimae siku moja kabla ya tukio, ilikuwa ijumaa, saa nane mchana, Denis akiwa na Mahadhi wanarudi toka kwenye mgahawa wa mama Bupe, kupata chakula cha Ccccccc, ile wanaingia tu! ofisini kwao, mala Denis akasikia mlio wa simu yake ukiita, akaitoa simu na kutazama mpigaji, alikuwa ni Jackline, “ananini huyu mwanamke” alijiuliza Denis huku akitabasamu, akaipokea ile simu, “vipi mke wangu nimechelewa kurudi?” aliuliza Denis kwa sauti iliyo jaa utani, “fanya haraka Denis njoo nyumbani yani mtoto nacheza cheza sana” aliongea Jackline kwa sauti ya kulalamika, na kukata simu, kitendo hicho kilimstua sana Denis, hapo akamtazama Mahadhi, na kuganda kwa sekunde kadhaa, kisha akaongea kama alietoka usingizini, “tayari huko!” hapo Mahadhi alimwona Denis akikurupuka na kutoka nje ya ofisi, “wewe unashangaa nini twende tukamsaidie, mke wake anataka kujifungua” alisema Janeth akimwambia Mahadhi, huku akikurupuka toka kwenye kiti na kuingia kwaboss wao, ambae alimweleza kwakifupi nae akawaluhusu, waende kumsaidia Denis, kisha wamjulishe kitakacho endelea, ile Janeth anatoka kwaboss, akakuta mahadhi amesha toka nje ya ofisi, nayeye akaliunga kuwawai, ile anafika kwenye kilido anawaona wanapotelea kwenye ngazi, yeye akapanda lift, **** licha ya kupanga mipango yake vizuri na kuwapangaia askari wake majukumu ya kesho, siku ya taflija, na mpango wa kumzuwia baba yake asiudhulie taflija, lakini insp Johnson, bado alikuwa anaumiza kichwa, endapo kama muuwaji atatumia ujanja mwingine, nasiyo silaha ya kudungulia atafanyaje, baada ya uwaza sana akapanga kuwa yeye mwenyewe akae ndani yaukumbi kwenye taflija, pamoja na askari sita, ili kuangalia kama kuna dalili ya kutokea kwa kutukio lolote la hatari, **** Denis alie onekana kujawa na hofu, ya mke wake kwenda kujifungua, akiwa pamoja na rafike yake Mahadhi, pamoja na msaidizi wa boss wao, walitumia lisaa limoja tu! kufika nyumbani kwa Denis kibamba njiapanda ya shule, huku wakiwa wame vunja sharia nyingi sana za barabara, kwa mwendo wa kasi sana ambao ulikuwa hatari sana kwao, atimae waliingia nyumbani kwa Denis na kusimamisha gari nje ya nyumba kubwa ya baba kijacho, ambapo kwa Janeth ilikuwa ndiyo mala yake yakwanza, kufika nyumbani hapo, wakati Janeth anaendelea kushangaa, wakina mahadhi na Denis walishuka kwenye gari mala moja, na kukimbilia ndani haraka sana, wakitegemea kumkuta Jackline akiwa katika hali mbaya sana, yakukaribia kujifungua, lakini awakukuta mtu pale sebuleni, Denis akakimbilia chumbani, akimwacha Mahadhi amesimama na Janth alikuwa anaingia humo ndani huku anaendelea kuishangaa nyumba ya kijana huyu mlevi, kule chumbani Denis alitumia mda mfupi, akatoka akiwa anatikisa kichwa kwa masikitiko, huku amejishika mikono kiunoni, ikionyesha ni ishara ya kuchoshwa na jambo flani, akawatazama usoni wakina Mahadhi na Janeth, ambao walishindwa kumwelewa mwenzao, kuwa ametabasamu au anataka kulia.


“dah! huyu mwanamke sijuwi nimfanyaje, kwa mambo aliyo nifanyia?” hapo Denis akaangua kicheko kikubwa sana, kilicho wafanya wakina Mahadhi waanze kumshangaa, lakini aikuchukuwa dakika kabla nawao awajaanza kucheka, baada ya kumwona Jackline akiwaamevalia gauni lake kubwa na zuri, huku amejipodoa sana, yani licha ya ujauzito wake, alizidi kupendeza na kuwa wamoto, ilionyesha kuwa kunasehemu alikuwa anaitaji kutoka na mume wake Denis, maana licha ya kupendeza vile, pia alikuwa anakimkoba chake kidogo kwapani kwake, “he! kumbe umekuja na wageni?, karibuni jamani” aliongea Jackline katika hali flani ya kuona aibu, hapo wakina Mahadhi wakasitisha kucheka na kuitikia karibu ya Jackline, “asante shemeji, naona umesha poa sasa” aliongea Mahadhi, nakuendelea kucheka, akiungwa mkono nawaote mle ndani, kasolo Jackline mwenyewe, ambae alitabasamu tu! na kumsogelea mume wake Denis, “sasa Deny, si tunaenda hen!?” aliongea Jackline kwa sauti ya kubembeleza, kumbe Denis kule chumbani, alimkuta mpenzi wake Jackline akiwa anamalizia kujiandaa, huku usoni mwake akionekana kutawaliwa na tabasamu languvu, akashangaa kumkuta vile, maana alitegema kumkuta akiwa katika hali mbaya, “afadhali umewai maana nilikumiss sana,” aliongea Jackline huku anasimama na kumkumbatia Denis, kwakuzungusha mikono yake kwenye mabega ya mume wake, ambae bado alikuwa ameshangaa, kwa kuchoka akili, “alfu Deny, naomba uni toe out, mwenzio kuna sehemu nimeiona kwenye Tv, nzuriiii, nataka uni peleke” aliongea Jackline kwa sauti ya chini ya kubembeleza, hapo Denis pasipo kujibu kitu, akajitoa mikononi mwa Jackline na kurudi sebuleni, alikowaaacha wageni wake, ***** “sasa Deny, si tunaenda hen!?”ilikuwa sauti ya jakline yenye sifa zote za kubembeleza, “sijawai kukukatalia ata siku moja mke wangu, na leo nimekukubalia kuwa tunaenda, umesema panaitwaje” aliongea Denis huku akimshika kidevu mke wake na kufanya kama anakichezea kidogo, huku wakina Denis waliosimama pembeni yao wakiwatazama, na kuwasikiliza, “panaitwaaaaa!.... Cosovor..... Hotel,” alijibu Jackiline akijifanya kulitafutiza jina, “hoooo! napajuwa hapo, hipo mwenge kama unaenda morocco, nipazuri sana, wacha tuwape campany” aliunga mkono Mahadhi, kisha akamtazama Janeth, “si tuta kuwanao, au unasemaje?” Mahadhi alimwuliza, Janeth ambae bado alikuwa akiendelea kushangaa, na sasa alikuwa anamshangaa Jackline, ambae licha ya kuwa natumbo kubwa kiasi, lililo ficha ukubwa alisi ya miezi yake, kutokana na dada huyu kuwa na mazoezi, lakini uzuri wa mwanamke huyu ulikuwa ni wakuotea mbali, “sawa lakini billy kwako” alijibu Janeth, kwa haraa sana, “wala usiwe na hofu, ata ukitaka nikulipie sehemu ya kulala, mi nitalipa” aliongea Mahadhi kwa utani, dakika chache walikuwa ndani ya gari, wakielekea mjini, wakipitia barabara ya mbezi goba, lugaro ndani, mpaka mwenge, wakati