NAISMA 6

Emmanuel Lee
By -
0

 NAISMA 6

Mtunzi: Zamrata Mbwana

No. +255698095257


🌷 ishia Ni Pale mda wa Runchi Ulipo isha na Recho aliinuka ile anaenda Ofsini Gafla alijikwaa na Haidary Frut akamdaka kumbe Naisma na Wenzie walikuwa kwa Nyuma.....


Songa nayo 🍊


"Ohoooo!!!! 


Naisma alichenji mda huo huo wivu ulimshika Adi machozi yakimlenga . Haidary Frut akiwa kamkumbatia Recho aligongana uso kwa uso na Naisma na alimuachia upesi Na kumuita Naisma 


Lakini Naisma akuitikia Wala akugeuka Nyuma alienda moja kwa moja Ofsini kwake . Uku alibaki Novo berry na Tina na Recho


"Dada naona umepania kweli kweli kumnyang'anya Haidary Frut. Naisma ! 👌


Tina aliongea Na Recho Ndo kwanza akiwangalia kwa Dharau uku akitingisha kichwa chake kuweka nywele vizuri 


"Sio kumpokonya Rafiki yenu ! Nachokifanya apa nikumludisha Mimi Ndo mwenyewe Na sio uyo Naisma !


"Loh ! Ndo unavyojiongopea !👌 Mwenyewe ! Haya mbona kakuacha Apo na kamfata mkewe Kama Wewe Ndo wamana !


"Achana nae bhna Tina mda wa kazi huu! 


Novo berry pamoja na Tina wakaondoka zao . Recho alitabasamu kinafki 


❣️


Naisma alifika Ofsini moja aikai mbili aikai mda huo huo Haidary Frut aliingia 


"Toka ! Haidary umefata Nini apa !


"Apana Naisma nisikilize kwanza ?


"Sina shida ya kukusikiliza toka !


Haidary Frut alinyamaza kwa mda Na kumsogelea Naisma ambaye aliludi kwa Nyuma Na kukalia meza 


"Toka Haidary !


"Unanipenda Naisma !? 


"Apana Haidary sikupendi !


"Asa mbona unanionea wivu ! 


"A. a .a...


Haidary alimpiga Busu Naisma na wakaanza kuromance kwa hisia 😘


"Mh ! Samahani Boss !


Walishtushwa na sauti ya mfanyakazi wa Ofsini alieleta Fail na Naisma na Haidary Frut waliachiana na kuzuga Haidary akaenda Ofsini kwake


Mda wa Kwenda Nyumbani ulifika siku 


Recho alimuwahi Haidary Frut 


"Please ! Haidary nahitaji kampani yako kunasehemu nataka unisindikize Kuna mzigo Baba kautuma Nataka nikaupokee ! Please Honey !!!!!


Kama kawaida yake Recho aliongea uku kwa kudeka nakumbembeleza Haidary Frut . Mda uwo uwo Naisma alifika Na wapambe wake 


"Haidary twende Nyumbani !


"Kheee !!!! Haidary Frut atakuja Na Mimi Wewe tangulia !


"Kwanini ! Adi aje na Wewe ! 👌 Kati ya Wewe na Naisma yupi mkewe !????


Tina alidakia nakumjibu Recho 


"Waoooo !!!! Nilitaka nione majabu Wewe samaki chuchungi ukae kimya ! Haidary naenda nae katika maswala ya kazi ! Umenisikia Wewe samaki chuchungi!?😳


"Kazi Gani ! ? Mimi navyojua kazi hapa mwisho saa 11 : 30 🕰️ jioni aya iyo ya saa 1 kazi Gani ? 👌 Haidary kaoa Bibi na sio msela umuombe kwa mkewe 👌


Recho alianza kunyongea Baada ya kushushuliwa na Tina Na Haidary Frut aligundua ilo 


"Okay ! Inatosha jamani ! Mkewangu naomba Ruksa yako Basi nimsindikize Recho !


"Sawa !


"Eeee !!!!! Namna iyo mke apewe heshima yake bhna !


