Mambo Ambayo Yalitufundisha Kuwa Single Sio Laana 😭

Mambo Ambayo Yalitufundisha Kuwa Single Sio Laana 😭



1. Ukasema “sawa” badala ya “samahani”

Dakika mbili baadaye unajiuliza kama hiyo relationship ilikuwa na future kweli

2. Uliuliza “umekula?”

Akajibu “niko sawa”.

kuna vita inakuja ⚔️

3. Ukasema “nitapiga baadae”

Baadae ikawa kesho.

Kesho ikawa… blocked 🚫

4. Uli-like picha ya zamani kwa bahati mbaya

Picha ya 2017.

Saa tisa usiku.

Hakuna maelezo duniani yanaweza kusaidia 😭

5. Ukasema ukweli wote kama ulivyoambiwa

Kumbe “kuwa mkweli” ilikuwa ni test, sio instruction.

6. Ulituma voice note ukiwa serious

Akacheka.

Akasema “umenifurahisha leo” — relationship ikaingia ICU 🏥

7. Ulipotea kidogo kwa sababu ya stress

Akasema “nimezoea”.

Ujumbe mfupi zaidi uliobeba maumivu mengi.


Mahusiano ni mazuri…

lakini wakati mwingine yanatukumbusha kuwa amani ni muhimu kuliko mapenzi 😂

👉🏽 Kama hii imegusa maisha yako, usijali — tumepitia sote 🤝🤣

Jaba Zulma

Siyumbi

Your Thoughts

Previous Post Next Post

Contact Form