anaikamata bara bara ya mandera, ndipo waliposikia simu ya Janeth ikiita, akaitoa kaichukuwa toka kwenye kipchi chake na kuitazama, “boss huyooooo! anapiga” wote wakatazamana, hukuwakipanga lakuongea, mala Janeth, akaipokea pasipo kusubiri ushauri wa wenzake, “ndio boss.... ndio ... tupo mbezi kwa Dr Stellah... ndio amesha mchevk, ... nimtoto alikuwa anageuka .... haya boss tuta kujulisha” mpaka hapo Janeth akakata simu, akiwa amesha muweka sawa boss wao, “ndio maana nakupenda sana we mwanamke yani unaakili nyingi sana” alisifia Mahadhi, na kugonga mikono na Janeth, “ninyime offer sasa uone” aliongea kwa utani Janeth, wote wakacheka, wakati huo walikuwa wana kata kona kuingia kwenye jengo moja kubwa sana la gholofa sita, lenye bango kubwa sana, lililo andikwa Cosovor Hotel, ***** upande mwingine insp alikuwa ameshamaliza kazi ya kupanga walinzi, kwenye eneo la tukio, yani kwenye Taflija inayo tarajia kufanyika kesho yake, kuanzia saa moja jioni, nakuanzia leo jioni hii askari waio kuwa wamevalia nguo za kiraia walikuwepo kwenye eneo hilo, wakiendelea na uchungizi wa kiulizi, kuakikisha wana ng’amua mbinu yoyote chafu itakayo fanyika, sasa insp Johnson, alikuwa ame waita askari wake wawili anao waamini sana, kiutendaji na kinidhamu, ni pc Busungu, na pc Pange Ezekiel, ilikuwapa mkakati wa kumzuwa mzee Masinde, asiweze kuudhulia kwenye taflija ya kutoa misaada kwa walemavu iliyo andaliwa na mzee Alex Mwasaga, walikaa wakijadiliana kwa mda mrefu sana, mpaka giza lina ingia awakuwa wamepata jibu, maana waazo kubwa lilikuwa ni, kuzuwia barabara ya kutoka kwa mzee huyu, kwakutengeneza hajari, lakini wakakumbuka kuwa alikuwa na uwezo wakutembea kwamguu mpaka kwenye kituo cha magari, na kukodi taxi, wakati mpango wao ukielekea kuwamgumu mala Johnson akapata wazo, “sikieni, mtapewa hati ya kufanya mahojiano na mzee huyu, alafu katika mahojiano hayo yatakayo husu kifo cha rafiki yake Mathayo alieuwawa mbele ya kituo cha polisi, yachuwe mda mrefu sana, huku mki mwuliza maswali mengi yaovyo hovyo, mpaka nitakapo waambia muondoke zenu” mpango huo uli kubarika moja kwa moja ***** saa tatu za usiku, pale Cosovor Hotel, wakina Denis, Jackline Mahadhi na Janeth, walikuwa wame kaa upande wa bar pamoja na watu wengine wengi sana, ambao walikuwa wanapata vinywaji mbali mbali, wapo walio kuwa wanakunywa pombe, wapo waliokuwa wanakunywa soda, pasipokusahau vyakula mbali mbali vinavyo patikana maali pale Jackline ambae mda wote aikuwa akinywa juice ya embe, tofauti na wenzie waliokunywa pombe, alionekana mala kwa mala, akituma na kupokea ujumbe, ‘sawa ngoja niagize, nitakujulisha’ aliandika Jackline, kisha akaituma ile sms, “eti Deny, naomba niagizie maji madogo, waniwekee kwenye mfuko wa Rambo nyeusi, aliongea Jackline, alafu kama mfanyanyakazi wa Malkia, Denis akamwita muudumu haraka sana, na kumpatia maagizo kama alivyoomba Jackline, nabaada ya dakika chache, chupa ya maji ililetwa, ikiwa ndani ya kimfuko kidogo cha Rambo, “Denis nataka kwenda chooni,” aliongea kwa sauti ya kudeka Jackline, huku akituma ujumbe aliouandika hivi, ‘tayari nakuja weka chini ya meza,’ “mh! utaweza mwenyewe kweli, wacha nikusindikize” aliongea Denis huku akiinuka na kumsaidia mke wake uinuka, “mbona una inuka na hayo maji” aliuliza Denis baada ya kumwona Jacline ameinuka na kile kimfiko chenye chupa ya maji, “maji ya bar nasikia siyo mazuri kunawa” aliongea Jackline huku wakitembea taratibu kufwata upande wa vyoo, “nataka vyoo vya juu, namimi nikaonje lift, sijawai kupanda” aliongea Jackline na kumfanya Denis acheke kilevi levi, “kumbeeee! kwahiyo unashukuru kuolewa na mimi?” aliongea Denis kiutani, lakini kitu cha kushangaza, Denis wakati huo, akatuka akijikwaa kwenye mguu wa Jackline na kuyumba kidogo, kituambacho hakutegemea akaisukuma meza moja iliyo kuwa jilani yao, ikimilikiwa na mzee moja mtu mzima, alievalia kufia kubwa mduara, iiziba alimia falani ya uso wake, na mama mmoja mtumzima mwenye kupendeza na kuamashisha, kwawale wanao penda wanawake walio wazidi umri, na kusababisha vitu vilivyo kuwa juu ya meza hivyo, kuanguka chini, “jamani pole sana, bahati mbaya, aliongea Jackline huku akichuchumaa kwa shida na kuanza kusaidia kuokota vile vitu vilivyo anguka chini, bahati nzuri akukuwa na simu wala vitu vya kuvunjika, zaidi ya bia za kopo,  Denis akiwa ame simama akiduwaa kwakile alicho kifanya, kwa bahati mbaya, akijuwa kuwa ule ulikuwa ni mchezo wa mkewake, na baba yake mzee Nyati, “usijari binti, kuna bahati mbaya” aljibu mzee Nyati, ambae alimtazama mwanae, na kumwona wakati anabadirisha mfuko wa mdogo mweusi, na kuchukuwa mwingine, ambao ulikuwa na kitu kigumu ndani yake, wakati huo huo mhudumu mmoja alisogea haraka na kusaidia kuokota vilivyo anguka, Jackline akasimama na mfuko wa Rambo mkononi, na Mahadhi nae aliekuwa ameona tukio la Denis kujikwaa akasogelea meza ile “samahani naomba agizeni vinywaji vingine tutalipia,” aliongea Jackline kwa sauti ya kuomba msamaha, huku akiwa amemkadhia mcho mzee Nyati, usingeweza kudhani kama watu awa wanafahamiana, “usijali binti , ni bahati mbaya, uwa ainaga mwenyewe, nyie nendeni tu!” hapo walishukuru na kutawanyika wakati Mahadhi akirudi kwenye meza yao, Denis na Jackline walielekea kwenye kolido la lifti, wakiwaacha wale wazee wanaagizia vinywaji vingine kwa muhudumu, “kwa tumbo lile, tuombee afanikiwe salama” aliongea mama Jackline, baada ya muhudumu kuondoka kwenda kuwa chukulia vinywaji vingine, “mbona naona kama bado dogo sana” aliongea mzee Nyati huku akiwatazama Jacakline na Denis, ambao walikuwa wanaingia kwenye lift, “mh! dogo, yani jiandae kuitwa babu mda wowote” aliongea mama Jaackline kisha wote wakacheka, **** Jackline na Denis wali toka kwenye lift wakiibukia ghorofa ya pili