Haidary Frut aliongozana Na Recho na Naisma alipanda Gari nakuelekea zake Nyumbani akiwa njiani alishangaa Gafla Gari likimzuia njia asipite alishangaa nakushika alivyoshuka alishangaa kumuona Lamek Ndo akishuka kwenye lile Gari 


"Lamek !!!!!


"Naisma !!!!!!


Baada ya mda walikuwa Bar wakipata kinywaji 


"Naisma Ndo Ivo Mimi bado Nakupenda sana ! Nisamehe kwa yote niliyo kutendea ! Nilisikia umeolewa But najua auna furaha katika iyo Ndoa . Uwezi kumpenda mwanaume mwengine zaidi yangu!!!!


"Okay! So ndomana ukanitendea Yale yote sindio?


"Apana Sina maana   iyo Naisma ! Nakupenda kweli !


"Waoooo ! Unataka uniweke spea tail Kama mwanzo eee !!!!!!


Mda uwo uwo Haidary Frut akiwa analudi na Recho . Haidary Frut Alikuwa akimpigia Naisma Simu yake . Lakini Naisma hakupokea kwani aliiyacha kwenye Gari na yeye alikuwa anaongea na Lamek 


"Sio kawaida yake na angekuwa kashanitafuta Adi saizi sijaludi Nyumbani ! Ngoja nimpigie mdogo wake Jasmini ! 


Haidary Frut alimpigia Jasmin na alimwambia bado ajaludi Naisma .


Haidary alivulugwa wivu ulimshika pia wasi wasi 


"We ! Achana nae bhna Haidary !


Walipita kwenye hiyo Baa Na Haidary Frut alimuona mkewe 


"Embu ! Simamsha Gari Recho ! Yule mbona Kama Naisma na anaongea Na Nani ?


"Eeeee ! Mbona ile ongea Yao Kama wapenzi jamani! 😳 


Haidary alishuka upesi na kwenda Adi Pale . Naisma alishtuka kumuona Pale Haidary Frut  . 


"Inuka Sasa ivi Apo ! Naisma !!!!!!


"Inuka Sasa ivi ! Tuondoke Naisma !


Haidary Frut alifika Pale walipokaa Naisma pamoja Na Lamek nakumtaka . Naisma aondoke  


"Oya ! Bro mbona sikuelewi!!!!!


"Wewe uyu ni mke Wangu ! Tuondoke mke Wangu !


"Subili Kwanza ! Usimfosi fosi !  Tumuulize mwenyewe yupo tayari kuondoka ?


"Uyu Ni mkewangu Na  Mimi Ndo mumewe Ndo namuamulia na si yeye !


Haidary alimshika mkono Naisma na kuondoka nae . Naisma akubisha Recho roho ilimuuma Sana . Lamek alibaki akiwangalia tu !


Wakiwa wanaenda kupanda kwenye Gari Akiwa kamshika mkewe Naisma . Recho alishindwa kuvumilia Na alimshika Haidary Frut mkono 


"Haidary mbona sikuelewi ! Umemfumania Naisma But bado umemshika mkono unaondoka nae ? But sikuelewi ! Mi. Mim . 😢


Recho aliongea uku machozi yakimtoka wivu ulimshika alishindwa kuzuia hisia zake


"We ! Recho ! Ulitakaje nimuache mke Wangu Na Yule mtu Pale ?


"Ungemuacha tu !😢 


"Kheee!!!!! 😳 Okay wewe panda kwenye Gari lako ! Tutakutana Nyumbani siwezi kumuacha Naisma aludi peke ake aludi ! Yule jamaa anaweza akamfatilia Nyuma Nyuma !


Haidary Frut aliingia kwenye Gari Na Naisma aliwasha Gari na wakaondoka Pamoja . Naisma alifurahi Sana alivyoshushuliwa Recho alitabasamu Na Recho alimuona Naisma alivyo Tabasamu aliumia Sana . Alibaki akilia Na kupanda Ndani ya Gari na kuondoka 


Haidary Frut walifika Nyumbani na Naisma moja kwa moja waliingia Chumbani . 


