MAISHA YA SASA: PURE REALITY 😭🔥



MAISHA YA SASA: PURE REALITY 😭🔥

Unalala usiku ukiwa umeshtuka, usingizi hauko, akili iko kwenye list ya mambo yasiyo na solution 😅

Pesa ipo? Haina, bills zimepita, debt imechukua first class 😭

Chakula? Ni peanut butter na bread au instant noodles, maybe tea tu ☕

Wakati unapita, unajua siku zinaenda lakini hakuna kitu cha maana kinatokea 👀

Social life? Hiyo ni myth, online tu, lakini energy ipo zero ⚡

Stress? Iko juu kuliko Wifi ya hostel 😂

Unakimbilia weekend? Ni maombi ya few hours za usingizi, sio fun 😭

Jaba Zulma

Siyumbi

Your Thoughts

Previous Post Next Post

Contact Form