kisha waka elekea upande wa vyoo, huku wakishuhudia maandalizi makubwa sana ya taflija ambayo itafanyika kesho yake jioni, Jackline akiwa makini sana alitazama kolido linalo tokea ukimbini na kuelekea upande wa vyumbani, akafanya makadirio ya kutoka choo cha wanawake kwenda choo cha wanaume, ambavyo vipo kwenye kolido moja vikitenga nishwa na ukuta mmoja wa ndani ya kolido, kila upande una mlango mkubwa wakuingilia ndani ya ukumbi wa choo, hapo Denis akaeleka choo cha wanaume, kwa ujanja jackline akajifanya kukosea na kumfwata Denis, huku ndani unakuta mpangilio wa vyoo vya haja ndogo vikiwa vime jipanga, huku pembezoni milango ya kuingilia kwenye mabafu na vyoo vya hajakubwa, “we Jack huku ni kwa wanaume bwana ebu nenda upande wahuko” aliongea Deis akimtoa Jackline nje kwa haraka, maana mle ndani kulikuwa na njemba kadhaa ziki kojoa, “shule muhimu waungwana, sasa unge kuwa peke yako unazani ninge kuacha?” alionga nje mba moja wapo kati ya zile zilizo kuwa chooni, awakujawajali, Jackline akaingia kwenye choo cha wanawake, ambacho kilifanana kidogo na kile cha iume, kaolo sehemu za haja ndogo, hapo Jackline akaelekea moja kwa moja kwenye choo cha haja kubwa, alipo ingia ndani akafunua kifuniko cha tank la maji ya kuflashia choo, kisha aka toa kitu kwenye ule mfuko wa mweusi, kilicho kuwepo ndani ya mfuko mwingine mweupe, wa plastiki, aka toa gundi ya karatasi na kubandika kile kitu ndani ya mfuko, kwa ndani ya kile kiduniko, alipo akikisha amesha fanikiwa, aka funika tena kile kifuniko kama alivyo kikuta mwanzo, kisha akaflashi maji na kutoka mle chooni, akanawa mikono kwenye sinki, na kutoka nje ya choo akipisha na watu wanao ingia na kutoka mle chooni, nje alimkuta Denis anamsubiri, “jack mimi naona tuondoke, yani matukio yanayo nikuta hapa naona kama ni mkosi tu” aliongea Denis kwa kulalamika, wakati wana shuka toka kwenye lift, na kuelekea walipo kuwa wame kaa mwanzo na wakina Mahadhi, “mbona hapa pazuri tu!’ aliongea Jackline kwa sauti ya kudeka, huku anamtazama mzee Nyati na kuonyesha ishara kuwa kazi imekamilika, “ok! twende nyumbani, kesho ni juma mosi, nitakuleta mapema sana” aliongea Denis na kukunbariana na Jaackline, wazo lile likafikishwa kwa Mahadhi, nae akaunga mkono, “haa jamani yani mambo ndio yalikuwa yanaanza kunoga” alilalamika Janeth, huku anainuka, “wala usijari twende wakatuaje pale ofisini tuchukuwe gari letu, tuka tafute sehemunzuri kabisa tumalizie usiku” aliongea Mahadhi kwa sauti ya ulevi, na Janeth ambae alisha kolea ombe akajibu, “ilo nalo neno, hakuna wakuni uliza nime chelwa wapi” Denis akacheka kidogo, wakati huo walikuwa wameshaingia kwenye gari na kuanza kuondoka, “ila Mahadhi usisahau kunijulisha mapema shemeji akipiga nimwambiaje” hapo Mahadhi kama aliwaza jambo flani hivi akitumia sekundekadhaa, “ok! ok! nimepata wazo, tume mpeleka shemeji hospital, tena ngoja nimtumie sms kabisa, maana sitaki usumbufu” aliongea Mahaadhi huku akitoa simu mfukoni kwake, nakuanza kuandika ujumbe, Janeth akastuka kidogo, “ha! kwa hiyo Mahadhi unataka kwenda kunitomb..?” aliuliza Janeth, kwa sauti ya mshangao wakilevi, wote wakacheka, “utaenda kujuwa huko huko” alijibu maadhi kwa sauti ya kilevi pia, “haya bwana, lakini atombw.. mtu hapa” ikiwa ni vicheko tu! huku safari inaendelea


 Mzee Soud Hassan mda huo alikuwa chumbani kwake, amejilaza kitandani, pembeni yake mke wake, tayari alikuwa anakoroma kapitiwa na usingizi mzito sana, “myo wangu unanituma sana kwenda kuhudhuria hiyo taflija” aliwaza mzee soud, ambae usingizi uligoma kabisa kutawala kichwa chake, na kilicho sababisha ni mawazo yaliyo mjia ghafla, yaliyo mjia na kumshawishi kuhudhulia taflija, iliyoandaliwa na mzee Alex, katika hotel ya Cosovo, “wacha niusikilize moyo wangu, kesho nitaenda na mke wangu kuhudhulia hiyo taflija,” mzee Soud alipitiisha maamuzi hayo, alipanga kesho kwenda kwenye taflija, ambayo ni yawazi itayo udhuliwa na watu zaidi ya mia mbili kwa makadilio ya chini, zaidi ya hapo ni watu mia tatu,  **** insp Johnson mida hii alikuwa nyumbani kwake akipokea  simu yake mala kwamala kupata report, toka kwa askari wake ambao  walikuwepo Cosovo Hotel, kwakifupi akukuwa na lolote la kumsaidia, zaidi insp aliwaambia askari wake waende majumbani kwao, wakapumzike, tayari kwa kazi yakesho ya kuakikisha hotelini pale pana kuwa na usalama wakutosha, nakwamba kama muuwaji atajaribu kufanya tukio lolote, waweze kumazibiti mala moja, insp Johnson naye alilala akiwa na uwakikia kuwa amejipanga vyema kwaajili ya kumdhibiti muuwaji, maana wale askari ishilini aliowaongeza, alichagua askari wenye uwezo mkubwa sana wakupambana kwa kutumia mikono na silaha, ***** saa sita na nusu usiku, Mahadhi na Janeth walikuwa njiani, ndani ya gari la Mahadhi aina ya Toyota Ist, wakielekea sehemu ambayo Mahadhi alikuwa anajuwa ni nyumbani kwa mwana dada Janeth, msaidizi wa boss wao, kwaajili ya kwenda kumwingizia dudu mwana dada huyu, ambae alikuwa anamtamani toka sikunyingi sana, maana alishindwa kumweleza toka siku za nyuma, kutokana na mwanamke huyu, kuonekana anamshobokea sana Denis, mda huo walikuwa wamelewa sana , asa Mahadhi ambae siyo mnywaji sana wapombe, kama rafiki yake Denis, leo alikuwa amelewa kiasi kwamba alishindwa kuendesha gari, ilibidi asaidiwe na Janeth, ambae nae alikuwa amelewa kiasi chake, lakini alionekana kujimudu kwa iasi flani, Janeth ambae toka kule bar alikuwa amemshikia bahadhi ya vitu vyake bwana Mahadhi, vikiwemo fedha na simu ukiachilia funguo ya gari ambayo sasa anaitumia kuendeshea gari, wakati safari inaendelea Janeth amala kwa mala alikuwa anapokea na kutuma ujumbe kwakutumia sumu hiyo ya Mahadhi, mawasiliano ambayo Mahadhi akuyafwatilia sana, maana licha ya kuzidiwa na pombe, pia hakuwa na wasi wasi