"Kwanini ? Ulienda kukutana Na Yule mtu Pale ?


"Mi. Mi. Sikuwa na mpango wakukutana nae ! Ni yeye tu ! Nilikutana nae wakati naludi akaniomba Twende sehemu tukaonge!


"Okay! Kwanini usinge kataa je angekutendea Jambo baya ! Angekuwekea kilevi kwenye kinywaji ulichokuwa unatumia je ?


Naisma alikaa kimya hakuongea chochote 


"Sitaki nikuone Tena ! Kalibu Na Yule mtu kuanzia leo! 


"We ! Kama Nani ? Unizuie kuongea na watu ?


"Kama mumeo !


"Khaaa !!! Unachekesha Sana  


Haidary alimsukumiza Naisma ukutani Na kumlalia kwa mbele  . Alimshikilia kisawasawa 


"We . We . Vipi !


"Mimi Ndo nishasema ! Naisma !


"Sitaki bhna Haidary ! Unaniumiza toka bhna 


"Sitaki najisikia wivu mwenzio Naisma ! Nakupenda sitaki nikuone Na mwanaume mwengine  !


"Mimi sikupendi ! 


"Muongo ! Naisma unanipenda ! Ila utaki kunambia tu !


"Sikupendi ! 


"Muongo mbona huwa unanionea wivu nikiwa kalibu na Recho ?


"We. Mi.mi.ni.ku!


Hapo Hapo Haidary alimbusu Naisma kwa hisia nakuanza kuromance ......


"Ngo ! Ngo ! Ngo ! Haidary !!!!!!!


Recho alifungua mlango baada ya kuona mlango aufunguliwa Na aliwakuta wakilomance .


Waliachiana Baada ya kumuana Recho na Recho machozi yalimlenga . Naisma alikuwa kimya kaganda tu Pale ukutani 


"Recho hiki ni chumba cha mke na mume ukiona hujibiwi ondoka Na sio unazama Ndani moja kwa moja !!!!!


"Eti ! Unaniambiaje Haidary ! Okay Thanks !!!! 😢


Recho alikasilika uku machozi yakimtoka nakukimbilia nje 


"Recho ! Recho ! We Recho ! Subili !!!!


Siku nyingine Tena katika Ofisi ya kina Naisma . Siku iyo kila mtu aliendelea na majukumu yake ya kazi . Recho alimchunia Haidary Frut hakutaka ata kuongea nae ata alipo peleka fail hakuwa Na Habari nae kabisa .....


Mda wa Runchi ulifika na wote walitoka . Naisma alikaa na Wenzie Na Haidary Frut alikaa peke ake . Na watu wengine walika sehemu zao . Recho alifika Na kukaa kwenye kiti kingine !!!!


"Kheee 😳 !!!! Maajabu ya mwaka imekuaje bibiye Mrembo Mimi ! 👌 Kukaa peke ake ???


Novo berry aliuliza kwa mshangao na wote wakimuangalia Recho.


"Waligombana Jana ?


"Waligombana ???!!!!!! Kisa


"Kisa Mimi na Lamek (.......................) 


"We ! 😯 Unamaanisha wewe na Haidary Frut mmepigana mabusu !???


"Ndiyo Tina !


"Wow! Jamani Hadi Raha 🥰 wenyewe Na wenye wivu wajinyonge 👌 mwaka huu !


Tina alisema wenye wivu wajinyonge kwa Nguvu Adi watu wote walimuangalia yeye.


"Mh ! Tina kaa chini Basi na Wewe!!!


"Haidary Frut!!! Njo shemeji yangu Mara moja !


Tina alimuita Haidary Frut Na Recho alishtuka Na wangalia akina Tina . Haidary Frut alibeba chakula chake na kwenda aliko itwa .


