UTANGULIZI

Emmanuel Lee
By -
0
USHAIRI

1.UTANGULIZI

¶SHAIRI_Ni utungo wa sanaa ya fasihi uliotungwa kwa mpangilio maalumu, lugha teule ya mkato na ya kitamathali ili kuwa silisha ujumbe kwa hadhira.
¶Mashairi huweza kugawika katika matapo mawili:
√mashairi ya arudhi/kimapokeo/jadi.
√mashairi huru/mamboleo/masivina/mapingiti/vue.

sura zinazofuata
2.Istilahi za mashairi
3.Aina za Mashairi
4.Bahari za Ushairi
5.Bahari Zaidi
6.Uchambuzi wa Mashairi
7.Maswali
8.Majibu

Post a Comment

0Comments

Your Thoughts

Post a Comment (0)