juu ya Janeth, ambae licha ya kuwa mfanya kazi mwenzie, pia alifahamu kuwa alikuwa anaiishi peke yake, “we mwanamke atufiki tu, mwenzio zimeshapanda mpaka nataka kujipiga bao” aliongea Mahadhi kwa sauti iliyo zidiwa na ulevi, wala usi we  na wasi wasi leo ukazikamue zote kabisa, yani kesho kazini uwe mwepesiiiiiii” aliongea Janeth, huku anaachia kicheko cha kilevi, **** siku ya pili juma moss, Denis aliamka mapema na kuelekea kazini, huku akikumbuka oombi la mke wake kumpeleka tena pale walipoenda jana usiku, alidai amepapenda sana, Denis ambae mda wowote alitarajiwa kuwa baba, alijisikia raha sana, kwa maisha ya amani anayoishi na mwanamke huyu, alitamani sana awajuwe ndugu zake, kwa kuwaona, ikiwezekana afanye utaratibu wa kuishi na mwanamke huyu kiualali, kama mke wake, “leo mapema sana, nimwaishe pale, maana nasikia mwanawake wakiwa na mimba uwa wanatokea upenda kitu flani, ambacho akikikosa inakuwa shida,” aliwaza Denis huku akiendelea na safari yake, wakati anakatiza mbezi mala simu yake ikaiita, alipo itazama akaona namba za simu ya Mahadhi, akaipokea mala moja, “hooyooooo! niambie kaka vipi kiuno kinakazi?” aliuliza Denis kwa sauti ya kiushabiki, “kaka hee! huu sio wakati wa utani, naomba nisaidie kitu kimoja” ilisikika sauti ya Mahadhi, ambayo aikuwa na chembe ata mmoja ya utani, “mh! kaka kwani tuna bifu?, ok poa lete mchongo unaitaji nikusaidie nini?” aliongea Denis huku anapunguza mwendo, “kaka pitia huku kichungwani uni chukue” aliongea Mahadhi akimaanisha nyumbani kwake, hapo Denis akashangaa kidogo, maana alijuwa kuwa mida hii Rafiki yake pengine angekuwa ndio anamalizia kula kitumbua cha Janeth, round ya asubuhi, maana waenga wanasemaga, mwanamke kabla ajakojoa mkojo wa alfajili, kitumbua kina kuwa na mojo sana, (mimi sifahamu, sababu under 18, kwa hiyo sijuwi ukweli wa maneno hayo, kama nikweli wataalamu wata tujulisha) “vipi gari lako lina tatizo na kuhusu Jan....” hapo Mahadhi akamkatisha kauri Denis, Denis sitaki maswali, naomba uje unichukuwe, kama auwezi niambie ni chukue pikipiki” ilikuwa nisauti iliyo jaa hasira kidogo, “ok! kaka siyo vita nakaribia kimara, sasa hivi naingia hapo kwako” aliongea Denis kisha akakanyaga mafuta kwanguvu, na kufanya gari lake likimbie sana, **** baada ya mume wake kuondoka toka nyumbani, Jackline akaanza kujiandalia kifungua kinywa, na mda fupi baadae baba yake aliingia pale nyumbani kwake, akiwa pamoja na mama yake Jackline, baada ya kuwa karibisha, mama yake Jackline na Jackline mwenyewe wakaelekea jikoni, kuendelea na mapishi, wakimwacha baba yake Jackline, yani mzee Nyati, akiwa pale sebileni akitazama Tv, ambayo ilikuwa inatangaza kuhusu Taflija itakayo fanyika jioni ya leo pale Cosvor Hotel, huku wakimsifu sana mwandaaji wa taflija hiyo, wakmtaja kuwa ni mtanza nia alie amuwa kujtolea kuwasaidia watanzania wenzake, wenye ulemavu, hongera kwa kujiongezea watu wakuja kwenye msiba wako” aliongea Nyati kwa sauti ya chini kidogo, huku akiingiza mikono yake mfukoni na kutoa kikaratasi kilicho kunjwa kunjwa na kutoa mbegu nne ndani yake, mbili zikiwa nyeusi na mbili zikiwa nyeupe, zote zikiwa na ukubwa wa punje ya mahindi, akaanza kuzi menya, zote ndani yake zilikuwa nyeupe, akazisanga zote kwa pamoja, akiumia vidole vya mikono yake, mpaka ulipo tokea unga, kisha akauchanganya unga hule, kwa vipimo vya mkadiio wa kucha yake ya mwisho, iliyo achiwa na kuwa ndefu, tofauti na kucha nyingine za vidole vya mikono yake, mpaka chai inakuwa tayari, na mzee Nyati alikuwa amesha maliza kufanya kazi yake kisha unga ule akauweka kwenye kijifuko, kidogo cha platiki, kisha akauweka mfukoni, wakaendelea kunywa chai huku wana peana mikakati ya jioni ya leo, pale cosovor hotel, **** leo Denis alimshangaa sana Mahadhi kwa tabia aliyo ionyesha, maana toka alipo enda kumchukuwa nyumbani kwake, nakusalimiana na shemeji yake, yani mke wa MAHADHI ambae alikuwa katika hali ya uchangamfu, nakuondoka zao kuelekea kazini, njia nzima Mahadhi alikuwa amenuna, hakuongea kitu chochote na Denis, zaidi ya kusonya mala kwa Mala, na wakati mwingine akitaja jina la kitumbua, (jina harisi la kitumbua) Denis hakutia neno, zaidi alichekea kwapani, na ata walipofika kazini bado Mahadhi alikuwa amenuna, kiasi kwamba alipokutana na Janeth, ambae jana waliondoka pamoja na Mahadhi, kwa lengo la kwenda kupeana uroda, lakini akapita bila kumsalimia, hapo ndio Denis akaanza kupata picha ya chnzo cha hasira za Mahadhi, “niaje Jane, zatoka jana?” alisalimia Denis huku akielekea ofisini kwake, Mahadhi ametangulia mbele, “poa tu, vipi mbona Rfiki yako amenuna?” aiuliza Janeth, hapo Denis akasimama na kugeuka, akamtazama Janeth, “kwanini usmulize mwenyewe, maana atamimi sielwi elewi” aliongea Denis akicheka kwa utani, wakati huo Mahadhi aliingia ofini kwao na kufunga mlango kwa hasira, “kama ukishindwa kumwuliza njia nzima unazani mimi nitamwulizaje, ebu mpatie funguo yake ya gari” aliongea  Janeth kisha akachukuwa funguo ya gari mezani na kumrushia Denis, ambae alizidaka na kuingia nazo ofisini kwao, unajuwa Mahadhi siyo poa kabisa, yani umekausha kwa kila mtu, kwanini usifunguke kama kuna kitu kibaya kimetokea?” aliongea Denis, safari hii kwa sauti ya ukali kidogo, huku anampatia funguo za gari lake, “haaa! huyu mwanamke pimbi kweli, yani alicho nifanyia nizaidi ya ushenzi” aliongea kwa masikitiko Mahadhi, nakuanza kumsimulia kilicho tokea, **** kumbe basi, ule usiku wakiwa njiani, Janeth aliendesha gari huku akiwasiliana kwa sms na mke wa Mahadhi, akimweleza kuwa yeye ni mfanya kazi mwenzie na mume wake, na kwamba mme wake amelewa sana, hivyo anaitaji kumleta nyumbani, alicho itaji ni maelekezo ya kufika nyumbani, pasipo kujuwa Janeth anawasiliana na mke wake, wanawake awa waliendelea