"Haidary !!! Njooo 


Recho alivyoona Haidary Frut anaenda kwa kina Naisma Na yeye akamuita . Haidary akabaki amesimama Kati Kati asijue Aende wapi . Tina alisimama Na kuanza kuongea 


"Oya ! Wewe bi mzuri mie 👌 usituletee izo pigo zako ! Umeona tumemuita sisi Na Wewe Ndo unajitia kumuita ! Kwanza si ulijinunisha Wewe ? Haidary Frut  njo uku kwa mkeo kwanza ! Katafute mume wako Ndo utambe nae Na Wewe mume wa mwenzio usimvalie upande wa kanga 👌 !!!!


"Weweeee ! Umepigaje Apo Tina 👌


Tina aliongea Ayo maneno Na mfanyakazi mwengine alioko pembeni akajibu kiushambenga kitendo kilicho mchoma kweli kweli Recho Adi akainamia chini .


"Wewe ! Tina acha usifanye Ivo !!!


Tina alikaa chini Na Haidary Frut alifika Na kukaaa chini nakuwauliza


"Enhe nawasikiliza !


"Mkeo uyo ndo alienambia nikuite !


"Anha ! Niambie mke Wangu !!!


"We ! Tina Mimi nimekwambia sangapi umuite ? 


"Ana lolote Shem ! Apa kwenye alikuwa anakuongelea Wewe tu mda wote !!!!


"Khe ! Kweli ?


Naisma alikuwa kimya alijichekesha chekesha . Haidary Frut alimuangalia tu usoni Naisma . Na aliona punje ya ubwabwa imemgandia kalibu Na Mdomo Ivo akawa anamtoa taratibu uku wakiangaliana usoni 


Gafla walisikia kiliokutoka kwa Recho 😭


Na wote walimkimbilia Hadi Haidary Frut nae alienda 


"Vipi Recho ?


"Haidary !!!!!


Recho alimuita Haidary Na alipoenda akamkumbatia.


 Paaaaaa! Moyo wa Naisma ulishtuka Baada ya Haidary kumkumbatia Recho mda huo huo wivu ulimshika alihisi joto si joto Baridi si Baridi Adi machozi ya wivu yalimlenga alitamani aondoka enaeo ilo ila aliona Aibu wangemshtukia Na yeye Kama anampenda Haidary Frut alijikaza na kuendelea kukaa Pale


"Vipi Recho kuna tatizo Gani ?


"Haidary ! I'm not Okay ! 😢


"Kwanini ? Recho usiwe Sawa !


Recho aliongea kwa kudeka uku alimkumbatia Haidary zaidi kitendo kilicho muuma Adi Tina . Naisma Ndo kabisa pamoja na Novo berry


"Kwanza umeninunia Haidary!


"Oooh ! I'm sorry Recho ! Mimi sijakununia Rafiki angu !


"Kweli ? Haidary !!!!?


"Ndiyo ! 


"Okay ! Pili uyu Binti Apo !


Recho alimnyooshea kidole Tina ambaye alimkata jicho ilo Recho 


"Amefanyaje ?


"Mda mwingi ananisema vibaya ! Sijui Ndo kuchamba !!!!! Sipendi !


"We ! 👌 Umechambwa Wewe !! Mbona sijakuchamba 👌 kabisa Apo nikiamua kukuchamba sindo utazimia kabisa Wewe 👌 Chefu !!!!!


"Unaona ! I do !!!


"Mh ! Tina nakumba usimjibu kwa niaba yangu Basi !


"Bahati ! Yako namuheshimu tu shemeji yangu ! Ungekoma leo wee 👌


"Aaaaaa 😢!!!!


Recho alilia nakumkumbatia Haidary kwa Nguvu . Recho alitoka nakuludi kwenye meza Yao . Tina akaanza kuongea 


"Chefu ! Yaani yote ulikuwa Ni wivu tu kumuona Haidary Frut yupo na Wewe Hapa !!!!


Tina aliongea Ivo uku wakimuangalia Recho Na Haidary . Haidary alikuwa anambembeleza Recho ale Na Recho akawa anadeka . Naisma wivu ukazidi kumshika.