kuwasiliana, huku mke wandoa wa Mahadhi akimwelekeza njia yakupita mpaka kufika kichungwani, ambapo ilikuwa nafuu kwa Janeth ambae alikuwa anakaa kwa msuguri, kiukweli Mahadhi ambae alijuwa kuwa leo anaenda kufaidi kitumbua cha Janeth alishangaa sana baada ya safari yao kufikia mwisho na kupokelewa na mke wake, ambae alikabidhiwa simu na wallet ya Mahadhi, huku yeye mwenyewe, akishindwa kufanya lolote na kujawa na hasira, asa maneno ya Janeth, wakati anaondoka na gari lake, akidai atalikuta kesho kazini, “enjoy usiku mwema Mahadhi” ***** alimaliza kusimulia Mahadhi, wakati huo Denis alikuwa anashikilia mbav zake kwa kicheko, “leo umepatikana kaka” alisema Mahadhi huku anatoka nje ya ofisi, na kumkuta Janeth anaendelea na kazi zake, “janeth saa nnne nakutoa kwenye chai, umeni flahisha sana” offer hiyo ili mfahisha sana Janeth, **** naam mda uli sogea atima saa kimu na mbili join mzee Masinde akiwa anajiandaa kutoka nyumbani kwake, hafla akamsikia mke wake akikaribisha wageni, ambao aliwasikia wakimwulizia yeye, alitamani asikie mke wake akisema kuwa hayupo, maana wange mchelewesha, lakini aikuwezekana, maana tayari akasikia sauti ya mke wake ikiwakaribisha ndani “karibuni tena mnge chelewa kidogo tu, msinge mkuta anataka kwenda hukooo, kwenye taflija” hapo mzee Masinde akaachia tusi la kimya kimya “..... we mwanamke mjinga sana” mala akaona wanaingia vijana wawili waliovalia nguo za kipolisi, “hooo karibuni vijana kuna lolote” aliongea mzee Masinde baada ya viajana wale wawili kukaa, “mimi naitwa pc Busungu, na huyu mwenzangu ni pc Pange, ni askari wa jeshi la polisi kutoka kituo kikuu cha polisi, nazani wewe ndie bwana David Masinde?” aliongea PC Busungu, akimwonyesha kitambulisho mzee Masinde, “yes ndio mimi sijuwi niwasaidie nini?” aliongea mzee Masinde, kwa sauti iliyojaa utulivu na wasi wasi, “tume kuja kwako kwa lengo la kufahamu mawili matatu juu yako na rafik zako, ambao wamepoteza maisha miezi kadhaa iliyopita” aliongea Busungu huku akionyesha walaka maalumu unao waruhusu wao kufany mahojiano na mzee huyo, “ok! ila ninaombi moja, naomba nije kesho kituoni, sababu leo sija jiandaa kabisa, pia nina udhuru, nimeitwa kwenye taflija moja, nazani me isikia, ni hii ya kuwasaidia walemavu” aliongea mzee Masinde kwa sauti ya pole iliyokosa matumaini, pasipo kujuwa kuwa huko anakoomba kwenda siyo sehemu salama kwake,

 “kwakweli mzee wangu tukikubari ombi lako, atuto weza kutoa maelezo kwa mkuu wetu” aliongea Pc Pange, wakati huo wote wakitoa viji tabu vidogo, na karamu zao za wino, tayari kuanza mahojiano, huku mzee Masinde akikunja uso kwa hasira, ya kukosa Taflija, iliyo andaliwa na rafiki yake bwana Alex, “ok! ngoja nimtalifu bwana Alex, kuwa snitachelewa kwenda kwenye Taflija” aliongea mzee Masinde, huku akitoa simu yake mfukoni, “utachelewa au uendi kabisa” alijisemea Busungu kimoyo moyo, **** maeneo ya Cosovor Hotel yalikuwa yame tawaliwa na uwingi wa watu, wengi wao wakiwa ni walemavu wa aina mbali mbali, viwete vipofu, walemavu wa mikono, ata wangozipia viziwi, mabubu, na ata wenye tatizo la hakili, eneo hilo lilionekana ku zungukwa na polisi wachache, waiokuwa wame kaa kwenye mlango wa kuingilia, pamoja na vijana wanne waliovalia suti nyeusi wakikagua kila anae ingia ndani, kwa kutumia vifaa maalumu, vya kutambua kitu chochote cha hatari kilicho bebwa na mtu anaepita mahali hapo, kwaajili ya kuingia ndani, wakati huo huo mita mia moja, toka kwenye jengo hilo kubwa sana, palikuwa na bar moja kubwa sana ya Mwenge pub, ambayo usiku huu ilichangamka sana, wakione kana watu wengi wame kaa kwa pea kuzunguka meza zao, zilizopambwa na vinywaji mbali mbali, meza moja wapo walikuwa wamekaa Denis na Jackline, wakiburudika kama Jackline alivyo mwomba Denis amlete mahali hapa, “nimepapenda sana hapa”aliongea Jackline, huku akitazama upande wa Cosovo, ambako wageni waalikwa toka serikalini na sehemu mbali mbali walikuwa wanaingia, na sasa alionekana mkuu wamkoa akishuka toka kwenye gari lake, wakati huo huo akayashuhudia magari mawili yanayo fanana yakiingia maali pale, Jackline akayatazama kwa umakini, akayaona yakisimama, kwa pamoja alafu kwa haraka sana, vijana watatu wakashuka toka kwenye gari la nyuma na kulizunguka gari la mbele, ambalo nalo milango ika funguliwa akashuka mzee mmoja wa makamo, sambamba na waschana wawili warembo sana, akaungana na mkuu wa mkoa, kisha wakaelekea ndani, huku wale vijana wakiwa wamebeba brief case, mikononi mwao, “ndio wanakuja huko ndani, hapa nje salama kabisa, akuna dalili ya uovu” Jackline alistuliwa na sauti iliyo penya masikioni mwake, akainua macho yake na kumtazama kijana mmoja alie valia kikawaida tu! akiongea na simu, “ndio kaka tupo makini, na nina kuakikishia hakuna litakalo tokea kabisa” japo sauti ya music ilikuwa kubwa sana, lakini aliweza kumsikia vizuri yule kijana, ambae alikata samu na kwenda kukaa kwenye meza moja ambayo ilikuwa na kijana mwingine amekaa, Jackline akatoa simu yake na kuandika ujumbe haraka sana, **** mzee Nyati alikuwa ndani ya ukumbi huu wa cosovo, amekaa jirani na mke wake, atua chache toka meza kuu ya wageni lasmi, safu ya pili, upande wa watu wasio na ulemavu, akiwa anaonekana kupendeza sana kwa suti aliyo ivaa, huku make wake akivalia gauni la kitenge na kilemba kikubwa cha kitenge, kichwani mwake, huku kinngine kkiwa kimefungwa kwa chini, yani kuanzia kiunoni, wakiwa wanakunywa soda na maji, ambazo kila mmoja alieingia ndani ya ukumbi huu, alikuwa amepewa, akaitazama simu yake iliyoonyesha kuwa kuna ujumbe umeingia, kweli kulikuwa na ujumbe toka kwa mwanae Jackline, ‘kuwa makini, kuna polisi wengi sana huku nje, wamevalia kiraia’ baada ya kuusoma ujumbe huo, mzee Nyati ambae sasa alikuwa anasikia sauti ya mshereheshaji (MC) akitangaza