"Kheee !!!! 😳 Shosti ! Mbona Kama moja aikukai mbili Ndo imekimbia atukuelewi !👌 


Tina alikuwa Ni Binti mcharuko nyie ! Yaani aliishi uswahilini anaongea Sana Na hakuangalia neno lipi niongee na sehemu Gani ! Yeye Neno litakalo mjia mbele yake Ndo ilo ilo 


"Ivi unajua Tina uyu ! Rafiki etu  Naisma ! Asaivi anampenda Haidary Frut !


"Hahahaha !!!! Umeona eee Novo berry !!!!!


"Aaah !!!!! Mshaanza ujinga wenu !


🍂


Wakiwa wapo Nyumbani wakiwa wanapata chakula cha usiku 


"Mmmh ! Mwanangu Naisma kesho kutwa unatakiwa uwende mkoani kikazi utakaa Kama Wiki uko Ndo utaludi !


"Khe ! Naenda Na Nani ?


"Utaenda mwenyewe !


Recho alifurahi kimoyo moyo Baada ya kusikia ivyo alijua Haidary Frut atampata Mazima alitabasamu mda wote. Naisma aligundua ilo Na alinyongea Gafla


💖💖💖


Siku nyingine Tena Lamek akiwa zake Hotelini anapata kisinia 🍱 akimsubili aonane Na mtu ambaye alimuomba akutane nae Hapo


Alitoa macho 😳 Baada ya kuona pisi ya Hatari. Mrembo kweli kweli akiingia Apo . Alievalia kigauni cha jinzi cha big mak Ndani alivalia tishet jeupe chini alipipilia Raba nyeupe . Alibaki kumeza mate tu


"Waoooo !!!! Izi Ndo pigo zangu !


Lamek alijiwazia kimoyo moyo . 


"Haiii !!!!!!! 🖖


" Haa.a.hai !


Lamek aliitikia kwa kigugumizi uku akimuangalia uyo Binti juu mpaka chini hakuwa mwengine Bali Ni Recho. Nguo alioivaa ilikuwa fupi nakuachilia nusu mapaja yaonekane 


"Mh ! Nakusikiliza Mrembo ! Nilishtuka ulivyo nitafuta kwenye Simu na kutaka tukutane ! Unaitwa Nani ?


Recho alitabamu uku akimuangalia Lamek . Na kumpa mkono 🤝


"Ooohooo ! Naitwa Recho ! 


"Waoooo !!!! Unajina zuri Kama Wewe mwenyewe !


"Okay ! Nimekuita ili kuwaachanisha Haidary Frut pamoja na Naisma !


"Naisma !!!!!??? Wewe unamjua Naisma ?


"Ndiyo namjua vizuri Mimi Ni Rafiki yake na Haidary mume wa Naisma ......(.........)


Recho alielezea yote kuhusu yeye na Haidary pamoja na Naisma 


"Okay ! Nimekuelewa Binti ! Ila Siwezi kufanya uwo ujinga ulionambia kwa Ex. Wangu akijua atazidi kunichukia ukuzingatia Na yale niliomtendea mwanzo !!!!


"Waoooo !!!! Vizuri ! Ni hajabu hii mtu kumjali Ex . Wake jamani hahahaha 😂 !!!!


Recho aliongea nakuingia Kwenye kibegi chake alichokibeba nakutoa kibunda cha Pesa . Lamek macho yalimtoka baada ya kuona kibulungutu Cha Ela .


"Please ! Lamek naomba ufanye nilivyo kwambia please !


"Aaah. Aaaaa. Sawa ulisema anaenda Mkoa Gani ?


Recho kusikia Ivo alitabasamu uku akimuangalia Lamek .....


🥀


Siku nyingine Tena Ndani ya Ofisi . Na ulikuwa Mda wa Runchi . Naisma alikuwa na Rafiki zake


"Mwenzenu ! Kesho naenda mkoani Mwanza kikazi !


"Khe ! Shosti unaenda Na Haidary ? Wacha we 👌!


"Aaah! Wapi shosti ! Naenda mwenyewe tu !


Tina Na Recho waliongea Na Novo berry akaingilia 


"We !!!! Inamaana Yule Shetani mwenye mguu mmoja anabaki Na  Haidary Frut ? Si ndiyo !!!!


"Ndiyo !


"Loh ! Kwa jinsi mnavyomjua Yule Binti ! Hiyo Ndo itakuwa Fursa yeye kumchukua mazima uyo Haidary 👌 yaani !


Naisma alikaa kimya na kunywea tu.


"Oooh ! Novo berry ! Ona Sasa Ndo Nini ? Naisma kashanyongea jamani . Usiseme Ivo bhna !


Tina aliongea Ivo nakuchukua Juice 🍹 nakunywa 

................


Naisma aliludi nakujiandaa sikuiyo . Haidary Frut alifika nakukaa pembeni uku akimuangalia mkwewe akiwa anapanga panga nguo .


"Mtakumisi mke Wangu ! 


"Uni misi Nini Na Recho wako yupo !


Naisma alijibu uku akimuangalia kwa jicho la wizi Haidary Frut . Haidary Frut aliinuka Na kumvuta Naisma kwa Nguvu na kumuweka kifuani kwake 


"Sitaki ! Unitajie uyo mtu ! Sitaki 


"Oooh ! Leo Ndo unajifanya humtaki maajabu !


"Okay ! Basi tutaondoka wote !


"Kha ! We umevulugwa uwende Na Nani ? Kwanza sitaki tuongozane


Haidary Frut alizidi kumsogeza Naisma kifuani kwake uku akimuangalia usoni . Naisma Adi aliona Aibu nakuangalia pembeni 


"Odi ! Haidary ! Njoo upesi !


Ilikuwa Ni sauti ya Jasmin na Haidary Frut alitoka Mbio kukimbilia nje . Naisma akifata Nyuma alivyofika Pale alimkuta Recho akiwa anatoka Damu unyayoni akiwa awezi ata kutembea anachechemea 


"Haidary ! Nisaidie !!!


Recho aliongea kwa kudeka uku machozi yakimtoka Na Haidary alimkimbilia Na kumbeba Kama mtoto Na kumkalisha kwenye kiti nakumpa Huduma ya kwanza 


"Kwani ilikuaje ? Recho 


"Ni grasi ilinidoka wakati nakunywa Juice 🍹 ndo ikapasuka Na nilikanyaga Bahati mbaya Ndo nimejichana !!!!


"Okay ! Pole !


"Asante ! 


Recho alitabasamu kinafki bila kuonekana kumbe ulikuwa Ni mpango wake alijikata makusudi ili awe kalibu zaidi Na Haidary Na asiweze kuondoka na mkewe Kama atakuwa Na wazo ilo


Naisma aligeuka akiwa mnyonge Sana alikumbuka maneno ya Rafiki zake. Na alijiona kabisa Hana chake Adi akiludi safari yake Haidary Frut sio Wake Tena ..


Machozi yalimtoka aliyafuta uku akielekea Chumbani ...


NAISMA.25.

Mtunzi: Zamrata Mbwana

No.0698095257


Tulipo 🌷 ishia Ni Pale Naisma alipoenda Ndani uku machozi yakimtoka  ....


Songa nayo 🍊


Naisma aliliudi Ndani na kulala . 

🖤


"Haidary ! Nataka niende chumbani ! Nikalale Na siwezi kutembea vizuri mwenzio !


"A a! Ngoja nkupeleke !


Haidary Frut alimbeba Recho nakumpeleka Chumbani kwake !


Alifika chumbani na kumlaza kitandani Ile anataka kuondoka tu alimshika mkono Na kumvuta Kifuani kwake . Haidary Frut alijikuta kamlalia Recho kwa juu 


Recho alishika kichwa Cha Haidary Frut na kuanza kumbusu 😘


Haidary Frut alinuka Mda uwo uwo "Recho unataka kufanya Nini ?


"Nakupenda Haidary! Mbona utaki kunielewa mwenzio !