kuwa watu wasimame kwa ajili ya kumkaribisha mkuu wa mkoa, hapo mzee Nyati akainua brif case yake na kumkabidhi mke wake, huku wanasimama, kisha yeye akarudisha ujumbe kwa mwane Jackline, ‘usiwe na wasi wasi, nilijuwa lazima watakuwepo’ dakika chache baadae, akaingia mkuu wa mkoa akiongozana na mzee Alex, huku wakisindikizwa na sauti kubwa ya music, wakaende moja kwa moja, adi kwenye meza kubwa iliyokuwa mbele ya ukumbi ule mkubwa sana, ikipambwa na vinywaji mbali mbali ksoro pombe,  hapo mzee Nyati akajikuta akitabasamu kwa hasira, “Alex, zamu yako” alinong’ona mzee Nyati, ambae sasa alisikia sauti ya MC akiwaomba wake kwaajili ya kuendelea na ratiba, hapo mzee Nyati akamnongoneza  mke wake, “subiri kidogo, ratiba ya kutoa msaada” **** kati ya watu waliokuwepo ndani ya ukimbi huo, ni kijana insp Johnson David Masinde, alikuwa amekaa safu ya nyuma kabisa, ya watu wasio na ulemavu, muda wote alikuwa ana angaza macho huku na huko, akiwatazama sana wanawake walio kuwepo ndani ya ukumbi ule, kutazama kama kunakitu chochote kitakacho mpa ishara ya kumtambua muuwaji, ambae alijitaidi sana kuikalili sura yake, wakati huo huo, akiendelea kuwasiliana na askari wake, ambao walikuwa wamezagaa nje, na wachache wakiwemo ndani ya ukumbi huo,  **** mda ulizidi kusogea, taflija iliendelea, baada ya hotuba fupi iliyo jaa majigambo, ya mzee Alex, ilifwata hotuba ya mkuu wamkoa, ambae alimwaga sifa nyingi sana, kwa mzee Alex, akimsfia kwa kitendo cha upendo na kujitolea alicho kifanya, cha kujitolea kwa kusaidia jamii ya walemavu, mkuu wamkoa aliendelea kuongea kwa kutoa ahadi ya kumuunga mkono bwa Alex, kwa kumtambua kama mfanya biashara anaejitoa kwajamii, wakati hotuba ya mkuu wamkoa ikiendelea mzee Soud Hassan, mzee ambae alikuwa amekaa safu ya pili na mke wake,  safu aliyo kaa mzee Nyati na mke wake, wakiipisha upande, wakati mzee Sou akiwa kushoto mwisho, mzee Nyati alikuwa kati kati kabisa ya safu hii yenye watu selathini, alistuliwa na mke wake, “napenda sana kuvaa vile, lakini kinacho nishinda ni kufunga kilemba, mtindo hule” hapo mzee Soud akatazama kule aliko uwa ametazama mke wake, akamwona mama mmoja ambae nivigumu kumwita mzee, pia isinge wezekana kumwita kijana, akitembea taratibu akikatiza kwenye safu ya mbele, akimfwata mshereheshaji, moja kwa moja na kumnong’oneza jambo flani, kisha akasimama pale pale akimsubiri yule MC ambae alienda kwa mzee Alex alie kuwa amekaa jirani na bwana Mwijage, na kumnong’oneza jambo flani, wakaonekaa kuongea jambo kisha MC akarudi kwa yule mama, na kumnong’oneza jambo wakaonekana kukubaliana jambo lililo mpendeza yule mama, ambae alirudi kwenye meza yake, tukio hilo lilimvutia sana Soud maana Sura ya mama huyu aikuwa ngeni kwake, akukumbuka aliwai kumwona wapi, tuio lile alikumvutia mzee Soud peke yake, pia ata insp Johnson alistushwa kidogo na kuonekana yule mama aienda pale mbele, lakini mwonekano wa yule mama na binti ambae alishawai kukutana nae, uso kwauso, napia anapicha yake ambayo kwasasa ilisha chakaa kidogo, akuendandana na huyu mama kwa umbo, kwaupande wa mzee Soud alipata jibu baada ya dakika chache mbele pale hotuba ya mkuu wamkoa, kikafwatia tangazo toka kwa MC, “wageni wote waalikwa, kuna tukio lakusisimua hapa lina fwata” alisikika MC, “ni tukio la kutoa misaada kwa wenzetu, lakini kabla ya tukio hilo, kuna mdau mmoja mama yetu mpendwa Aneth, yeye na familia yake, ameguswa na tkio hili” hapo ukumbi mzima ukatega sikio kusikia anachotaka kusema MC, “mama Aneth, akiongozana na mume wake wanakuja kutoa kisi cha fedha taslimu, million moja” hapo ukumbi wote ukalipuka kwa shangwe, samba mba na muziki toka kwa DJ, huku macho ya watu wote mle ndani ya ukumbi, wakielekezwa kwa watu wawili, waliosimama na kuelekea mbele ya ukumbi, huku watu walikuwa kwenye meza hiyo, wakisimama kuwa pokea, mzee Soud aliduwaa sana, baada ya kumwona mume wa yule mama, “kimenuka” alinong’ona mzee Soud, baada ya kumtambua Michael Nyati, akiongozana na mke wake kuelekea mbele ya ukumbi walipo kuwa wakina Alex na Mwijage, mzee SOUD aliona msngao wa wazi kabisa usoni kwa Alex na Mwijage, baada ya bwana Michael Nyati na mke wake, kuifikia meza ile ya wagen lasmi, tofauti na mzee Nyati ambae alikuwa ametawaliwa na tabasamu, huku yeye na mke wake wakiwapa mikono ya salamu wazee wale, ambao awakuyaamini macho yao, kwa kumwona Nyati mbele yao, ambae aliwapa mkono mtu mmoja baada ya mwngine kisha kukabidhi kitta cha shilingi million moja kwa mkuu wa mkoa, ikiwa ni mchango wake wa walemavu, kisha wakaelekea kukaa pale walip kuwa wame kaa mwanzo, hapo mzee Soud akabaki ameganda kama sanamu, “wewe vipi, unawafahamu awa watu?, mbona umewashangaa sana?” aliuliza mke wa mzee Soud, kwa sauti ya chini kidogo, zaidi ya kuwafahamu ile safari ya Songea, nilienda kwa huyo bwana” aliongea mzee Soud huku akionekana kuchanganyikiwa, maana alijuwa kuwa bwana Nyati, akwenda pale bule bule, lazima kuna jambo ilinaenda kutokea, wakati mzee Soud anaendelea kuwaza lakufanya, mala akamwona mzee Alex akitoka na kwenda chooni, akisindikizwa na walinzi wake vijana watatu, huku aiacha utaratibu wa kugawa misaada ukianza kwa walemavu, kupanga mstari mmoja, na wengine wasio weza kutembea, wakisindikizwa na wasaidizi wao, na mgawaji akiw ni mkuu wa mkoa, dakika chache baadae Alex akarudi toka chooni akiongozana na walinzi wake, akaa   sehemu aliyo kaa sehemu yake,  sasa ilisha timia saa tatu kasoro, Jackline alikuwa yupo Mwenge pub na mume wake Denis, leo Jackline aliona mda unachelewa sana, kiasi cha kuanza kumsumbua baba yake kwa sms, za kuulizia kinachoendelea huko ndani, na hii ilitokana na maumivu ya tumbo aliyoanza kuyasikia ghafla, ‘baada ya dakika ishirini anza kuingia ndani’ lilikuwa jibu la baba yake, hapo Jackline, ambae alikuwa ansikia maumivu, ali tulia kwa muda huo alio ambaiwa na baba yake, na ilivyo timia saa tatu na dakika tano, akamtazama mume wake Denis, “Ngoja niende kutafuta dawa ya maumivu, nakuja sasa hivi” aliongea Jackline huku akiinuka, “hapana Jack, wacha nikakutafutie mimi, kwani vipi unajisikia maumivu?” alisema Denis huku akimzuwia Jackline asiinuke, “usijali mume wangu, wacha nitembee kidogo, maana nimekaa sana, mpaka mgongo unaniuma” hapo Denis hakuwa na neno, akamluhusu mke wake aende akanunue hizo dawa, Jackline ambae aliacha pochi yake mezani , akaichukua shilingi elfu moja, na simu yake, kisha akaondoka zake, akiwa ana kitu chochote mkononi, zaidi ya hilo buku, na simu, kabla ajafika mbali akapokea ujumbe toka kwa baba yake, ‘unadakika kumi tu, lazima uwe chooni’ hapo Jackline akujibu chochote, zaidi aliendelea kutembea huku maumivu, ya tumbo yakizidi kuongezeka kila dakika, Jackline Michael Nyati akitumia akili nyingi sana alimkwepa mume wake na kuingia kwenye jengo la cosovo Hotel, akikaguliwa mlangoni kama alikuwa na silaha yoyote, baada ya walinzi kujilizisha kuwa mwanamke huy akuwa na kit chochote cha kudhuru, akaachiwa aingie dani, hapo bila kuchelewa Jackline akaingia kwenye lifti, na kubonyeza namba mbili, lifti ikajifunga na kuanza kupanda juu,  mda mfupi alikuwa amesha fika gholofa la pili, ambalo lilitawaliwa na shamla shamla za taflija, yeye akaelekea kwenye vyoo, huku tumbo likizidi kumuuma , maeneo ya chini ya kutofu, na kubana mpaka kwenye kiuno, Jackline Nyati alielekea kwenye mlango wa choo alichoingia jana usiku, bahati nzuri akikuwa na mtu, Jackline akafunua kifuniko cha tank la maji ya kufalashia choo, akakuta kile kimfuko alicho kibandika bado kipo vile vile, kama livyo kiacha jana, akakipachua pale kwenye kifuniko, akaufungua ule mfuko na kutoa bastora, aina ya mic gurlily moder 99, toka England, yenye uzingo wa mm 5.5 , akaingiza tena mkono kwenye ule mfuko, akatoa vimkebe viwili vya risasi, akainua gauni lake na kukipachika komja kwenye chupi yake, pia ile nyingine akaiweka kwenye bastora hiyo, kisha akaingiza tena mkono kwanye mfuko ule na kutoa kiwambo cha kuzuwia sauti, akakifunga kwenye ile bastora, hapo Jackile ambae maumivu ya tumbo yalizidi umbana, na kuhisi mkojo una muuma, akachukuwa simu yake, na kumpigia baba yake, 

, na kumpigia baba yake, endelea ....

aikuchukuwa mda mrefu simu ika pokelewa, “kaa tayari na mwona anainuka, atakuwa anakuja chooni,” Jackline aliisikia sauti ya baba yake, “sawa baba, ila tumbo lina niuma sana, pengine uchungu ndio umeanza” aliongea Jackline kwa sauti iliyoonyesha kuwa kweli anasikia maumivu, “ok! huyo bwege anakuja fanya kazi, tuwai hospital” baada ya hapo simu ikakatwa, Jackline akaiweka simu ndani ya chhupi yake kama alivyofanya kwenye magazine, (vikebe vya risasi), kisha aka ikock ile bastora, na kuiviligia kwenye mfuko aliokuwa ameifazia silaha hiyo tokea jana, kisha akatoka mle chooni, na kwenda kusimama kwenye mlango mkubwa wa kutokea nje kabisa ya choo cha wanaume, ambao ulikuwa wazi bila kuwajari wanawake wenzie, wachache walio kuwa mle ndani ya choo wakimaliza haja zao, na wengine wakiingia nakutoka, mala akwaona watatu wanne wakiingia upande wa vyoo vya kiume, wakionekana vijana watatu wanao mlinda boss wao, ambao waliwazuwia na kuwaondoa watu wengine kwenye vile vyoo, “hakuna kuingia humu ndani choo, mpaka mheshimiwa atakapo toka” Jackline akatabasamu, tabasamu lililo tawaliwa na maumivu ya tumbo na kiuno, akijuwa kuwa windo lake tayari lipo ndani, hapo Jackline alishuhudia mlinzi mmoja kati ya wale watatu, akigeuza kibao cha open na kusomeka out of oder, kwamba akitumiki kwa mda ule, kisha akaingia ndani ya choo, kujunga na wenzake, kumlinda boss, hapo Jackline akatabasamu tena, huku akihisi maumivu yakiongezeka, kila dakika, **** huku ndani nako, akiwa amesha anza kuamini kuwa hali ilikuwa salama, ndani ya ukumbi hule, insp Johnson, alitulia huku akitazama shughuli za utoaji wa misaada, pia kijana huyu aliendelea kuwasiliana na askari wake, walio mwakikishia kuwa akukuwa na dalili yoyote ya uvunjifu wa amani , pia wakina busungu ambao walimweleza kuwa bado wana mwoji mzee Masinde, ambapo yeye aliaminikuwa kwamuda ule asinge weza tena kuja kwenye Tafija, akawaambia kuwa kwa sasa wanaweza kumwacha, na ndio wakati insp Johnson alipo mwona mzee Alex, akiinuka kwa mala ya pili kuelekea chooni, lakini hakujali akaendelea kutazama ugawaji wa misaada, japo baada ya dakika chahe akamwona yule mzee alie toa shilingi million moja akiongozana na mume wake, wakielekea kule alikoelekea mzww Alex, nadio upande ambao kuna mlano mkubwa wakutokea nje ya ukumbi, akujali sana, maana watu wengi walisha anza kutoka ukumbini, lakini baada ya dakika kama tano hivi, insp Johnson akasikia sauti ya mlio toka kwenye simu yake, ikiashilia kuingia kwa ujumbe mfupi, kwenye simu yake, akaitoa mfukoni na kufungua ujumbe, ulikuwa unatoka kwa mzee Soud, ‘upowapi kijana?’ hapo Johnson, akastuka kidogo, “vipi tena? huyu mzee atakuwa na jambo jipya?” aliwaza Johnson huku ana jibu ujumbe na kuutuma kwa mzee Soud, ‘nipo cosovor kwenye taflija, vipi kuna jipya?’ hapo aikuchukuwa mda mrefu ujumbe wake ukajibiwa, fanya haraka mfwatilie mzee Alex chooni, nimemwona Nyati, anamfwatilia kwa nyuma’ hapo insp Johnson akainuka haraka sana na kuanza kukimbia haraka sana, akiwakosa kosa watu waliozagaa ndani ya ukumbi, huku akibinyeza namba flani kwenye simu, “nifwateni haraka sana, huku chooni” aliongea Johnson, baada tu ya simu kupokelewa, baada ya hapo wakaonekana vijana watatu, wakiinuka kwenye viti vyao na kumkimbilia insp Johnson, ambae sasa alisha fika karibu na mlango wakuingilia vyooni, ambao ulikuwa wazi, wakaingia mala moja, na kusimama kwenye kolido la sehemu hiyo ya vyoo, apakuwa na dalili yoote ya kutokea tukio, ambapo mlango wa upande wakike, ulikuwa wazi, na wanawake wakiingia na kutoka chooni,  ila ule mlango wa wanaume, ulikuwa na kibao cha out of oder, insp Johnson aka jaribu kufungua mlango wa choo cha wanaume, ukafunguka, wakaingia ndani, naam Insp Johnson na askari wake, macho yao yakashuhudia miili ya watu wanne, ikiwa emelala sakafuni pasipo kujali hali ya sakafu yenyewe,  ambayo kwa sasa ilikuwa imetapakaa damu, iliyo tokea kwenyematundu madogo vichwani mwa watu hawa, “hapana, tuelekee chini haraka sana” aliongea insp Johnson huku akitimua mbio kuifwata lift, akifwatiwa na askari wake, huku akipiga simu kwa askari wake waliopo nje ya jengo hilo la cosovo, “akikisheni atoki mtu yoyote eneo hili, pigiananeni simu, waambieni askari wote wakusanyike hapa haraka” aliongea insp Johnson, wakati wanaisubilia lift ifunguke, **** kumbe basi, dakika tano zilizo pita, Jackline Michael Nyati, akiwa ame banwa na maumivu ya tumbo na kiuno, alifungua haraka sana malango wa choo cha wanaume, na kuurudisha haraka sana, kitendo ambacho akikutegemewa na walinzi wa bwana Alex, ambao walikuwa wana msubiria boss wao aliesimama mbele ya sink la haja ndogo, akikojoa mkojo mrefu, ikiwa ni mala ya pili, ndani ya dakika ishilini, kitu ambacho awakukijuwa ni kwamba, wakati ule bwana Nyati anawasalimia kwa kuwashika mikono pale mbele, ndio mda ambao alitumia kuweka unga mweupe ndani ya kinywaji cha bwana Alex, unga huo ni wa tunda la libonga, (sijuwi kwakiswahili wanaitaje) akichanganya na unga wambegu ya msuku dume, ambayo utumika kama dawa ya pressure ya kupanda, na tabia yake uwa ina kusababishia ukojoe mala kwamala, wakati pressure inashuka, “we Malaya umefwata ni....” Jackline akusubiri yule mlinzi mmoja amalizie kauli yake chafu, alichomoa bastora yake toka kwenye ule mfuko alio uviligia, kisha akainua bastora,  na kuwaelekezea, huku akiachia risasi moja kwa mtu mmoja, mpaka anafika nne tayari wote walikuwa wameenda chini, hapo Jackline aka fungua kiwamba sauti cha bastora yake na kuiviligia kwenye mfuko ule ule kisha, akatoka nje ya choo, huku maumivu yakizidi kumbana kisawasawa, kiasi cha kuanza kujishikilia umboni, maeneo ya chini ya kitofu, lakini sasa, ile anatoka tu! akahisi miguu igoma kwenda, kama nyonga imekataa kuruhusu mguu kusogea, wakati huo huo akahis kunamtu anamfwata akachoma bastora yake ilikumtafuna risasi lakini akastuka bastora ikidakwa haraka sana kisha akashikwa mkono kwa nguvu, “tulia mwanangu tuwai hospital” hapo Jackline akainua uso wake kumtazama baba yake usoni, nandipo alipo mwona mama yake pia, ambao walimsaidia Jackline kuingia kwenye lifti na kushukanae chini, wakwa wame mshika huku na huku,“tafadhali janai tupisheni tuna mgonjwa mjamzito” aliongea mama Jackline, kwa sauti ya juu, akiwaambia watu waliokuwa wame tanda mlangoni wakielekea nje, ata walinzi wa mlangoni, sasa walikuwa wame kaa pembeni wakiwapihs awatu wanao toka., maana waliamini kuwa taflija inaelekea ukingoni, ni baada yakuonekana watu wengi wana ondoka zao, nao waka pita bila matatizo yoyote nakuingia kwenye gari la mzee Nyati, Toyota V8, safari ya hospital ikaanza, **** walipo fika pale nje insp na askari wake, wakatanda eneo lote na kuzuwia sehemu zote za kutokea, wakiamini lazima wata mkamata yule mzee alietoa million moja, huku akiwatuma askari watatu waende kule juu waka zuwie watu wasiingie chooni na yeye wemwenyewe insp Johnson akaelekea ukumbini kuwajulisha wakina mkuu wa mkoa na mzee Mwijage, juu ya kifo cha mzee Alex na walinzi wake, **** upande mwingine wa bar ya Mwenge pab, Denis alikaa sanapale akimsubiri mke wake, lakini ikapita nusu saa, bila kumwona Jackline mwanzo akupata wasi wasi, lakini aliingiwa na wasi wasi baada ya dakikatano mbele, alipoona magari ya polisi yakiingia kwa fujo eneo la jirani na pale, yani Cosovo hotel hapo ndipo alipo mkumbuka mke wake, Denis aka chukuwa simu yake na kumpigia mke wake, simmu iliita kidogo, ikapokelewa, “hupo wapi wewe? kumechafuka huku wai tuondoke” aliongea Denis baada ya simu yake kuokelewa, “samahani kaka, huyu dada mwenye hii simu ninani wako?” Denis alikutana na swali, lililo ulizwa na mwanamke mwenye rafudhi ya kicongo kwambali, “ni mke wangu, kwani kuna nini kimetokea?” aliuliza Denis kwa sauti ya mstuko, huku akisimama toka kwenye kiti, “usi stuke kaka, mkeo ameshikwa na uchungu tume msaidia kumkimbiza hospital ya muhimbili” hapo Denis aka onekana akishangaa wazi wazi, huku akichomoka pale mwenge pub, kama chizi akiingia kwenye gari lake na kuondoka kwa mwendo wa speed ya hajabu sana, akishika uelekeo wa morocco, **** “jikaze mama mume wako yupo njiani anakuja” aliongea mama Jack huku akisaidiana na mume wake kumshusha Jackline kwenye gari, ni baada ya kuwa wamesha fika muhimbili hospital, huku Jackline mwenyewe akiendelea kulalamika maumivu ya uchungu, yaliyoongezeka kila dakika, bahati ilikuwa upane wao, maana walipokelewa vizuri na muuguzi wa zamu kishan akapelekwa kwa mkunga wazamu, katika chumba cha kujifunguliwa, baba yake na mama yake wakibak nje ya jengo hilo, “jackline anamoyo wakikatili sana huyu mtoto” alipngea baba Jack, “wewe sindio ulikuwa unataka awe hivyo, ila amenifurahisha sana alikoifadhi simu na zile risasi” aliongea mama Jackline wote wakacheka, na mda huo huo wakaliona gari la Denis lina ingia kwa fujo, nakusimama mbele ya jengo lile walilo kuwepo wao, wakamwona akishuka na kusogea walipo kuwepo wao, huku anatoa simu yake n kupiga, mala mama Jack akaona simu ya Jackline, iliyo kuwa mikononi mwa mama Jackline, ikianza kuita, Denis akaonekana kuutambua mlio wa simu ya mke wake, akamtazama mama Jack, 

Post a Comment

0Comments

Your Thoughts

Post a Comment (0)