Haidary Frut alitoka chumbani na kumuacha Recho . Na aliludi nakumkuta Naisma amepitiwa Na usingizi alifika hapo Na kumbusu 😘 Kisha Na yeye akalala


☘️


Hatimae siku nyingine Tena . Naisma aliamka Asubuhi na kujiandaa kwa jili ya Safari wakati wanakunywa Chai ☕🍞 wote walikuwa Hapo 


"Naisma ukimaliza kunywa Chai mtakusindikiza Uwanja wa ndege ! Mke Wangu !


"Khe ! Haidary si nilikwambia unipeleke Hospital 🏥 leo ushasahau ?


"Khe ! Ulinambia mda Gani ? Mbona sikumbuki ?


"Okay ! Wewe mpeleke tu ! Recho hospital . Naisma atuchukua Tax Adi Uwanja wa ndege !!!


"Sawa ! Mzee!


Baba Naisma aliamua Na Haidary akuwa Na jinsi alikubali . Recho alifurahi kimoyo moyo . Naisma alizidi kunyongea Mda uwo uwo alinuka nakwenda kuchukua mizigo yake . Haidary Frut alimfata Nyuma 


"Naomba nikusaidie kubeba ! 


"Acha ! Wewe nenda kwa uyo Rafiki ako kafanye kila atakacho kitaka !


Naisma aliongea kwa Hasila uku akikokota begi lake na kutoka nje 


"Jamani Ni Baba Ndo Alie amua Wewe mwenyewe umeona Pale !


Naisma akutaka kuendelea kumsikiliza Haidary Frut aliondoka zake . Haidary Frut akawa anamfata Nyuma Naisma .


"Mamaaaaaa ! Nimejitonesha ! Panauma ! Njoo Haidary !


Naisma alikuwa mbele Na Haidary Frut Alikuwa Nyuma waligeuka kumuangalia . Haidary akuwa Na jinsi alienda kwa Recho .


Naisma Roho ilizidi kumuuma alibeba mabegi yake kwa hasila nakuondoka zake


 ..................🦩


Naisma aliwasili Mwanza Na kutafuta Hotel Na kufikia Hapo . Na alikodi Chumba alikaa kwenye kiti Na alimpigia Baba yake Na Mama yake na kuwaambia Kama kashafika .


Alitulia Na alimkumbuka Haidary Frut "oooh !!! Mbona najikuta nishammisi ! Haidary Frut ! Mh ni mpigie ? Apana ! Ataona Nampenda ! Kwanza saingine ata anawazo Na Mimi yupo bize na Recho Wake uko !


Naisma alijiongelesha mwenyewe Kama chizi nakujijibu mwenyewe . Mara kidogo Simu ya Haidary Frut iliingia kwenye Simu 📱 yake na alitabasamu Naisma Baada ya kuona Simu ya Haidary alipokea Na kuweka sikioni kabla ajaongea akasikia sauti ya Recho 


"Haidary taratibu utaniumiza mwenzio !!!!


"Hallo! Naisma ?


Recho aliongea kwa kudeka kimakusudi . Paaaaaa ! Moyo wa Naisma ulishtuka Nguvu zilimuisha Simu aliiyona mzito Na alikata Mda uwo uwo.


Kumbe Haidary Frut alimpeleka Recho Hospital 🏥 Na alikuwa anamuweka kwenye kiti Ndo Recho alivyoona Naisma anapigiwa akaongea kauli iyo ili tu kumuumiza Roho Naisma


"Inatosha Sasa ! Haidary Frut anipendi Tena ! Kama mwanzo anampenda uyo Recho Wake ! Sawa ! Sawa !


Naisma aliongea uku machozi yakimtoka 


☘️


Siku iliyofata Naisma alienda sehemu aliotakiwa Kwenda kibiashara Na alitimiza majukumu yake Na jioni aliludi zake Hotelini wakati anaelekea kwenye Chumba chake alishangaa akiitwa 


"Naisma !!!!!!!


Alishtuka Nani ? Anaemjua uku alivyogeuka akuamini macho yake aliemuita alikuwa Ni Lamek 


"Lamek !!!!!!!!!!


ITAENDELEA...

Post a Comment

0Comments

Your Thoughts

Post a Comment (0)